ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,938
- 6,942
Tuna Rais mwana sayansi, mcha Mungu na msomi wa Phd kwenye masuala ya chemicals. Nyie mna rais mlevi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe hebu angalia hili suala la corona wanavyoboronga, unashangaa jameni nchi haina wataalam wanasayansi wa kutoa muongozo na ushauri, kila mtu anabwatuka chochote.
Sent using Jamii Forums mobile app