Uchaguzi 2020 Magufuli kakosea sana kampeni zake mkoani Mara. Je, haujui mkoa ule au hapendi watu wake?

Uchaguzi 2020 Magufuli kakosea sana kampeni zake mkoani Mara. Je, haujui mkoa ule au hapendi watu wake?

Baada ya kuapishwa alikuja Chuga ambako hakupata kura nyingi akiwa kavalia kombati za JWTZ kuonesha msiyempenda kaja....katumia miaka mitano kutunyoosha, sasa ni zamu yetu kutumia walau siku moja tu kumyoosha....tukutane October 28.
Huyu jamaa wa hovyo sana
 
Hata hao unaosagesti warudishwe wanakinaisha sababu muda wao ulishapita....wasanii wenyewe hawavutii.

Mtu pekee wa kuzinusuru kampeni za Magu ni Lissu.
Tatizo vijana wa sasa hawataki kujenga hoja. Watasifia tu, ukiuliza unatukaniwa mama yako.

Kuhusu Lissu tungoje hiyo siku.

Sent from my POT-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Nilishasema huyu Jiwe anaweza akaishia njiani. Ameshaanza kuhubiri chuki badala ya kunadi sera. Kinachofuata ni matusi kisha kuanza kucheza rafu.

Jiwe siasa haziwezi na hivi sasa ataanza kujionyesha wazi kuwa hana asili ya Tanz. Huwezi kukusanya kodo toka kwa wapiga kura kisha urudi kuwakejeli namna ile. Ataanguka jukwaani kwa jazba.
Kwenye hizi kampeni CCM wanalo...hivi ushawasikia wakipiga ule wimbo pendwa.....waacheni waandamane eeh...wataisoma namba?....theya already know karma is a bitch.
 
Nilishasema huyu Jiwe anaweza akaishia njiani. Ameshaanza kuhubiri chuki badala ya kunadi sera. Kinachofuata ni matusi kisha kuanza kucheza rafu.

Jiwe siasa haziwezi na hivi sasa ataanza kujionyesha wazi kuwa hana asili ya Tanz. Huwezi kukusanya kodo toka kwa wapiga kura kisha urudi kuwakejeli namna ile. Ataanguka jukwaani kwa jazba.
Na Lissu anatakiwa sasa aanze kumtandika law hizi kejeli zake kwa wapiga kura.

Huu ubaguzi haukubaliki hata kidogo.
 
PANGANI....

Kwa hiyo Dkt. Magufuli aache hadaa,
Mkuu mbona jimbo la bunda vijijini hujalitaja halina hata barabara ya lami mbunge wake si ni ccm boniface getere kwa nini huko hakupeleka maendeleo?
 
Hapa hakuna mshindi..., kuna One Big Looser nae ni Tanzania....

Tunavunja misingi ya UTU kwa kudhani tunatengeneza VITU
 
Usisahau kwa Joseph musukuma Kule Geita vijijini. Hakuna barabara, shule watoto wanasomea chini, hakuna maji na ziwa Victoria limewazunguka, vijiji vya Nyamikoma, Kamwanga na Lwenge huku Geita vijiji hakuna maji, hakuna umeme, hakuna vituo vya afya, hakuna masoko, hakuna shule za msingi Wala sekondari na hakuna barabara hata ya moramu ya kupitisha gari. kule ni shida 100% . Alipata ubunge anasema yeye ni darasa la 7. Yule ni sawa na mganga wa kienyeji. Tunaomba Magufuli akifika Geita atembelee vijiji hivi ajionee maajabu ya dunia. Cha ajabu kabisa vijiji hivi vinazungukwa na mgodi mkubwa duniani, Geita gold mine, unaozalisha dhahabu Ila hauna msaada wote kwa wananchi wanauzunguka mgodi huo.
Tatizo la CCM miaka yote ni kudhani watu wooote ni malofa wapumbaf...!!
Wanadhani Watanzania hawatembei wala hawatambui sababu ya umaskini wao!!
 
Handeni na kilindi huko Tanga watu wake hawana taarifa kama binadamu anatakiwa kuishi kwa furaha ni shida kubwa ya kutisha kipindi Godwin Gondwe 'double G' akiwa DC kule kuna wakati kulikuwa na njaa alikuta watu wanakula maembe machanga na wengine wakishindia udongo hadi alilia.

Huko Dodoma majimbo mengi likiwamo la Kongwa njaa huwa haichelewi utawakuta wagogo wanakusanya funza (caterpillar) na kwenda kuwakaanga kiungo ni chumvi.

