HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,563
- 48,223
Nakuambia sie tusiowahi kusafiri nje ya tanzania ni hatari, mimi lazima nihisi kizunguzungu hapo bora nikipakiwa kwenye gari niwe nimefumba macho au waniweke kitambaa machoni nisione kwa njeYaani hapo ukinishusha na kibodaboda changu ndio ntachanganyikiwa kabisaa yaan ntashindwa pa kuelekea