Tatizo la njinia no uchaga wakeIt was staged na sarakasi nyingi na walijua tu watamfukuza. Umeme utapanda bei tuu, si tupo humu JF.
God bless you Injinia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo la njinia no uchaga wakeIt was staged na sarakasi nyingi na walijua tu watamfukuza. Umeme utapanda bei tuu, si tupo humu JF.
God bless you Injinia
gift, acha kusikiliza kauli za wanasiasa!haya mambo ni ya kitaalamu sana. Kuchimba gesi baharini ni ghali usiombe. Anayewekeza huko kurudisha hela zake lazima gesi iuzwe gari and hence umeme. Mnadanganywa tu. I have been in Norway, Sweden where Statoil (Norway) is situated! Nimeongea na wao kama marafiki tu, sio kazi rahisiNajua hilo ila niliona ujio wa gesi utaongeza uzalishaji wa umeme hivyo umeme wa maji ungeshuka kidogo badala yake wanapandisha
nadhani kuna la ziada hapo maana kuna wahauri wanampotosha kiongozi wetu mbona wa ewura kaachwa????y mramba ???Hivi kosa ndio hilo la kuiomba EWURA ipandishe bei ili kuweza kujiendesha?au kuna mengine?
Hiyo ndio kauli mbiu yetu kwa sasa, tunawalinda "wanyonge walioumbwa kwa mfano wa Mungu"; wanaowanyanyasa wameumbwa kwa mfano wa shetani, ni kuwatumbua tu, hakuna namna nyingine!"Wananchi wanyonge, walioumbwa kwa mfano wa Mungu".
Wananchi ambao sio "wanyonge" wao wameumbwa kwa mfano wa nani?
Hivi "wanyonge" nchi hii ni nani? Wako wapi? Unyonge wao umesababishwa na nani/nini? Hivi ni kweli baada ya miaka 55 ya uhuru bado tuna Tanzania ya "wanyonge"walioumbwa kwa mfano wa Mungu?
Kweli kabisa. Na hili ndo linatokea ATCL. Japo MD wake siyo phd lakini kwa vile ni wa kuokotwa mambo hayaendiIla kuna jambo hapa ambalo sijaelewa... naomba wajuvi wanijuze! Hivi unachomoa vipi Mwalimu wa Chuo kuwa Managing Director wa shirika lenye changamoto lukuki?! Hivi PhD inaweza ku-solve changamoto za TANESCO pasipo na kuwa na uelewa kwa mapana na marefu ya changamoto za TANESCO na energy sector kwa ujumla?! Au Mheshimiwa Daktari alitokea private/public commercial sector kabla hajawa Mhadhiri?
Unaweza kutoa flow ya how things need to be done kabla ya kutangaza bei mpya ya umeme?! Usiongee kwa maneno bali with reference manake EWURA wamesema wazi kwamba:Serekali inawasiliana kwa nyaraka...madokezo...paper trail sio kujitangazia tangazia
Hapa naona kuna kitu, hata ingekuwa mimi ningependa shirika ninaloliendesha lipate faida kubwa! Lazima nilete mapendekezo ya kupandisha bei! Ila pia kuna mdhibiti anahakiki! Sasa Huyu Mramba kosa lake ni nini? Mimi sioni mdhibiti kakubali sasa ndio mwenye proposal ahukumiwe?nadhani kuna la ziada hapo maana kuna wahauri wanampotosha kiongozi wetu mbona wa ewura kaachwa????y mramba ???
Kosa kubwa ni mramba🙂🙂nadhani kuna la ziada hapo maana kuna wahauri wanampotosha kiongozi wetu mbona wa ewura kaachwa????y mramba ???
