Magufuli hayupo kipi kinawafanya CHADEMA kuliachia hewani suala la Wabunge 19 wa Viti Maalum?

Magufuli hayupo kipi kinawafanya CHADEMA kuliachia hewani suala la Wabunge 19 wa Viti Maalum?

Friends and Enemies, Greetings!

Hatuwezi endelea kuishi katika kivuli cha lawama kwa mwendazake hasa katika mambo ambayo yeye aliyafanya huku akiamini kwamba huenda alikuwa anaijenga Tanzania ya ndoto yake.

Binadam tumeumbwa kusahau, ila kama nchi tutakuwa tunafanya makosa sana kusahau japo kwa sekunde moja uvunjaji wa sheria uliofanyika katika suala la wabunge wa Chadema hawa covid 19 ambao kiukweli siyo tuh sakata hilo limevunja katiba, bali pia linafuja pesa zetu za jasho la kodi yetu.

Kuna kila dalili kwamba suala hilo lilipata baraka kutoka kwa mwendazake na Job Ndugai akatumika kama rubber stamp ya kuhitimisha suala hilo kibabe bila kujali katiba, wala sheria huku akijua kuwa ana backup ya Dola.

Swali kwa Mbowe na Chadema kwa ujumla, ni kipi kinawafanya waendelee kusugua miguu chini juu ya suala hili? Je, wana matumaini kuwa Job Ndugai atameza matapishi yake na kurud nyuma akatenda haki?

Pili, let's say walikuwa wanahofu ya mkono wa chuma wa mwendazake, mwendazake sasa keshaondoka, hofu yao ni nini kufanya mobilization kwa wanachama wake?

Mbowe na Chadema wako kwenye mission ya kuhamasisha katiba mpya; siyo jambo baya na ni kweli tunahitajio,Ila hili la Covid 19 mbona hatuliskii Tena?wameshalishana yamin tayar na hawa wabunge wao?

Tuanze na Kitila Mkumbo, Zitto kabwe, Halima Mdee, Patrobas Katambi, Peter lijualikali, Vicent Mashinji, Mwita Waitara, Joshua Nassari, Wibroad Slaa na wengine wengi, ni watu ambao kwa namna moja ama nyingine wamepita kwenye MIKONO ya Mbowe na Chadema.

Lakin ondoka ondoka yao kutoka chadema na kuchukuliwa na CCM kunaacha maswali mengi Sana kwetu sisi wananchi, nayo ni:

1. Either mbowe ni mjinga Sana

2. Mbowe ni mwerevu Sana ila anasalitiwa na hawa jamaa huku akihujumiwa na Dola

3. Mbowe ni sehemu ya Dola,I mean he's party and parcel of a big project

4. Au Mbowe anatengeneza mapinduz indirect way kwa kuwatumia hawa hawa jamaa zake,kwamba anatuma jeshi lake kuwajoin Ili baadae aje kuwadestroy, sielewi

Ukimya wake na chama chake na kuonesha dalili ya kuchoka kutolea majibu suala lenye ukakasi kama hili la Covid 19 kwa vitendo kunatia shaka Sana kuhusu nia ya dhati ya wapinzan katika kuongoza nchi hii.

Je,wanastahili kuchukuliwa seriously au CCM bado haijapata mbadala wake katika kuongoza Taifa hili.
Suala la wakina Halima Mdee lipo nje ya uwezo wa Chadema kama chama.
 
Ni kweli kama chadema wako serious sana na wanataka mabadiliko wanayo ya hubiri ni wakati wa kufanya maandamano nchi nzima kulazimisha wabunge hao watolewe.

Namimi nawauliza wanaogopa nini?
Hivi yale maandamano ya BAWACHA yaliishia wapi ? Au alivyotolewa Afande Muroto na kiki za maandamano zimekufa naturally.
 
hiki ni kielelezo cha taasisi zetu kuwa dhaifu kiutendaji - hili ni tatizo kubwa sana - mifumo ya utawala wa Taifa letu una matobo mengi.



