Huyu jamaa wa hovyo sanaBaada ya kuapishwa alikuja Chuga ambako hakupata kura nyingi akiwa kavalia kombati za JWTZ kuonesha msiyempenda kaja....katumia miaka mitano kutunyoosha, sasa ni zamu yetu kutumia walau siku moja tu kumyoosha....tukutane October 28.
Tatizo vijana wa sasa hawataki kujenga hoja. Watasifia tu, ukiuliza unatukaniwa mama yako.Hata hao unaosagesti warudishwe wanakinaisha sababu muda wao ulishapita....wasanii wenyewe hawavutii.
Mtu pekee wa kuzinusuru kampeni za Magu ni Lissu.
Kwenye hizi kampeni CCM wanalo...hivi ushawasikia wakipiga ule wimbo pendwa.....waacheni waandamane eeh...wataisoma namba?....theya already know karma is a bitch.Nilishasema huyu Jiwe anaweza akaishia njiani. Ameshaanza kuhubiri chuki badala ya kunadi sera. Kinachofuata ni matusi kisha kuanza kucheza rafu.
Jiwe siasa haziwezi na hivi sasa ataanza kujionyesha wazi kuwa hana asili ya Tanz. Huwezi kukusanya kodo toka kwa wapiga kura kisha urudi kuwakejeli namna ile. Ataanguka jukwaani kwa jazba.
Na Lissu anatakiwa sasa aanze kumtandika law hizi kejeli zake kwa wapiga kura.Nilishasema huyu Jiwe anaweza akaishia njiani. Ameshaanza kuhubiri chuki badala ya kunadi sera. Kinachofuata ni matusi kisha kuanza kucheza rafu.
Jiwe siasa haziwezi na hivi sasa ataanza kujionyesha wazi kuwa hana asili ya Tanz. Huwezi kukusanya kodo toka kwa wapiga kura kisha urudi kuwakejeli namna ile. Ataanguka jukwaani kwa jazba.
Mkuu mbona jimbo la bunda vijijini hujalitaja halina hata barabara ya lami mbunge wake si ni ccm boniface getere kwa nini huko hakupeleka maendeleo?PANGANI....
Kwa hiyo Dkt. Magufuli aache hadaa,
Tatizo la CCM miaka yote ni kudhani watu wooote ni malofa wapumbaf...!!Usisahau kwa Joseph musukuma Kule Geita vijijini. Hakuna barabara, shule watoto wanasomea chini, hakuna maji na ziwa Victoria limewazunguka, vijiji vya Nyamikoma, Kamwanga na Lwenge huku Geita vijiji hakuna maji, hakuna umeme, hakuna vituo vya afya, hakuna masoko, hakuna shule za msingi Wala sekondari na hakuna barabara hata ya moramu ya kupitisha gari. kule ni shida 100% . Alipata ubunge anasema yeye ni darasa la 7. Yule ni sawa na mganga wa kienyeji. Tunaomba Magufuli akifika Geita atembelee vijiji hivi ajionee maajabu ya dunia. Cha ajabu kabisa vijiji hivi vinazungukwa na mgodi mkubwa duniani, Geita gold mine, unaozalisha dhahabu Ila hauna msaada wote kwa wananchi wanauzunguka mgodi huo.
Magufuli anastahili kuchapwa fimbo nyingi tu. Sababu ni muuaji wa maendeleo ya wanainchi. Sote tunalipa kodi, maendeleo ni kwa kila Mtanzania.Nyerere angekuwa hai huyu jamaa angekuwa kaisha kula bakora kitambo
..kodi anakusanya nchi nzima.
..lakini maendeleo anapeleka walipochagua ccm tu.
..na haoni aibu kusema mambo hayo.
Magufuli apigwe tu, hamna namna.Magufuli anastahili kuchapwa fimbo nyingi tu. Sababu ni muuaji wa maendeleo ya wanainchi. Sote tunalipa kodi, maendeleo ni kwa kila Mtanzania.
