Magufuli asipochunga atarudisha Tanzania nyuma

Magufuli asipochunga atarudisha Tanzania nyuma

vulcan

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,742
Reaction score
2,459
The Tanzania elections were not free and fair. From pre-election intimidation of the opposition, to ballot staffing, media gagging, lack of transparency in vote counting.

Magufuli did not have to do all this just to get a higher victory margin, he would have won fairly with a smaller margin anyway.

The Tanzania we are seeing in the media at this time is not the Tanzania we are used to.

Please Tanzania don't go down this path where elections will shut down a country like it happens in Kenya, something we are fighting to solve.

Magufuli is taking Tanzania backwards
 
Nadhani hata naye alipatwa na mshtuko wa kilichotendeka, sidhani alikusudia iwe hivi, hao wasimamizi wa vituo vya uchaguzi waliogopa hadi kila mmoja akataka asiwe wa kwanza kuruhusu upinzani kushinda kwenye kituo chake. Haya ndio matunda ya kuweka nchi kwenye taswira ya uwoga, kila mmoja anaogopa na kuishia kufanya madudu ili amfurahishe mkulu.

Hata MaCCM wengi wapo kwenye mshtuko na wameingiwa na aibu, ni ile tu wanajipa ujoto ili hii issue ipite haraka lakini haijawapa raha.
Ukitaka uamini, kwenye ushindi wa 2015 walisheherekea sana na kujitokeza barabarani, ila huu uchaguzi ambao wamefuta upinzani kabisa wamenywea utadhani taifa limekumbwa na msiba, hawa wa kwenye mitandao tu ndio wanapiga makelele lakini wengine wote wameufyata.

Kuna hii video inaonyesha mbunge wa CCM akizomewa pale alipojaribu kujitokeza ashukuru wananchi Uchaguzi 2020 - Dodoma: Anthony Mavunde azomewa na wananchi
 
The Tanzania elections were not free and fair. From pre-election intimidation of the opposition, to ballot staffing,media gagging, lack of transparency in vote counting.

Magufuli did not have to do all this just to get a higher victory margin, he would have won fairly with a smaller margin anyway.

The Tanzania we are seeing in the media at this time is not the Tanzania we are used to.

Please Tanzania don't go down this path where elections will shut down a country like it happens in Kenya, something we are fighting to solve.

Magufuli is taking Tanzania backwards
Tz are not Kenyan... MAGUFULI will move much more forward tha last time . Ni changamoto tu TUTAZIVUKA soon...
 
The Tanzania elections were not free and fair. From pre-election intimidation of the opposition, to ballot staffing,media gagging, lack of transparency in vote counting.

Magufuli did not have to do all this just to get a higher victory margin, he would have won fairly with a smaller margin anyway.

The Tanzania we are seeing in the media at this time is not the Tanzania we are used to.

Please Tanzania don't go down this path where elections will shut down a country like it happens in Kenya, something we are fighting to solve.

Magufuli is taking Tanzania backwards
Mungiki anataka kutufundisha free and fair election Tanzania.
 
The Tanzania elections were not free and fair. From pre-election intimidation of the opposition, to ballot staffing,media gagging, lack of transparency in vote counting.

Magufuli did not have to do all this just to get a higher victory margin, he would have won fairly with a smaller margin anyway.

The Tanzania we are seeing in the media at this time is not the Tanzania we are used to.

Please Tanzania don't go down this path where elections will shut down a country like it happens in Kenya, something we are fighting to solve.

Magufuli is taking Tanzania backwards
Hakuna cha ajabu kwenye huo ushindi wa JPM 2020,

FYI: Hata Jakaya Kikwete pia alishinda kwa 81% katika kipindi chake tena alikuwa akipambana na opposition leaders wakubwa zaidi. Inaelekea huijui vizuri Siasa ya Tanzania.

External Pre election Polls karibia zote zilikuwa zinazungumzia ushindi wa between 75% to 87% on JPM favour.

