asvptx
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 1,940
- 1,014
Hahaha ukweli pia ni mzigo. Inaumaa? ๐นUjinga ni mzigo....๐๐
Mkuu wa Tandale naomba ceasefire ๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha ukweli pia ni mzigo. Inaumaa? ๐นUjinga ni mzigo....๐๐
Hehehe!!! Tatizo akienda huko atazembea maana kuna jinsi mtu hubadilika kulingana na uliowakuta, Wakenya wakiajiriwa Tanzania huenda na ule mzuka wa uchapaji kazi Kikenya, jamaa wanakuzingua huku wakikuambia ujue huko ni Bongo na kila kitu huendeshwa kibongobongo, wanachelewa vikao bila sababu za maana, mtu anakuambia alihudhuria harusi sehemu, wakati mwingine unaandika ripoti kurasa kama 200, umezikeshea wiki kama mbili halafu unawapa rasimu (draft), na kuwapa muda wa wiki kadhaa wasome, siku unawaita kikao mjadili hiyo ripoti unakuta hakuna aliyeisoma hata ukurasa mmoja....hehehe
Ndio zao hawa na ndio maana huwa unaona wanaingia mikataba wanapigwa sana, jamaa anapewa mkataba wenye kurasa kama 200, anauliza wapi pa kutia saini basi.
Mkuu, naomba nikuulize
Wakati wote unapoanzisha mada ni lazima iwe chonganishi kwa Kenya na Tanzania?
Kwanini mwelekeo wa hoja zako zote ni wa kujenga chuki, utengano na ubinafsi sisi ni wananchi wa Afrika Mashariki
Binafsi nimeishi Kenya na Tanzania
Badala ya kujenga chuki jenga umoja, badala ya kubeza kosoa na rekebisha ukiweza, badala ya kuzomea na kukashifu, shauri.
Itendee haki elimu yako na utu wako na zaidi Afrika Mashariki.
We are tired of nonsense competition.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ndio tatizo lenu wakenya wa mitandaoni hamuijui TanzaniaHahaha. Hawa watu ni wa ajabu sana. Sijawahi kufika Bongo ila ni wazi kuwa ni watu wavivu sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu huwa nafuatilia taarifa za kwenye tv zenu aisee, kila siku lazima ziwepo ripoti 2 au tatu za watu kulia njaa!Hahaha. Hawa watu ni wa ajabu sana. Sijawahi kufika Bongo ila ni wazi kuwa ni watu wavivu sana. Nilijua hivyo kwa kupitia takwimu za GDP tu. Yaani ni vipi wao wana watu milioni 60 na Gdp yao ni 60% ya Gdp ya Kenya, ilhali Kenya tuna watu 46 milion? Yaani kupitia takwimu tu unajua hawa ni wazembe. Hata kwa mtu mwenye hasomi data, anaweza angalia mambo kama uanaspoti hivi, wapo zero.
Pia ukitazama wanaomiliki uchumi wao karibu wote ni waarabu na wahindi. Pia ukiangalia upande wa masomo, Wabongo wachache sana ni international experts in any field. Kama sisi tuna Mukhisa Kituyi, Ngugi wa Thiong'o, Makau Mutua, Prof Ali Mazrui, Dr Wangari Maathai, na kadhalika na wote wanajulikana kimataifa na wengi niliowataja ni wasomi wenye Phd. Sasa bongo isipokuwa ule mama Tibaijuka, sijui msomi mwingine.
Hata rais wao ambaye anadai kuwa ana Phd ya chemistry, juzi nilifuatilia academic publications zake. Kuna publication tu moja google scholar na pia hio publication, link yake haifanyi. Hata kimasomo wamezembea vibaya sana.
Nimekuelewa sana.nimekupata, ila Wakenya mko na maneno mingi sana.Amesifia utendakazi wa mtu binafsi, Balozi Dan Kazungu usiwe shallow kiasi hicho. Alafu anachosifiwa ndio kazi yake ambayo anaifanya inavyostahili. Sijui mabolozi wenzake kutoka Tz waliokuwepo akiyanena maneno hayo walijihisi vipi kusikia Nyang'au anasifiwa na mdosi wao, tena mbele yao. Nakumbuka mwaka uliopita mbunge Jaguar alipojaribu kueneza chuki dhidi ya watz ambao wapo Kenya, balozi wa Tz nchini Kenya hakuonekana popote wala kusikika. Ndio hao hao wanaoambiwa wamuige, badala ya kuketi maofisini bila ubunifu wowote wakingoja posho miaka nenda, miaka rudi.
Muulize MK254 kwanini alikuwa hataki kuondoka tz hadi nguvu ya ziada ilitumika maana huyo mk254 alitelekeza hadi familia yake Kenya sasa muuliza sababuYaani awache kuwa raia wa middle income economy aende awe raia wa least developed economy? Doh! Hio ni ngumu kumeza jamani.
In fact tunataka tuipitishe ifike 104% na hakuna kitu mtafanya ๐๐น[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu huwa nafuatilia taarifa za kwenye tv zenu aisee, kila siku lazima ziwepo ripoti 2 au tatu za watu kulia njaa!
