Magufuli City yaiva huko Dodoma, wasiompenda kuteseka maisha yao yote

Kwa akili hizo inaelekea hata walimu wako shuleni ulikuwa unawaona makatili maana wanakuchapa kila ukileta ujinga na saa zingine wanakuchangia ofisi nzima ya waalimu kukuchapa mpaka ngozi inachanika.

Walikuwa makatili sana, au sio?

Au umesoma "international" weye?

Vipi na wazazi wako - hususani mshua - hakuwaga mkatili kukumiminia bakora ukileta ujinga?
 
Hapa Kazi & Kasi Tu!!!

^Nani Kiboko!??? John Pombe kiboko yao!!!

^Nani Kiboko!??? John Pombe kiboko yao!!!

^Amefanya mengi, hata sisi sote tunayaona!!!^ (TOT)
Hahaha nyumbu watajinyonga kwa wivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…