Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 666
- 1,277
Mafisadi kwa JPM Walitulizwa wakatulia wahuni na wajanja wajanja walinyoosha mikono waliteseka na walinyanyasika na sababu kubwa ni wizi wao
Magufuli aliogopeka kwa majizi na maharamia ya nchi hii kuanzia kwa wenye vyeti feki mpaka Mafisadi wakubwa
Wazalendo msihofu majizi na mafisadi yanatumana kuharibu image ya Magufuli lakini yanaonekana majinga maana huwezi kupingana na mtu aliyesimamia ukweli
Magufuli aliogopeka kwa majizi na maharamia ya nchi hii kuanzia kwa wenye vyeti feki mpaka Mafisadi wakubwa
Wazalendo msihofu majizi na mafisadi yanatumana kuharibu image ya Magufuli lakini yanaonekana majinga maana huwezi kupingana na mtu aliyesimamia ukweli