Magufuli fires nearly 10,000 civil servants

Magufuli fires nearly 10,000 civil servants

Not sure if Raila can match JPM, kitendo cha kua karibu na wauza unga akina Joho na the Armenia brothers kinanipa shaka sana na huyu bwana na JPM yeye alisema hakuna mfanyabiashara mwenye jeuri ya kumdai favour eti kamwazesha kuingia Ikulu...sasa huyu Raila hao wafanyabiashara wamejipanga kuchanga kumuweka Ikulu ili baadae wavune...sio Kenyatta wala Uhuru mwenye kua na udhubutu wa Raisi Magufuli...
Sori sio Kenyatta wala Raila
 
Lakini Wabongo, huwa mnatuita wezi.....hivi hao wote walikua na vyeti feki ndani ya serikali???? Najua hata Kenya wamo, lakini a freaking 10,000 civil servants with fake certificate and you still call yourself the most honest society.
Its survival kaka rule of the jungle...survival of th fittest elimination of th weakest...system yenyewe iliruhusu haya yafanyike na yastawi kwa miaka mingi ila sasa Raisi na serikali yake wameona uozo huu ufikie kikomo sasa...kudos JPM
 
Lakini Wabongo, huwa mnatuita wezi.....hivi hao wote walikua na vyeti feki ndani ya serikali???? Najua hata Kenya wamo, lakini a freaking 10,000 civil servants with fake certificate and you still call yourself the most honest society.

My friend 99% of Kenyans working in private sectors in Tanzania have fake certificates, tu ki wa count wanawezafika 5k
 
Its survival kaka rule of the jungle...survival of th fittest elimination of th weakest...system yenyewe iliruhusu haya yafanyike na yastawi kwa miaka mingi ila sasa Raisi na serikali yake wameona uozo huu ufikie kikomo sasa...kudos JPM

Nilitazama hotuba yake Magufuli akiwa Moshi kuhusu hili suala, yaani yuko serious sio mchezo tena ameamua liwalo na liwe. Dah Magufuli hata kama ana mapungufu mengine lakini kwa hili nimemkubali kabisa.
 
Nilitazama hotuba yake Magufuli akiwa Moshi kuhusu hili suala, yaani yuko serious sio mchezo tena ameamua liwalo na liwe. Dah Magufuli hata kama ana mapungufu mengine lakini kwa hili nimemkubali kabisa.

The president who knows no nonsense. No nonsense entertainment.

We hope you'll go for Raila to have a full set of serious guys who mean their utterance.
Mpeni naye Raila afanye kazi. Hata waangusha kamwe.
 
Nilitazama hotuba yake Magufuli akiwa Moshi kuhusu hili suala, yaani yuko serious sio mchezo tena ameamua liwalo na liwe. Dah Magufuli hata kama ana mapungufu mengine lakini kwa hili nimemkubali kabisa.
Kwa hili kaka yupo sahihi kabisa, ebu tazama wahitimu wa chuo kikuu na kwingineko ambao wasoma na vyeti halali na wenye nia ya kutumikia hii nchi alafu wengine wanaona ee isiwe shinda wanatumia short cut kwa vile wana ma refa mahala wa kuwabeba yaani ni noma sana kaka...ila duu wengine wanatia huruma maana unakuta japo cheti feki lakini amesoma chuo kihalali na kufaulu kihalali ila kile cheti cha kumpeleka chuo ndio alifoji ili kuingia chuo...ni balaa kwa wengine ambao hata hicho chuo hajawai kanyanga lakini yupo kazini kwa bwebwe zote kama vile amefalu kotekote kwa A..kazi ipo
 
Hivi Magu aliajiri wengine ama ni hivyo basi

Serikali ‘yamwaga’ ajira 15,000
IMEANDIKWA NA MAGNUS MAHENGE, DODOMA | IMECHAPISHWA: 04 MEI 2017

SERIKALI itamwaga ajira 15,000 kwa watumishi wa kada mbalimbali serikalini kabla ya Juni 30, mwaka huu.