Sasa koote huko ccm imetamalaki na hakuna chama kimewahi gusa huko na ndo makao makuu ya umasikini hapa tz halafu utakuta mtu anashusha shudu kwamba majimbo ya upinzani hayapi kitu huu ni upuuzi wa kutupwa kwani mkoa wa Dodoma wasingekula funza kipindi cha njaa.
 
..kodi anakusanya nchi nzima.

..lakini maendeleo anapeleka walipochagua ccm tu.

..na haoni aibu kusema mambo hayo.
Magufuli anastahili kuchapwa fimbo nyingi tu. Sababu ni muuaji wa maendeleo ya wanainchi. Sote tunalipa kodi, maendeleo ni kwa kila Mtanzania.
Magufuli apigwe tu, hamna namna.
 
Hajajua kuwa Mara ni mkoa wa kina Mura. Hawarembi. Watamfurumusha huko. Alipoingia Mara aliona kibao kimeandikwa "KARIBU MKOA WA MARA"???

Napata taabu sana tunapo jiridhisha nafsi zetu kwa kudhania tunavyo fikiria na kupendezwa ndio utakuwa ukweli on the ground. Hali hii inapunguza uwezo wa kuweka jitihada za kueneza Injili ya Chadema katika hizo sehemu hizo.

Mkoa wa Mara naona kama vile tunaupoteza. Tuata elewa mambo mengi na kuona uwezekano wa matokeo kadiri muda unavyo kwenda.
 
Salaam wana JF...

Jana tarehe 04.09.2020 nikiwa nimetulia sehemu nilibahatika kufungulia TBC1 na kukuta kampeni za Dkt. Magufuli akiwa mkoani Mara.

Muda wa alasiri, alikuwa Bunda, badae akapita na kusimama Kiabakari, ni eneo la mnada wilayani Butiama.
Leo najua atakuwa na mkutano Musoma mjini.

Mambo niliyoshangaa kwa Dkt. Magufuli:-

1. Aliwaambia wananchi wa Bunda kwamba hakuwafanyia maendeleo yoyote, kwa sababu wao walichagua upinzani.

-Akawauliza "nyinyi hamjiulizi mko karibu na Ziwa lakini hamna maji?"
-Akawauliza "hamuoni wenzenu Lamadi (mpakani mwa Bunda, jimbo Busega) wana taa za barabarani, nyie hamna?!"
- Akawaambia, hata barabara nimeendeleza zinazowazunguka hapa nikawaruka.

Mwisho akaishia kuwaambia mnichagulie mbunge wa CCM, na madiwani wa CCM.

Nilishangaa hakueleza zaidi atawafanyia nn, ila aliwaahidi kuwa mkinichagulia mbunge wa CCM nitakuja kuwashukuru, na siku hiyo ndio ntakuja na mipango yote kuibadilisha Bunda.

Akawasisitiza wasichague maupinzani tena.

ETI HAWEZI KUACHA MTOTO WAKE, AKAMHUDUMIA WA JIRANI.

Nampa pole Dkt. Magufuli kwa haya na timu yake ya kampeni.

Inaelekea hajui vizuri watu wa Mara (hasa eneo la Bunda).

-Moja, sio watu wa kutishiwa vitu kabisa. Pole Dkt. Magufuli

Kwa hili, Bunda umepoteza.
Wale wamezoea kuishi na upinzani tangu Nyerere akiwa hai.

Unamtishia mwana Bunda (Mwikizu, Msizaki, Mzanaki, Mkurya, n.k) vitu?!!!! Eti ndio akuchague?

UME FAIL....

Hawakuchagui, watasema baki na taa zako za barabarani.

Wale ni kina LadyJaydee hawatishwi na hawapigi magoti.

Sijui huko usukumani labda wanapiga magoti.

- Mbili,
Ni uongo mkubwa kwamba Bunda haina maendeleo kisa kuwa upinzani.

Nikuulize leo upo Musoma mjini, ambayo ipo CCM awamu hii yako ya kwanza;

Mbona Musoma mjini imefubaa kuliko Bunda?, mji umepotea na biashara haziendi mpaka watu wameukimbia?! Mbona huko yupo mbunge wa CCM?

Haya BUTIAMA je?

Mbona siku zote wapo CCM. Tena wanapitaga bila kupingwa. Mbona BUTIAMA imechoka sana.

- BUTIAMA haina maji, lakini ipo CCM.
Mbunge CCM, Madiwani CCM.

