Maamuzi ya mwendo kasi.Nina uhakika utumbuaji huu hauna uhusiano kabisa na maamuzi ya mapendekezo ya kupanda kwa bei ya "nishati " yaliyofanyika hivi karibuni bali ni ule muendelezo wa kutaka kuweka "watu wake" sehemu muhimu.Kwani kwa mtu yeyote makini wa nishati hii anayejua "trend" nzima ya shirika hilo jinsi lilivyochoka na mzigo wa madeni lililonalo lililosabishiwa na serikali yenyewe hakukuwa na jinsi nyingine zaidi ya hayo mapendekezo na pia sio kwamba kutoa mapendekezo ni kosa bali anayetoa ruhusa ndo anastahili kuadhibiwa na sio mtoa mapendekezo.