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dk Laurean Ndumbaro akizungumza na vyombo vya habari kwenye Ukumbi wa Habari wa Bunge, alisema ajira hizo ni za mwaka wa fedha unaoishia Juni 30, mwaka huu na uchambuzi unaoonesha kila kada itapata watumishi wangapi utatolewa baadaye.

http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/22617-serikali-yamwaga-ajira-15-000
 
Serikali ‘yamwaga’ ajira 15,000
IMEANDIKWA NA MAGNUS MAHENGE, DODOMA | IMECHAPISHWA: 04 MEI 2017

SERIKALI itamwaga ajira 15,000 kwa watumishi wa kada mbalimbali serikalini kabla ya Juni 30, mwaka huu.

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dk Laurean Ndumbaro akizungumza na vyombo vya habari kwenye Ukumbi wa Habari wa Bunge, alisema ajira hizo ni za mwaka wa fedha unaoishia Juni 30, mwaka huu na uchambuzi unaoonesha kila kada itapata watumishi wangapi utatolewa baadaye.

http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/22617-serikali-yamwaga-ajira-15-000
Magu anayumbisha sana hii serikali
 
Magu anayumbisha sana hii serikali

Mbegu ikipandwa haina budi kuoza kabla ya kuanza kumea. Wazaramo wanasema " kumkoma nyani jiladi" (ukitaka kumuua nyani usimuangalie usoni), hatua kama hizi zikichukuliwa kuna watu lazima wataumia ila hamna budi kusonga mbele.
 
Hivi Magu aliajiri wengine ama ni hivyo basi
Hizo nafasi karibia zote ambao hili janga limekuta zipo wazi na tayari wenye sifa za hizo ajira wameanza ku apply kuajiriwa serikalini...na pia wale ambao wameonewa wana appeal kupindua kutimuliwa kwao na utaratibu upo wazi jinsi ya kukata rufaa...hii ishu ya vyeti ni mtihani babu usisikie wengine vyetu vimetumiwa bila wao kujua yaani majanga...
 
this is my best president...probably the best in the world.we dont need Odinga or Kenyatta...we need someone like Magu
kenyans u are not investigating about many thing which mugu have proved failure u cannot compare him with kenyatta , kenyatta is the best
 
Not sure if Raila can match JPM, kitendo cha kua karibu na wauza unga akina Joho na the Armenia brothers kinanipa shaka sana na huyu bwana na JPM yeye alisema hakuna mfanyabiashara mwenye jeuri ya kumdai favour eti kamwazesha kuingia Ikulu...sasa huyu Raila hao wafanyabiashara wamejipanga kuchanga kumuweka Ikulu ili baadae wavune...sio Kenyatta wala Uhuru mwenye kua na udhubutu wa Raisi Magufuli...
jaman nilisikia kenyatta aliagiza kila mwanafunzi wa shule ya msingi na awali apewe computer je alitekeleza?
 
kenyans u are not investigating about many thing which mugu have proved failure u cannot compare him with kenyatta , kenyatta is the best
What I see here about Kenyans about Magu is because one of the many vices Magu s takin no jokes s corruption...kenya s ranked among the worst hit by the vice..they see Magu effort and to them that serious action tackling all t n puttin the public sector on the spot to behave as they are supposed...Magu is not an angel to fix all, challenges are there but he s showing that he mean business..
 
Huyu raisi mi nampenda sana, yaani hana mchezo. Twende kazi Maghufuli!!!
 
kenyans u are not investigating about many thing which mugu have proved failure u cannot compare him with kenyatta , kenyatta is the best

Kichwa maji wewe, Uhuru Kenyatta amefanya nini cha kujivunia. Peleka upunguani wako Chit-chat, humu sio kiwango chako.
 
Back
Top Bottom