Mtemikwila
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 1,389
- 1,063
Hii kitu ni ujinga ulio pitiliza,nakuhakikishia ikitokea shilika akapewa mzungu kitu cha kwanza kufanya atajitahidi kuwafwata wateja mpaka vichochoroni na kuwaonganishia umeme almost bure ili watu wanunue umeme na yeye apate fedha.Matokeo yake mteja ndie anawabembeleza Tanesco ili wamuungie umeme hadi anahonga ili aupate umeme.
Yule aliyempa mkewe tenda za kulisha tanesco?Bora angemrudisha Eng Mhando
Sasa Mramba na Magufuli + Muhongo nani dhaifu kiutendaji? Au kwakuwa wanapigapiga makelele majukwaani! Hivi TANESCO aliyoikuta Mramba unaifahamu? Ile TANESCO ya Mhando!Safi sana, awamu hii watendaji dhaifu hawatakiwi!
wateja wa taneesko tukae mkao wa kulaaaaAya haya haya sasa kumekuchaaaa sasa kumekuchaa jogoo.limewika taneskooo
Sikubaliani na wewe kampuni kama hii kuongozwa na BCom. Anatakiwa Eng aliye na MBA au Project Management.
BCom itabidi atumie muda mwingi kujifunza na ku-understand their language kabla ya kuanza kuperform. Unless awe amekuwa kwenye hii industry kwa muda mrefu.
Tunazungumzia first hundred and fifty something sahizi wewe bado uko first eleven!Mpaka ipatikane first eleven watakaa bench wengi
Ni kama kula na kuliwaukikubali kuteuliwa
kubali na kutenguliwa
mkuu unit700anagawa wapi sijaelewa[/QUOTE]19119692, member: 32158"]safi magufuli mramba alikuwa anapwaya sana
huwezi gawa unit 700 bure bure kwa shirika linalopata hasara...
Mchawi wa Tanesco ni Tanesco mwenyewe... Magufuli Hajaliona hili?
mramba ni jipu kubwa sana
Kumekua na Wimbi la Kuteua Wahadhiri ambao hawajawahi hata kukaa Ofisini zaidi ya Kuzoea Ku deal na Coursework za wanafunzi hivi kwa mfano Utumbuzi wa Lawrence Mafuru pale Wizara ya Fedha alikosekana mtu kweli hadi wakaenda kumchukua Lecture wa Economics UDSM?
Mwele Malecela ametumbuliwa hivi karibuni katika kitui cha Utafiti wa Tiba na Magonjwa cha Ajabu hajapelekwa pale Daktari Wa binanadamu amepelekwa mtu aliyebobea kwenye Fisheries!
Leo hii ametumbuliwa ndugu Engineer Mramba hivi hata pale TANESCO walimkosa mtu wa kushika nafasi hiyo sizijui sana mpangilio/hirachy za vyeo pale Tanesco lakini Hata Regional Managers wanaweza kushika nafasi hiyo tofauti na aliyetoka kushika chako moja kwa moja.
Mkuu hizi siasa za kuwatenga kina meku ni nzuri sana. Zinatakiwa ziachwe zimee sana muda ukifika tutapata majibu. Kule Rwanda hazikuanza siku moja zilipaliliwa zikamwagiliwa maji muda ulipofika wakavuna. Wacha tuvumilie tu mnama.Mnama naona povu linakutoka ovyo ndugu yetu katumbuliwa daah!
Tulikuwa namshambulia JK bure alitukumbuka kina meku sasa huu mziki wa sasa hivi ni hatari mnama.
Tufanyeje mnama?