Hajajua kuwa Mara ni mkoa wa kina Mura. Hawarembi. Watamfurumusha huko. Alipoingia Mara aliona kibao kimeandikwa "KARIBU MKOA WA MARA"???
Mkuu una uhakika no 10. UKONGA ni jimbo masikini sana?Salaam wana JF...
Jana tarehe 04.09.2020 nikiwa nimetulia sehemu nilibahatika kufungulia TBC1 na kukuta kampeni za Dkt. Magufuli akiwa mkoani Mara.
Muda wa alasiri, alikuwa Bunda, badae akapita na kusimama Kiabakari, ni eneo la mnada wilayani Butiama.
Leo najua atakuwa na mkutano Musoma mjini.
Mambo niliyoshangaa kwa Dkt. Magufuli:-
1. Aliwaambia wananchi wa Bunda kwamba hakuwafanyia maendeleo yoyote, kwa sababu wao walichagua upinzani.
-Akawauliza "nyinyi hamjiulizi mko karibu na Ziwa lakini hamna maji?"
-Akawauliza "hamuoni wenzenu Lamadi (mpakani mwa Bunda, jimbo Busega) wana taa za barabarani, nyie hamna?!"
- Akawaambia, hata barabara nimeendeleza zinazowazunguka hapa nikawaruka.
Mwisho akaishia kuwaambia mnichagulie mbunge wa CCM, na madiwani wa CCM.
Nilishangaa hakueleza zaidi atawafanyia nn, ila aliwaahidi kuwa mkinichagulia mbunge wa CCM nitakuja kuwashukuru, na siku hiyo ndio ntakuja na mipango yote kuibadilisha Bunda.
Akawasisitiza wasichague maupinzani tena.
ETI HAWEZI KUACHA MTOTO WAKE, AKAMHUDUMIA WA JIRANI.
Nampa pole Dkt. Magufuli kwa haya na timu yake ya kampeni.
Inaelekea hajui vizuri watu wa Mara (hasa eneo la Bunda).
-Moja, sio watu wa kutishiwa vitu kabisa. Pole Dkt. Magufuli
Kwa hili, Bunda umepoteza.
Wale wamezoea kuishi na upinzani tangu Nyerere akiwa hai.
Unamtishia mwana Bunda (Mwikizu, Msizaki, Mzanaki, Mkurya, n.k) vitu?!!!! Eti ndio akuchague?
UME FAIL....
Hawakuchagui, watasema baki na taa zako za barabarani.
Wale ni kina LadyJaydee hawatishwi na hawapigi magoti.
Sijui huko usukumani labda wanapiga magoti.
- Mbili,
Ni uongo mkubwa kwamba Bunda haina maendeleo kisa kuwa upinzani.
Nikuulize leo upo Musoma mjini, ambayo ipo CCM awamu hii yako ya kwanza;
Mbona Musoma mjini imefubaa kuliko Bunda?, mji umepotea na biashara haziendi mpaka watu wameukimbia?! Mbona huko yupo mbunge wa CCM?
Haya BUTIAMA je?
Mbona siku zote wapo CCM. Tena wanapitaga bila kupingwa. Mbona BUTIAMA imechoka sana.
- BUTIAMA haina maji, lakini ipo CCM.
Mbunge CCM, Madiwani CCM.
- BUTIAMA kampuni yako ya Mayanga imeshindwa kujenga Barabara ya Butiama - Serengeti, na hela walilipwa, Mradi wa kumalizika 2015, mpaka leo umekufa.
Mbunge CCM, Madiwani CCM.
- BUTIAMA haina hospital ya maana, Haina sekondari ya maana, Haina soko la maana.
Mbunge CCM, Madiwani CCM.
ACHA HADAA, HAKUNA CHA CCM.
-HALAFU UNAJIITA KABISA RAIS WA MAENEO YA CCM TU.!!
