Uchaguzi 2020 Magufuli atakosa kura za wana CCM toka familia hizi

11. Familia yangu
 
CCM HATUNA SHIDA YA KULA KUTOKA KWENYE HIZO FAMILIA. HIZO KULA WAPEKE KWA YULE JAMA YENU WA KIKI ZA MIUJIZA. ILA USHINDI WA MAGUFULI NI 100% .
 
Chedema bana mwaka huu hamjaweka wa kushinda na magufuli lissu ni underdog
 
Kafie mbali usilete uchuro ccm sio chama cha kupigania maslahi binafsi ila kinapigania maslahi ya umma.
 
Sawa jumla ya wenye vyet fekii wastani ni 17000, wafanyakazi Jumla nchini 6,000,000 na wenye mtazamo kama wako kati ya jumla yao ni 400,000, wengine watamfuta magu na wastaaf wastani 20,000 jumla wote na rafiki ndg na wote uwadaniao iwe 2,000,000 au m 3 jumlisha wanachama wote upinzani 8,000,000 kumbuka idadi jumla ya waliojiandikiasha ni million 29 watakaopiga kura kisia million 24. Hiyo toa hao milion10 watabaki hao 14 wa magu kazi bado.
 
Watakao acha kumpigia kura Rais Magufuli hapo 28/10/2020 ni wana JF wachache mnaoandika mambo hayo humu ambamo hao mnaowasemea hawapajui. Mnapigia mbuzi gitaa tu!
 
Sisi tuliolitumikia taifa letu zaidi ya miaka 10 then tunatumbuliwa kwa vyeti feki...yaani hata buku ya shukrani hamna...Sisi na familia zetu CCM watusahau kabisa.
 
[SUB]Wewe pimbi kweli. Kwani hiyo miundombinu amejenga kwa hela ya mfukoni mwake! Na unataka utuambie kabla ya kubebwa na akina Kikwete mwaka 2015, hakukua na miundombinu?[/SUB]
[SUB]Uvccm mna akili finyu sana.[/SUB]
Waambie mkuu miundombinu ni njia ya upigaji majizi yote hupitia hapo kukwiba. Au mwambie akupe mikataba ya kandarasi zote usipotoa chozi.
 
Sie tuliosomesha watoto ila wapo tu humu humu mitaani hawana kazi
 
Ivi Manji na nduguze wapo Tanzania wasaidie ktk kampeni
Hahahhahahhhahahha
 
Unachafua uzi mithili ya mtu aliyechafua maji kwa kunya kwenye maji

Ha ha nimenyea maji@ kuliko mturudishe mambo ya zamani ya kudharauliwa na Nchi kama Malawi na Kenya. Tanzania sasa tumeanza kujitambua ila tutafanyaje tutaenda na nyie hivyo hivyo! Tanzania sasa ni boss wa east Africa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…