Magufuli atatufikisha huku kweli kwenye hizi flying over??

Yaani hapo ukinishusha na kibodaboda changu ndio ntachanganyikiwa kabisaa yaan ntashindwa pa kuelekea
Nakuambia sie tusiowahi kusafiri nje ya tanzania ni hatari, mimi lazima nihisi kizunguzungu hapo bora nikipakiwa kwenye gari niwe nimefumba macho au waniweke kitambaa machoni nisione kwa nje
 
hahaha hivyo vijimilima vya Shengena ni vidogo sana hata kwenye historia haviingii... Kumbe wewe ni wa Shengena? eenh Nishafika hadi Saseni hadi Jiwe la Mjerumani alimoficha Hazina zao nilichungulia japo sikuona kitu kwa giza la ndani ya Maji...


Hapana mimi sio wa upareni nilienda tu kufanya kazi muda kidogo ndo maana Eiyer ananiulizia
 
mmmh! labda wakati Riziwani Kikwete atakapokuwa presidia wetu........
 
Kuna moja hapo ipo labelled 'top speed' sijaelewa kwanini ni fly over, yaani sijaona huo mzunguko wa ki-fly over unamaana gani?
 
Ilikua karibu sana kutufikisha huko ila bahati mbaya ikawa kwetu, sidhani kwa miaka ya hivi karibuni tunaweza kufikia hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…