passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Mmeshindwa kujenga Chama chenu kutoka chini mtaweza kuishinda CCM? Chama hakiwezi kujijenga mkipewa nchi mtaweza kujenga. CCm imeshinda kihalali Kwa sababu ina wanachama na wapiga Kura wengi.
Dikteta uchwara magu-fool anababaika na nchi mpaka anazima whatsapp.
Anaweweseka na majinamizi ya mamlaka haramu aliyojitwalia kinyume na matakwa ya wananchi.
Kaamua kutumia migambo wake wa kisiasa kutisha wananchi na mabunduki tuliyoyanunua wenyewe.
Dikteta uchwara anadhani anaimiliki nchi yetu kwenye viganja vyake. Nadhani pia ule ufupi wake unamsababisha kuwa na fukuto la kiburi wakati wote.