Uchaguzi 2020 Magufuli atakosa kura za wana CCM toka familia hizi

Uchaguzi 2020 Magufuli atakosa kura za wana CCM toka familia hizi

Mkuu siyo uchaguzi wa serikali za mitaa. Atapataje asilimia 100% wakati atakosa kura ya.

1. Familiq ya Mangula
2.Familia ya Makamba
3. Familia ya Kinana
4. Fimilia ya Malecela
5. Familia ya Tizeba
6. Familia ya Mwandosa
7. Familia ya Mnauye
8.Ndugulile
9. Familia ya Masele
10. Familia ya Chenge
11. Familia yangu
 
CCM HATUNA SHIDA YA KULA KUTOKA KWENYE HIZO FAMILIA. HIZO KULA WAPEKE KWA YULE JAMA YENU WA KIKI ZA MIUJIZA. ILA USHINDI WA MAGUFULI NI 100% .
 
Chedema bana mwaka huu hamjaweka wa kushinda na magufuli lissu ni underdog
 
Kafie mbali usilete uchuro ccm sio chama cha kupigania maslahi binafsi ila kinapigania maslahi ya umma.
 
Sawa jumla ya wenye vyet fekii wastani ni 17000, wafanyakazi Jumla nchini 6,000,000 na wenye mtazamo kama wako kati ya jumla yao ni 400,000, wengine watamfuta magu na wastaaf wastani 20,000 jumla wote na rafiki ndg na wote uwadaniao iwe 2,000,000 au m 3 jumlisha wanachama wote upinzani 8,000,000 kumbuka idadi jumla ya waliojiandikiasha ni million 29 watakaopiga kura kisia million 24. Hiyo toa hao milion10 watabaki hao 14 wa magu kazi bado.
 
IMG_20200908_232916.jpg
IMG_20200822_132046.jpg
IMG_20200822_132037.jpg
IMG_20200822_132031.jpg
 
Makundi yafuatayo hayawezi kumpatia kura Magufuli.
1. Watumishi wote wa umma waliotia nia kugombea ubunge CCM wakaambulia kukosa mishahara Julai na Agosti.
2. Watumishi wa umma wana CCM ambao walitakiwa kupandishwa madaraja Julai 2020 hawajapandishwa mpaka sasa.
3. Watumishi wana CCM waliofuzwa kwa vyeti feki wakanyimwa na mafao yao.
4. Wafanyabiashara wana CCM waliokadiliwa kodi ya juu ya TRA wakafunga biashara mpaka leo TIN zao zinasoma deni.
5. Wanafunzi wana CCM wote waliokosa mikopo elimu ya juu kuanzia 2015 mpaka sasa.
6. Wahitimu wa vyuo vikuu wana CCM ambao hawajaajiriwa tangu wamalize elimu ya juu.
7. Wapambe wa CCM wa wagombea wa CCM waliopita bila kupingwa ambao wamekimbilia Dar na kuwaacha na njaa majimboni wapambe.
8. Wana CCM walioongoza kura za maoni lakini wamekatwa lawana zao zote ni kwa Magufuli.
9. Wajumbe wote wa kura ya maoni ambao mgombea wao aliongoza lakini amekatwa.
10. Wakulima wa mazao ya biashara wana CCM ambao wananyonywa na vyama vya ushirika na halmashauri kwa kodi kubwa.
Watakao acha kumpigia kura Rais Magufuli hapo 28/10/2020 ni wana JF wachache mnaoandika mambo hayo humu ambamo hao mnaowasemea hawapajui. Mnapigia mbuzi gitaa tu!
 
Sisi tuliolitumikia taifa letu zaidi ya miaka 10 then tunatumbuliwa kwa vyeti feki...yaani hata buku ya shukrani hamna...Sisi na familia zetu CCM watusahau kabisa.
 
[SUB]Wewe pimbi kweli. Kwani hiyo miundombinu amejenga kwa hela ya mfukoni mwake! Na unataka utuambie kabla ya kubebwa na akina Kikwete mwaka 2015, hakukua na miundombinu?[/SUB]
[SUB]Uvccm mna akili finyu sana.[/SUB]
Waambie mkuu miundombinu ni njia ya upigaji majizi yote hupitia hapo kukwiba. Au mwambie akupe mikataba ya kandarasi zote usipotoa chozi.
 
Sie tuliosomesha watoto ila wapo tu humu humu mitaani hawana kazi
 
Mbona makundi mengi sana mkuuu.

11. Bomoa bomoa ya wakazi wa kimara na kibamba.
12. Bomoa ya kinondoni mkwajuni.
13.wanafunzi 70000 wa UDOM waliofukuzwa usiku
14. Wanahari wote koz wameshindwa kuuza habari zao na kuvitangaza vyombo vyao.
15.Machinga na wajasiliamali wotewanaolipishwa 20000 kila mwaka.

Bia kusahau ukoo wa Mo,Anzory saa nane, Akwilina na ndugu za wote waliookotwa kwenye viloba. Nk nk nk
Ivi Manji na nduguze wapo Tanzania wasaidie ktk kampeni
Hahahhahahhhahahha
 
Unachafua uzi mithili ya mtu aliyechafua maji kwa kunya kwenye maji

Ha ha nimenyea maji@ kuliko mturudishe mambo ya zamani ya kudharauliwa na Nchi kama Malawi na Kenya. Tanzania sasa tumeanza kujitambua ila tutafanyaje tutaenda na nyie hivyo hivyo! Tanzania sasa ni boss wa east Africa
 
Back
Top Bottom