Kwa panda wa wabunge kwanza opposition parties huwa hazipati wabunge wengi na kikubwa zaidi, kama unafuatilia vizuri siasa za Bongo utakua unaelewa ni namna gani wabunge wa upinzani walivyokua wanawatesa wananchi wao waliowachagua:

1- Walitaka JPM weke lockdown kama ya Kenya
2- Walisusia kuingia bingeni kwa siku 14 eti kwa kwasababbu ya COVID-19
3- Walikuwa wanaingia bungeni lakini walikuwa wanavaa plaster mdomoni hivyo basi walikuwa hawachangii chochote
4- Walikua wanagombana wenywewe kwa wenuewe juu ya michango ya lazima ya kukatwa posho za ubunge huku pesa hio yote ikienda kwa mwenyekiti wa chama, hii ilifanya mapa anti corruption unit kuingilia kati na kuchinguza vyama vyao.
5- Wabunge was Wengi pamoja na madiwani wao wengi mahiri walijiondoa na kuunga juhudi za JPM
6- Sehemu zote mabazo zilikuwa ni opposition strongholds mirada mikubwa ilikuwa inakwamishwa kwa makusudi na wabunge pamoja na madiwani wa opposition, kwa mfano mmoja tu, ile Mbezi Luis Bus Terminal ilitakiwa iwe imekamilika zamani sana kabla ya bus terminal nyingi za mikoani au kabla hata ya ile ya Dodoma lakini jamda wa opposition waliweka figs kwakuwa walikua wana-control city council pamoja na mucipila councils nyingi za Dar.

Kwa kifupi, Wananchi wengi katika opposition strongholds walikuwa wamechoka na matukio kama hayo tajwa hapo juu. Kitu kilichokuja kuwamaliza kabisa ni pale JPM alipokuwa akikampeni na kusema anataka connection, meaning anataka diwani wa CCM, pamoja na mbunge wa CCM ili yeye aweze kuwasimamia vizuri ktk kuleta maendeleo. Wananchi walimsikia hivyo na kuahidi kumpatia hao wawakilishi kama alivyoomba.
 
The Tanzania elections were not free and fair. From pre-election intimidation of the opposition, to ballot staffing,media gagging, lack of transparency in vote counting.

Magufuli did not have to do all this just to get a higher victory margin, he would have won fairly with a smaller margin anyway.

The Tanzania we are seeing in the media at this time is not the Tanzania we are used to.

Please Tanzania don't go down this path where elections will shut down a country like it happens in Kenya, something we are fighting to solve.

Magufuli is taking Tanzania backwards
Ndio vizur TANZANIA ikirudi nyuma Kenya itasonga mbele Kwa speed ya 4G c ndo vizur au we unaonaje?
 
The Tanzania elections were not free and fair. From pre-election intimidation of the opposition, to ballot staffing,media gagging, lack of transparency in vote counting.

Magufuli did not have to do all this just to get a higher victory margin, he would have won fairly with a smaller margin anyway.

The Tanzania we are seeing in the media at this time is not the Tanzania we are used to.

Please Tanzania don't go down this path where elections will shut down a country like it happens in Kenya, something we are fighting to solve.

Magufuli is taking Tanzania backwards
Mtu anaye jifanya anaongea kingereza kingi na kudhani ndicho kiwango cha uelewa hua namuoni ni MPUMBAVU sana
 
Nadhani hata naye alipatwa na mshtuko wa kilichotendeka, sidhani alikusudia iwe hivi, hao wasimamizi wa vituo vya uchaguzi waliogopa hadi kila mmoja akataka asiwe wa kwanza kuruhusu upinzani kushinda kwenye kituo chake. Haya ndio matunda ya kuweka nchi kwenye taswira ya uwoga, kila mmoja anaogopa na kuishia kufanya madudu ili amfurahishe mkulu.

Hata MaCCM wengi wapo kwenye mshtuko na wameingiwa na aibu, ni ile tu wanajipa ujoto ili hii issue ipite haraka lakini haijawapa raha.
Ukitaka uamini, kwenye ushindi wa 2015 walisheherekea sana na kujitokeza barabarani, ila huu uchaguzi ambao wamefuta upinzani kabisa wamenywea utadhani taifa limekumbwa na msiba, hawa wa kwenye mitandao tu ndio wanapiga makelele lakini wengine wote wameufyata.

Kuna hii video inaonyesha mbunge wa CCM akizomewa pale alipojaribu kujitokeza ashukuru wananchi Uchaguzi 2020 - Dodoma: Anthony Mavunde azomewa na wananchi
Wewe hujinasibisha kama mKenya,huku kwetu kunakuhusu nini na vyama vya siasa?
 
The Tanzania elections were not free and fair. From pre-election intimidation of the opposition, to ballot staffing,media gagging, lack of transparency in vote counting.

Magufuli did not have to do all this just to get a higher victory margin, he would have won fairly with a smaller margin anyway.

The Tanzania we are seeing in the media at this time is not the Tanzania we are used to.

Please Tanzania don't go down this path where elections will shut down a country like it happens in Kenya, something we are fighting to solve.

Magufuli is taking Tanzania backwards
That's the fact. We would wish to convey this crystal clear message to him personally, unfortunately, the man is not conversant in the language. He is double barred both in democratic administration and public address. What a public liability is this! With him in such a high office, then reversing Tanzania' wheel of development in the next five years is inevitable.
 
Wanaume wa Nairobi hovyo kabisa. Yaani wewe habari za kusikia tu unaamua kuzishadidia kweli? Hapo uko karibu ungekuja field ujionee bongo tunaendelea na maisha kama kawa. Media tumewaachia usa na allies wake. Hatutaki maneno
 
Nadhani hata naye alipatwa na mshtuko wa kilichotendeka, sidhani alikusudia iwe hivi, hao wasimamizi wa vituo vya uchaguzi waliogopa hadi kila mmoja akataka asiwe wa kwanza kuruhusu upinzani kushinda kwenye kituo chake. Haya ndio matunda ya kuweka nchi kwenye taswira ya uwoga, kila mmoja anaogopa na kuishia kufanya madudu ili amfurahishe mkulu.

Hata MaCCM wengi wapo kwenye mshtuko na wameingiwa na aibu, ni ile tu wanajipa ujoto ili hii issue ipite haraka lakini haijawapa raha.
Ukitaka uamini, kwenye ushindi wa 2015 walisheherekea sana na kujitokeza barabarani, ila huu uchaguzi ambao wamefuta upinzani kabisa wamenywea utadhani taifa limekumbwa na msiba, hawa wa kwenye mitandao tu ndio wanapiga makelele lakini wengine wote wameufyata.

Kuna hii video inaonyesha mbunge wa CCM akizomewa pale alipojaribu kujitokeza ashukuru wananchi Uchaguzi 2020 - Dodoma: Anthony Mavunde azomewa na wananchi
Umeandika madini tupu. Ni bandiko bora kabisa na lenye ukweli usiopingika.
 
Magufuli anababaika na nchi mpaka anazima whatsapp.

Anaweweseka na majinamizi ya mamlaka haramu aliyojitwalia kinyume na matakwa ya wananchi.

Kaamua kutumia migambo wake wa kisiasa kutisha wananchi na mabunduki tuliyoyanunua wenyewe.
 
umeandika nini , purely rubbish
Vijana wote wa CCM ni ma imbecile ...kwasababu kuanzia Magu mwenyewe kidhungu ni shida wanakua na hasira mno wakisikia tuu kaneno kaki dhungu
 
The Tanzania elections were not free and fair. From pre-election intimidation of the opposition, to ballot staffing,media gagging, lack of transparency in vote counting.

Magufuli did not have to do all this just to get a higher victory margin, he would have won fairly with a smaller margin anyway.

The Tanzania we are seeing in the media at this time is not the Tanzania we are used to.

Please Tanzania don't go down this path where elections will shut down a country like it happens in Kenya, something we are fighting to solve.

Magufuli is taking Tanzania backwards
Takataka
 
Acha ulimbukeni kiingereza ni lugha Kama lugha nyingine mbona magufuli anatumia kiswahili lakini habari zake zimeandikwa Kwa lugha mbalimbali duniani
Vijana wote wa CCM ni ma imbecile ...kwasababu kuanzia Magu mwenyewe kidhungu ni shida wanakua na hasira mno wakisikia tuu kaneno kaki dhungu
 
Back
Top Bottom