Mkuu kwa akili ya kawaida hata mtoto wa darasa la saba anaelewa kuchukua hiyo kitu baharini sio kitu kidogo teknolojia ya juu inahitajika.gift, acha kusikiliza kauli za wanasiasa!haya mambo ni ya kitaalamu sana. Kuchimba gesi baharini ni ghali usiombe. Anayewekeza huko kurudisha hela zake lazima gesi iuzwe gari and hence umeme. Mnadanganywa tu. I have been in Norway, Sweden where Statoil (Norway) is situated! Nimeongea na wao kama marafiki tu, sio kazi rahisi
ndio maana nikasema kuna la ziada yaan mtu aliyetoa ruhusa kaachwa aliyetoa wazo katumbuliwa maajabu zaidi yatatokea!!Hapa naona kuna kitu, hata ingekuwa mimi ningependa shirika ninaloliendesha lipate faida kubwa! Lazima nilete mapendekezo ya kupandisha bei! Ila pia kuna mdhibiti anahakiki! Sasa Huyu Mramba kosa lake ni nini? Mimi sioni mdhibiti kakubali sasa ndio mwenye proposal ahukumiwe?
Vitu vidogo sana hivi ndugu yangu! Inawezekana Richard ni baba wa familia tena mwenye madaraka kwenye serikali ya JPM!
Trust me, watu wa aina hiyo hawawezi kuvumilia criticism!! Na ni social factor kamwe huwezi kuwalaumu!
Sasa hebu pata picha Kamanda IGP Ernest Mangu anaingia JF kwa jina la chige... hivi unadhani atavumilia criticism? THUBUTU...! Hata kama anajiita chige but still yeye ni Mangu; baba wa familia na Mkuu wa Jeshi la Polisi!!!
Kwahiyo hilo la kutoka nje mara moja moja wala lisikupe shida; msisitizo uwe ni kwenye kutovuka mipaka!!!!
Tuna ushahidi thabiti kuwa umeme unaibiwa kwa kiwango unachokisema cha kuleta hasara kubwa hivyo? Au ni wanasiasa? Mimi umeme unaniathiri ukipanda, sitaki bei ipande, ila siungi mkono the way we make decision on such important issues, victimizing people.Mkuu kwa akili ya kawaida hata mtoto wa darasa la saba anaelewa kuchukua hiyo kitu baharini sio kitu kidogo teknolojia ya juu inahitajika.
Ila sioni sababu ya tanesko kupandisha umeme labda waseme wanashindwa kucontrol umeme wao wajanja wanaiba hivyo wanaingia hasara.
Ukishindwa kucontrol kinachotoka basii hata kinachoingia hutaweza. kuna sehemu nimeishi mambo yanafanywa bwana sio mchezo. sababu ya tanesko kupata bhasara ni kuibiwa umeme hivyo ni uzembe wao wala sioni sababu ya kupandisha bei bali walinde nishati yao isiibiwe na wezi
Udini maybe but be sure ukabila is real.Nakubaliana na wewe kwa huyu D. Mhaiki. Huyu Bwana ni Engineer mzuri sana, alianzia SCADA huko mpaka kafikia hapo alipo, analijua vyema shirika hilo. Asingehitaji mda wa kujifunza uendeshaji na terminologies wanazotumia ndani ya hilo shirika! Wenyewe wanasema; he would have hit the ground running! Hilo la udini na ukabila I'm better than that. It's not my area of interest!
Unaweza kutoa flow ya how things need to be done kabla ya kutangaza bei mpya ya umeme?! Usiongee kwa maneno bali with reference manake EWURA wamesema wazi kwamba:
View attachment 453211
Hao sasa, wanadai walifuata taratibu kwa mujibu wa sheria na kanuni hizo hapo juu! Which means; kama taratibu hazikufuatwa; ina maana EWURA nao hawakufuata sheria na kwa kiburi tu wakapokea maombi ambayo hayakufuata utaratibu na hatimae kuidhinisha kupanda umeme wakati taratibu hazikufuatwa!!!
Kwanini basi serikali hawakuanza na hawa waliodhinisha upandaji wa bei ya umeme wakati serikali haijaarifiwa? Au hiyo EWURA ina mamlaka nyingine juu yake?!
Hii sababu inaonekana siyo ya kweli maana kama sababu ni hiyo, board na mkurugenzi wa EWURA walistahili kuwa wa kwanza kuhojiwa.argument ya msingi kuhusu kutenguliwa kwa Mramba ni kwamba hawakufuate procedure..