- BUTIAMA kampuni yako ya Mayanga imeshindwa kujenga Barabara ya Butiama - Serengeti, na hela walilipwa, Mradi wa kumalizika 2015, mpaka leo umekufa.

Mbunge CCM, Madiwani CCM.

- BUTIAMA haina hospital ya maana, Haina sekondari ya maana, Haina soko la maana.

Mbunge CCM, Madiwani CCM.

ACHA HADAA, HAKUNA CHA CCM.

-HALAFU UNAJIITA KABISA RAIS WA MAENEO YA CCM TU.!!

2. AKIWA KIABAKARI.
Akiwa hapa alisema tatizo kubwa la Jimbo la BUTIAMA, ni ukabila.

Aisee you're very WRONG.

Butiama haina ukabila kabisa.
Ndio maana hata ulivyosema hivyo niliona kila mtu ananyamaza.

Sijui ulimaanishi nini. Ila umedanganywa pakubwa, matatizo ya BUTIAMA ni mengine kabisa.

Nakuhurumia sana.

Halafu mu MSHAURI JPM AACHE KUTISHA WAPIGA KURA kwamba hatawafanyia maendeleo kwa vile wanachagua upinzani.

Ni uongo mkubwa...

Haya ni majimbo ambayo yapo CCM, lakini ni maskini vibaya sana..

1. BUTIAMA
2. BUKOMBE
3. BUSEGA
4. MANYONI
5. MUSOMA VIJIJINI
6. KIBITI
7. RUFIJI
8. MKURANGA
9. MVOMERO
10. UKONGA
11. KAKONKO
12. MAGU
13. IRAMBA
14. MAKETE
15. NEWALA
16. MTAMA
17. KIVUU
18. SUMBAWANGA
19. NZEGA KASKAZINI
20. NZEGA KUSINI
21. SENGEREMA
22. CHATO
23. LONGIDO
24...........

Mwana JF...

Taja MAJIMBO mengine yaliyopo CCM lakini ni maskini vibaya mno...

Comment hapa Chini.....
Mkuu una uhakika no 10. UKONGA ni jimbo masikini sana?
umetumia vigezo gani kusema UKONGA ni maskini?
 
Unategemea Magufuli awaombee kura wapinzani?
You're wrong bro! Nisawa na Lissu kumuombea kura mgombea ubunge Ccm. Utakuwa ni ukichaa.

Magufuli nimgombea wa nafasi ya Uraisi kupita Ccm na anapofanya kampeni ni lazima awaombee kura wagombea wengine wa ubunge na udiwani wa Ccm.
 
Salaam wana JF...

Jana tarehe 04.09.2020 nikiwa nimetulia sehemu nilibahatika kufungulia TBC1 na kukuta kampeni za Dkt. Magufuli akiwa mkoani Mara.

Muda wa alasiri, alikuwa Bunda, badae akapita na kusimama Kiabakari, ni eneo la mnada wilayani Butiama.
Leo najua atakuwa na mkutano Musoma mjini.

Mambo niliyoshangaa kwa Dkt. Magufuli:-

1. Aliwaambia wananchi wa Bunda kwamba hakuwafanyia maendeleo yoyote, kwa sababu wao walichagua upinzani.

-Akawauliza "nyinyi hamjiulizi mko karibu na Ziwa lakini hamna maji?"
-Akawauliza "hamuoni wenzenu Lamadi (mpakani mwa Bunda, jimbo Busega) wana taa za barabarani, nyie hamna?!"
- Akawaambia, hata barabara nimeendeleza zinazowazunguka hapa nikawaruka.

Mwisho akaishia kuwaambia mnichagulie mbunge wa CCM, na madiwani wa CCM.

Nilishangaa hakueleza zaidi atawafanyia nn, ila aliwaahidi kuwa mkinichagulia mbunge wa CCM nitakuja kuwashukuru, na siku hiyo ndio ntakuja na mipango yote kuibadilisha Bunda.

Akawasisitiza wasichague maupinzani tena.

ETI HAWEZI KUACHA MTOTO WAKE, AKAMHUDUMIA WA JIRANI.

Nampa pole Dkt. Magufuli kwa haya na timu yake ya kampeni.

Inaelekea hajui vizuri watu wa Mara (hasa eneo la Bunda).

-Moja, sio watu wa kutishiwa vitu kabisa. Pole Dkt. Magufuli

Kwa hili, Bunda umepoteza.
Wale wamezoea kuishi na upinzani tangu Nyerere akiwa hai.

Unamtishia mwana Bunda (Mwikizu, Msizaki, Mzanaki, Mkurya, n.k) vitu?!!!! Eti ndio akuchague?

