Ilankunda1234
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 4,841
- 4,797
Acha kuwaza kwa kutumia kampeni za mwaka janaHii serikali mbona inafanya watu wote kama hatuna akili. kuhusu kupandisha kwa bei mbona EWURA waliweka kila kitu public?? Kwann serikali isiingilie kati toka wakati ule???. Yan Jan Mos imefika maamuzi ya mlipulipuko yanafanyika as if ndo serikali yote imejua jana kwamba bei ya umeme itapanda. Hapa ndipo serikali ya Mtukufu Rais inapopofanya siasa wakati ndugu zangu wa Upinzani wanapigwa mikwara kila leo. Hiz ni siasa uchwara.[HASHTAG]#SerikaliYaMilipuko[/HASHTAG].
IPPs fell from heaven? Nikuombe tena ujadili hoja zangu zote kama nilivyoziwasilisha.Synonyms means - "the same or nearly the same".
Hivyo Tanesco ina ukaribu na serikali kwa maana ya kuisaidia au kufanya kazi kwa niaba ya serikali katika sera ya nishati kupitia wizara ya nishati na madini.
Lakini, hiyo haimaanishi kwamba Tanesco ndiyo serikali kwa maana kwamba wanaweza kujiamulia watakavyo.
Raisi JPM alipokuwa akifungua mtambo wa gesi wa Kinyerezi katikati ya mwaka jana alitoa agizo (directive) kwa Tanesco (Mramba) kwamba wasiingie mikataba ingine au mipya au kuiongeza muda kwa IPPs.
Na alisema wazi kwamba hii mikataba ni mwanya wa IPPs kuwakamua wnanchi wa hali ya chini kupitia upandishaji bei ya umeme.
Sasa hata kama wewe ni CEO wa taasisi kama Tanesco, si lazima ukumbuke kuna Serikali?
***"Wakuu wa TANESCO hawapaswi kulipana bonus kila mwisho wa mwaka kiasi cha kufikia Tzs. 60m/- kwa mtu mmoja wakati shirika linashindwa kujiendesha isipokuwa kwa kupandisha bei ya Umeme."
Next iwe board iliyoidhinia kulipana huko.
Huyu ndio Magu bhana, habari za kuwa ofisini na kuamua yako itakomeshwa kwa maslahi mapana ya wanyongeshikamoo magufuli hapo nimekuvulia kofia
WACHA MAJUNGU TOA DATA KAMILI ZA WAZI,HUO NI WIVU WAKO HAUFIKI POPOTE FANYA KAZI TU !Naona kaamua kuweka Mhaya ila kwa dkt. Mwinuka ndo kachemsha moja kwa moja!! Namfahamu Mwinuka tena sana.
IPPs fell from heaven? Nikuombe tena ujadili hoja zangu zote kama nilivyoziwasilisha.
***Ipo siku jamaa atatengua maamuzi ya refa uwanjani hakyanani.
Walikua wamezidiTengua teua tengua... naona mkuu anacheza na mapigo ya mioyo za watu kama kitenesi!
Siyo mbaya academia kupewa nafasi za kuweka usomi wao katika vitendo. Mataifa kama Marekani ni kitu cha kawaida. Tatizo ni hawa wasomi wetu wakiishatoka vyuoni hawataki kurudi tena kurudisha uzoefu wao kwa faida ya wanafunzi na usomi kwa ujumla.Sasa hawa wahadhiri mbona wanaisha pale UDSM😵😵😵
safi magufuli mramba alikuwa anapwaya sana
huwezi gawa unit 700 bure bure kwa shirika linalopata hasara...
Mchawi wa Tanesco ni Tanesco mwenyewe... Magufuli Hajaliona hili?
mramba ni jipu kubwa sana
Maamuzi ya mwendo kasi.Nina uhakika utumbuaji huu hauna uhusiano kabisa na maamuzi ya mapendekezo ya kupanda kwa bei ya "nishati " yaliyofanyika hivi karibuni bali ni ule muendelezo wa kutaka kuweka "watu wake" sehemu muhimu.Kwani kwa mtu yeyote makini wa nishati hii anayejua "trend" nzima ya shirika hilo jinsi lilivyochoka na mzigo wa madeni lililonalo lililosabishiwa na serikali yenyewe hakukuwa na jinsi nyingine zaidi ya hayo mapendekezo na pia sio kwamba kutoa mapendekezo ni kosa bali anayetoa ruhusa ndo anastahili kuadhibiwa na sio mtoa mapendekezo.
Zitto huwa Ana theory yake kuhusu umeme, iptl aka pap na escrowHivi kosa ndio hilo la kuiomba EWURA ipandishe bei ili kuweza kujiendesha?au kuna mengine?
Kumbe Mramba angefamu wananchi wanachotaka angependekeza kushusha bei ya Umeme..huenda angepata promotion coz wananchi twahitaji ata Umeme uwe bure..!Mwaka mpya Eng.Mramba anauanza vibaya
WACHA UONGO WA WAZI JE UNA DATA ZAO ?Sasa hawa wahadhiri mbona wanaisha pale UDSM😵😵😵
Hapa kuna double standard zinatumika. Nchi inaendeshwa kikanda,kikabila na kidini.Huyu alikuwa mmoja wa watu waadilifu kwenye hii nchi. Na uchafu wa wakina muhongo nashangaa hawa watendaji wanawezaje kufanya kazi
Kwa mwendo huu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kitachuja.Rais Magufuli leo ametengua rasmi uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme nchini(TANESCO), Eng. Felchesmi Mramba.
Aidha Rais amemteua Dkt. Tito Esau Mwinuka kukaimu nafasi hiyo. Kabla ya uteuzi huo Dkt. Mwinuka alikuwa mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM).