Magufuli awaasa mabalozi wa Tanzania wajifunze kutoka kwa balozi wa Kenya nchini Tanzania

Madagascar mbona tulianza kujadili nao hata kabla yenu, sisi tunaskliza wataalam na kufuata ushauri wao na ndio maana hatujakurupuka kutuma ndege kama mlivyofanya kisha vikombe vikaishia kunywewa na wakubwa, makajamba wakaachwa wajifie.
Wajifie!! wanafia wapi?
 
Mtafute prof Muhongo.
Geologist
Go and Google him

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkenya kabla ya kumpa kazi unapaswa uanze kwa kuandaa prison iliyo na maximum security ya kumpeleka kwa kosa la wizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
60% ya $100 bn ni sawa na uchumi wote wa tanzania[emoji1787][emoji1787] na bado nchi haiyumbishwi kijinga kiuchumi, ile siku mtadaiwa madeni kiasi hicho tanzania kwishnehi[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ambavyo kenya imekwisha[emoji16][emoji16][emoji16]. Hivi ile bandari kubwa kule lamu imefikia hatua gani[emoji846][emoji846][emoji846]
 
kama ambavyo kenya imekwisha[emoji16][emoji16][emoji16].

hivi ile bandari kubwa kule lamu imefikia hatua gani[emoji846][emoji846][emoji846]
Kwhyo miaka yote mmeshindwa kum overtake mtu ambaye amekwisha tayari..[emoji23][emoji23][emoji122]
Yani hii comment imedhihirisha uzembe wenu..
Nchi ina madeni sawia na uchumi wenu lkn bado inawatoa pumzi[emoji122][emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utakuwa hai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lengo letu sio kuwa na GDP kubwa au kumu overtake kenya,GDP ni tarakimu tu.tunachotaka ni maisha bora kwa wanachi.
 
Kwani huko kwenu GDP ni chakula?
GDP zile ni namba tu wala hazina mahusiano yoyote na uhalisia wa maisha ya watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…