MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Unasema lazima amesoma mwenyewe!! Mimi nakwambia hakusoma mwenyewe. Ana reports nyingi za kupitia hana muda wa kusoma gazeti la Kenya.
Toka nime jua kusoma sijawahi kukutana na habari kuhusu Kenya ambayo imetengenezwa kuichafua kwenye gazeti lolote lile. Actually Kenyan news are rarely written in our newspapers. Ata hapa tuki waletea habari zenu tuna qoute media zenu.
Be rest assured hakuna gazeti lolote Tz lina weza kuwa andika vibaya, niki copy akili yako nitasema "You are insignificant to us" ila kwa akili yangu nita kwambia Wa Tz naturaly sisi ni waungwana hatujafunzwa hivyo
Media zile za Tanzania ninazozijua ama zingine, maana taarifa za Kenya huandikwa sana na magazeti yenu.