Asante mkuu,saut iendelee kupazwa
 
Na kama wamepata nafas ya kuzunguka nchi maeneo karibu yote,kuhamasisha katiba mpya, wataweza vip kuitetea hiyo katiba mpya,na Ili hali hii ya sasa inavunjwa na wako weak katika kuitetea isivunjwe?
Shida waliweza kujificha kwenye kichaka cha Magufuli na sasa Magufuli is dead and gone watamwimbie wanaogopa nini kama wao ni wana mabadiliko?
 
Binafsi nashauri wasamehewe na MAISHA YAENDELEE

YALIYOPITA SINDWELE TUGANGE YAJAYO
 
Hatuwalaum,swali letu kwao ni kwamba wao kama chama wameshakata tamaa tayar juu ya suala Hilo?
Chadema imewafuta uanachama, katiba inasema nini kuhusu mbunge asiyekua na chama? Kina mama wa Chadema walitaka kuandamana hadi kwa spika hi ni baada ya spika kuendelea kuwalinda, uliusikia ule mkwara wa police kuhusu hayo maandamano? Unataka Chadema wafanye nini zaidi mkuu? Mbona hili kama ni jukumu la wananchi tena na sio Chadema.
 
Friends and Enemies, Greetings!

Hatuwezi endelea kuishi katika kivuli cha lawama kwa mwendazake hasa katika mambo ambayo yeye aliyafanya huku akiamini kwamba huenda alikuwa anaijenga Tanzania ya ndoto yake.

Binadam tumeumbwa kusahau, ila kama nchi tutakuwa tunafanya makosa sana kusahau japo kwa sekunde moja uvunjaji wa sheria uliofanyika katika suala la wabunge wa Chadema hawa covid 19 ambao kiukweli siyo tuh sakata hilo limevunja katiba, bali pia linafuja pesa zetu za jasho la kodi yetu.
Watanzania ni watu wa ajabu sana! Ukiwaonyesha tatizo lilipo wanataka wewe mwenyewe uliyeona tatizo ulitatue. Hii siyo kweli. Wengine tunatakiwa kusimamia kile alichotuonyesha mwenzetu ili tatizo liondoke. Sasa tukiendelea kusema, wewe uliyeona na kutuonyesha tatizo ndiye utatue hatutendi ipasavyo.

Fedha zinazofujwa na covid-19 ni za umma. Mtu mmoja angeenda hata mahakamani kushitaki kuvunjwa kwa katiba, kwamba kuna fedha za umma zinafujwa na wabunge hawa wasio na chama wakati katiba inamtaka mbunge awe na Chama.
 
Haahaa hyo itakuwa Sio taasisi Ni kikundi Cha wahuni, yaani sawa na mtu mwenye gari akafoji plate number za gari, Kisha raia mwema akatoa taarifa polis, Kisha polis asichukue hatua Kisha alaumiwe aliyetoa taarifa.
Kweli ndugu yangu. Chama kimetwambia wale sio wanachama wao. Sisi wenye fedha yetu tupaze sauti ili fedha hizo ziende kununua gloves hospitalini.
 
Sawa mkuu ILA ruzuku Chadema hawachukui na hii sio siri kabisa,always ukweli ubakie hivyo ili kuifanya hii JF iaminike
 
CHADEMA walishalimaliza hili suala kwenye first phase, wakawavua uanachama, sasa kuwaondoa bungeni kama mleta mada unavyotaka ni suala la Ndugai ambapo taratibu zote za kufanya hivyo kwa upande wa Chadema walizimaliza, kusema Chadema wamepoa sio kweli, wanaonekana kupoa kwasababu kazi yao walishaimaliza.

Hata hilo Baraza Kuu likija kukaa japo linaonekana kusuasua, kazi yake naamini itakuwa ni kupigilia msumari kile kilichofanywa na KK, sidhani kama patakuwa na jingine jipya zaidi ya hilo, kwani mpaka kufikia hapa tulipo, wale jamaa kule bungeni ni wahujumu uchumi tu, sio wanachama wa Chadema, binafsi ningependa Samia aoneshe kwa vitendo haki anayoipigania kwenye hili.
 
Back
Top Bottom