1. Ufisadi wa CCM ni mfumo; naweza kutamka hapa authoritatively kwamba John Magufuli hana ubavu wala mbinu za kuubadilisha hata chembe! kwa sababu CCM kuna watu wenye chama chao; na kwa bahati mbaya Magufuli sio mmoja wao!!
2. Magufuli hana ushawishi wowote wa maana ndani ya CCM; amelelewa kwenye periphery ya chama sio M-CCM kindakindaki kama walivyo kina Kikwete na Lowassa; Option aliyonayo Magufuli ni kutumia madaraka ya Urais na ubabe; ambao sio mbinu salama kwake kwa sababu watagang up na kumgeuka ajikute anaingia majanga kama yaliyomkuta Thabo Mbeki kule Afrika Kusini - RECALL!!
3: Mkakati wa kubadilisha katiba ya CCM uko katika advanced stages ili kutenganisha kofia ya Mwenyekiti wa chama na Rais wa Jamhuri; na mkakati huo ni mahsusi kumdhibiti Magufuli kutokana na kiinachoitwa HULKA YAKE YA UBABE; hilo likikamilika Magufuli hataweza kufurukuta na Urais wake, brakes kulia na kushoto juu na chini!! atakuwa frustrated na kuanza kutumia state power (mamlaka ya Urais na vyombo vya dola) to reign them in; kwa maana ya kuwadhibiti which is a perfect recipe for total anarchy ndani ya chama ambayo for obvious reasons therefore NJI nzima!!
Hata hivyo tusubiri tuone!!!!!!!