UME FAIL....

Hawakuchagui, watasema baki na taa zako za barabarani.

Wale ni kina LadyJaydee hawatishwi na hawapigi magoti.

Sijui huko usukumani labda wanapiga magoti.

- Mbili,
Ni uongo mkubwa kwamba Bunda haina maendeleo kisa kuwa upinzani.

Nikuulize leo upo Musoma mjini, ambayo ipo CCM awamu hii yako ya kwanza;

Mbona Musoma mjini imefubaa kuliko Bunda?, mji umepotea na biashara haziendi mpaka watu wameukimbia?! Mbona huko yupo mbunge wa CCM?

Haya BUTIAMA je?

Mbona siku zote wapo CCM. Tena wanapitaga bila kupingwa. Mbona BUTIAMA imechoka sana.

- BUTIAMA haina maji, lakini ipo CCM.
Mbunge CCM, Madiwani CCM.

- BUTIAMA kampuni yako ya Mayanga imeshindwa kujenga Barabara ya Butiama - Serengeti, na hela walilipwa, Mradi wa kumalizika 2015, mpaka leo umekufa.

Mbunge CCM, Madiwani CCM.

- BUTIAMA haina hospital ya maana, Haina sekondari ya maana, Haina soko la maana.

Mbunge CCM, Madiwani CCM.

ACHA HADAA, HAKUNA CHA CCM.

-HALAFU UNAJIITA KABISA RAIS WA MAENEO YA CCM TU.!!

2. AKIWA KIABAKARI.
Akiwa hapa alisema tatizo kubwa la Jimbo la BUTIAMA, ni ukabila.

Aisee you're very WRONG.

Butiama haina ukabila kabisa.
Ndio maana hata ulivyosema hivyo niliona kila mtu ananyamaza.

Sijui ulimaanishi nini. Ila umedanganywa pakubwa, matatizo ya BUTIAMA ni mengine kabisa.

Nakuhurumia sana.

Halafu mu MSHAURI JPM AACHE KUTISHA WAPIGA KURA kwamba hatawafanyia maendeleo kwa vile wanachagua upinzani.

Ni uongo mkubwa...

Haya ni majimbo ambayo yapo CCM, lakini ni maskini vibaya sana..

1. BUTIAMA
2. BUKOMBE
3. BUSEGA
4. MANYONI
5. MUSOMA VIJIJINI
6. KIBITI
7. RUFIJI
8. MKURANGA
9. MVOMERO
10. UKONGA
11. KAKONKO
12. MAGU
13. IRAMBA
14. MAKETE
15. NEWALA
16. MTAMA
17. KIVUU
18. SUMBAWANGA
19. NZEGA KASKAZINI
20. NZEGA KUSINI
21. SENGEREMA
22. CHATO
23. LONGIDO
24...........

Mwana JF...

Taja MAJIMBO mengine yaliyopo CCM lakini ni maskini vibaya mno...

Comment hapa Chini.....
Ngosha hakufaa hata kuwa kiongozi wa kata,
Ni mkabila,mtu wa visasi,ana Elimu kubwa,lakini akili hakuna,
 
Magufuli amepwaya mno haamini macho yake kwa jinsi alivyokutana na upinzani imara kabisa, amebakia kufoka, kutisha, kubwabwaja na kupayuka tu.
 
Unategemea Magufuli awaombee kura wapinzani?
You're wrong bro! Nisawa na Lissu kumuombea kura mgombea ubunge Ccm. Utakuwa ni ukichaa.

Magufuli nimgombea wa nafasi ya Uraisi kupita Ccm na anapofanya kampeni ni lazima awaombee kura wagombea wengine wa ubunge na udiwani wa Ccm.
Hatukatai yeye kuwaombea wabunge wa CCM kura.

Tunakataa kuwaambia wananchi, msipomchagua wa CCM , siwaletei maendeleo.

Kumbuka yeye ni Rais hadi sasa
 
Mkuu una uhakika no 10. UKONGA ni jimbo masikini sana?
umetumia vigezo gani kusema UKONGA ni maskini?
Dsm yote nimetembea.

Ukonga ndio jimbo lililofubaa hatari.

Nenda Majohe, Mwanagati, Kipunguni, huko bombambili, n.k

Hakuna barabara, kuna njia za ng'ombe..

Umeme wengi hawana, walionao unatoka kisarawe.

Maji ya Dawasco hayajafika.

Wanachimba visima, wanaoga na kunywa ya chumvi.

Nimeishi huko najua..
 
Back
Top Bottom