Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaNyie wagen jf bila shaka. Lemutuz ni kichekesho thread yake uwa Inatumika kama sehemu ya Kure fresh mind. Wewe binadamu gani mwenye miaka zaidi ya 55 anaweza kuandika kama Le bwenyenye, alibakiza dakika 30 afe. Huyu ni age mate wa anko magu laki lemutuz anaishi umri wa kijana wa 20s ajitambui kabisa huyu mstaafu...
😀😀😀😀😀Mkuu unategemea le mutuz apone atoke hospitali akiwa na akili zaidi ya hiyo? Huyo ni mgonjwa wa kudumu, hospitali huwa anaenda kupumzika tu
Huu ni ujingaa uliyo pitiliza kumfananisha kiumbe na Mungu mnamsifia mtu mpk mnakufuru
Una upovu wa akiliKwa roho uliyoonyesha ya chini Mkuu...hauna tofauti na waliokwapua msibani kwa Marehemu Baba Jacky machameni.
Ana kama 65 hivi..acha kumdhalikisha umriNyie wagen jf bila shaka. Lemutuz ni kichekesho thread yake uwa Inatumika kama sehemu ya Kure fresh mind. Wewe binadamu gani mwenye miaka zaidi ya 55 anaweza kuandika kama Le bwenyenye, alibakiza dakika 30 afe. Huyu ni age mate wa anko magu laki lemutuz anaishi umri wa kijana wa 20s ajitambui kabisa huyu mstaafu...
Le mutuz the genius....hapo anasikilizia cheo soonMwenzake alisema kuwa isingekuwa girlfriend wake angekuwa ashakufa.
Hakumaliza muda akafa kweli. Sasa ngoja tuone huyu, badala ya kumshukuru Mungu anajisahau anamshukuru binadamu mwenzake ili mradi tu apewe cheo cha ukuu wa wilaya sijui.
Hahahah! Kwahiyo mkuu unamaanisha mzee wetu Malecela badala ya kusimamia kucha ni bora angechukua hata gwanji akazama bafuni?Hili bao bora lingepigwa puli tu...huyu jamaa ni hasara sana
Ndio maana hata wataalamu wanashauri kabla ya kusimamia ukucha mtu afanye maombi kidogo ili kuepusha kupata watoto kama le mutuz...Hahahah! Kwahiyo mkuu unamaanisha mzee wetu Malecela badala ya kusimamia kucha ni bora angechukua hata gwanji akazama bafuni?
Wamejua udhaifu wake na wanatumia fursa vizuri.Huu ni ujingaa uliyo pitiliza kumfananisha kiumbe na Mungu mnamsifia mtu mpk mnakufuru
Kazi kweli kweli
Biblia inasema wazi "Amelaanika anayemtegemea mwanadamu".Mobimba Le Nyeyenye kamshukuru Rais JPM kwa kuokoa maisha yake maana ilibaki dakika 30 tu afe.
Hii inadhihirisha ile kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora kwamba inabidi hata Mungu amshukuru JPM. Kwa hakika kwa JPM kila goti litapigwa, sote tunashuhudia jinsi mabeberu yanavyohaha kuingia ikulu kujipendekeza na kumpongeza kwa kazi nzuri anayofanya ya KUIMARISHA BIASHARA, MAISHA YA WANANCHI, UMOJA AMANI UPENDO NA MSHIKAMANO na hii tena ya kuokoa maisha ya mtu muhimu kabisa LE MUTUZ ni jambo kubwa sana haswa ukichukulia ya kwamba muda si mrefu atateuliwa kuwa Balozi wa kudumu wa Tanzania huko UN.
View attachment 1094956