Sasa hiyo GDP yenu inawasaidia nini hasa?
IMF juzi imewaonya juu ya madeni, deni lenu 67% ya pato la taifa.
Ardhi wanaimiliki mafisadi kina Kenyata,
Ukabila unanuka kila kona,
Sasa nyie kipi hasa mnajivunia hapo Kenya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora sisi kuliko Uhuru Kenyatta yeye anapewa mkataba Wa kurasa 200 asomi chochote ni mambo ya handshake na kupiga pombe tu.Hehehe!!! Tatizo akienda huko atazembea maana kuna jinsi mtu hubadilika kulingana na uliowakuta, Wakenya wakiajiriwa Tanzania huenda na ule mzuka wa uchapaji kazi Kikenya, jamaa wanakuzingua huku wakikuambia ujue huko ni Bongo na kila kitu huendeshwa kibongobongo, wanachelewa vikao bila sababu za maana, mtu anakuambia alihudhuria harusi sehemu, wakati mwingine unaandika ripoti kurasa kama 200, umezikeshea wiki kama mbili halafu unawapa rasimu (draft), na kuwapa muda wa wiki kadhaa wasome, siku unawaita kikao mjadili hiyo ripoti unakuta hakuna aliyeisoma hata ukurasa mmoja. Hehehe
Ndio zao hawa na ndio maana huwa unaona wanaingia mikataba wanapigwa sana, jamaa anapewa mkataba wenye kurasa kama 200, anauliza wapi pa kutia saini basi.
GDP ya Kenya 80% ni Mali ya mabeberu only 20% ndiyo mali ya wakenya tofauti na yatz 20% ndiyo ya mabeberu and 80% ni Mali ya watzHahaha. Hawa watu ni wa ajabu sana. Sijawahi kufika Bongo ila ni wazi kuwa ni watu wavivu sana. Nilijua hivyo kwa kupitia takwimu za GDP tu. Yaani ni vipi wao wana watu milioni 60 na Gdp yao ni 60% ya Gdp ya Kenya, ilhali Kenya tuna watu 46 milion?
Yaani kupitia takwimu tu unajua hawa ni wazembe. Hata kwa mtu mwenye hasomi data, anaweza angalia mambo kama uanaspoti hivi, wapo zero. Pia ukitazama wanaomiliki uchumi wao karibu wote ni waarabu na wahindi. Pia ukiangalia upande wa masomo, Wabongo wachache sana ni international experts in any field.
Kama sisi tuna Mukhisa Kituyi, Ngugi wa Thiong'o, Makau Mutua, Prof Ali Mazrui, Dr Wangari Maathai, na kadhalika na wote wanajulikana kimataifa na wengi niliowataja ni wasomi wenye Phd. Sasa bongo isipokuwa ule mama Tibaijuka, sijui msomi mwingine. Hata rais wao ambaye anadai kuwa ana Phd ya chemistry, juzi nilifuatilia academic publications zake. Kuna publication tu moja google scholar na pia hio publication, link yake haifanyi.
Hata kimasomo wamezembea vibaya sana.
Tungeboronga si utabiri wa Melinda ungetimia kwetu!!! Ila the fun fact ni kuwa mnatuponda then baadaye mnapita njia mulemule tulimopita....Soon mtaelekea Madagascar ๐
Sasa wewe hata hilo shamba la kukodi unalo kweli hapo kwa "Kinyata" au unaishi kwa hisani ya michemsho ya githeri za kuokota majalalani? [emoji23]Unaimba wimbo wa ardhi na wakati wewe umekodi ardhi kutoka kw ccm
Sent using Jamii Forums mobile app
Amesifia utendakazi wa mtu binafsi, Balozi Dan Kazungu, usiwe shallow kiasi hicho. Alafu kilichofanya amsifie ndio kazi yake, ambayo anaifanya inavyostahili. Sijui mabolozi wenzake kutoka Tz waliokuwepo akiyanena maneno hayo walijihisi vipi, waliposikia Nyang'au anasifiwa na mdosi wao, tena mbele yao. Nakumbuka mwaka uliopita, mbunge Jaguar alipojaribu kueneza chuki dhidi ya watz, ambao wapo Kenya, balozi wa Tz nchini Kenya hakuonekana popote wala kusikika. Ndio hao hao wanaoambiwa wamuige, badala ya kuketi maofisini bila ubunifu wowote ule wakingoja posho, miaka nenda, miaka rudi.
Yaani awache kuwa raia wa middle income economy aende awe raia wa least developed economy? Doh! Hio ni ngumu kumeza jamani.
Hakuna Kiingereza chochote wanachojua hawa nyang'au mufilis!Kenya ndio middle income economy? Labda mnatuzid kingereza tuu
Komesha korona
Walishaenda Madagascar kimya kimya.Tungeboronga si utabiri wa Melinda ungetimia kwetu!!! Ila the fun fact ni kuwa mnatuponda then baadaye mnapita njia mulemule tulimopita....Soon mtaelekea Madagascar ๐