2. AKIWA KIABAKARI.
Akiwa hapa alisema tatizo kubwa la Jimbo la BUTIAMA, ni ukabila.
Aisee you're very WRONG.
Butiama haina ukabila kabisa.
Ndio maana hata ulivyosema hivyo niliona kila mtu ananyamaza.
Sijui ulimaanishi nini. Ila umedanganywa pakubwa, matatizo ya BUTIAMA ni mengine kabisa.
Nakuhurumia sana.
Halafu mu MSHAURI JPM AACHE KUTISHA WAPIGA KURA kwamba hatawafanyia maendeleo kwa vile wanachagua upinzani.
Ni uongo mkubwa...
Haya ni majimbo ambayo yapo CCM, lakini ni maskini vibaya sana..
1. BUTIAMA
2. BUKOMBE
3. BUSEGA
4. MANYONI
5. MUSOMA VIJIJINI
6. KIBITI
7. RUFIJI
8. MKURANGA
9. MVOMERO
10. UKONGA
11. KAKONKO
12. MAGU
13. IRAMBA
14. MAKETE
15. NEWALA
16. MTAMA
17. KIVUU
18. SUMBAWANGA
19. NZEGA KASKAZINI
20. NZEGA KUSINI
21. SENGEREMA
22. CHATO
23. LONGIDO
24...........
Mwana JF...
Taja MAJIMBO mengine yaliyopo CCM lakini ni maskini vibaya mno...
Comment hapa Chini.....
Ngosha hakufaa hata kuwa kiongozi wa kata,Salaam wana JF...
Jana tarehe 04.09.2020 nikiwa nimetulia sehemu nilibahatika kufungulia TBC1 na kukuta kampeni za Dkt. Magufuli akiwa mkoani Mara.
Muda wa alasiri, alikuwa Bunda, badae akapita na kusimama Kiabakari, ni eneo la mnada wilayani Butiama.
Leo najua atakuwa na mkutano Musoma mjini.
Mambo niliyoshangaa kwa Dkt. Magufuli:-
1. Aliwaambia wananchi wa Bunda kwamba hakuwafanyia maendeleo yoyote, kwa sababu wao walichagua upinzani.
-Akawauliza "nyinyi hamjiulizi mko karibu na Ziwa lakini hamna maji?"
-Akawauliza "hamuoni wenzenu Lamadi (mpakani mwa Bunda, jimbo Busega) wana taa za barabarani, nyie hamna?!"
- Akawaambia, hata barabara nimeendeleza zinazowazunguka hapa nikawaruka.
Mwisho akaishia kuwaambia mnichagulie mbunge wa CCM, na madiwani wa CCM.
Nilishangaa hakueleza zaidi atawafanyia nn, ila aliwaahidi kuwa mkinichagulia mbunge wa CCM nitakuja kuwashukuru, na siku hiyo ndio ntakuja na mipango yote kuibadilisha Bunda.
Akawasisitiza wasichague maupinzani tena.
ETI HAWEZI KUACHA MTOTO WAKE, AKAMHUDUMIA WA JIRANI.
Nampa pole Dkt. Magufuli kwa haya na timu yake ya kampeni.
Inaelekea hajui vizuri watu wa Mara (hasa eneo la Bunda).
-Moja, sio watu wa kutishiwa vitu kabisa. Pole Dkt. Magufuli
Kwa hili, Bunda umepoteza.
Wale wamezoea kuishi na upinzani tangu Nyerere akiwa hai.
Unamtishia mwana Bunda (Mwikizu, Msizaki, Mzanaki, Mkurya, n.k) vitu?!!!! Eti ndio akuchague?
UME FAIL....
Hawakuchagui, watasema baki na taa zako za barabarani.
Wale ni kina LadyJaydee hawatishwi na hawapigi magoti.
Sijui huko usukumani labda wanapiga magoti.
- Mbili,
Ni uongo mkubwa kwamba Bunda haina maendeleo kisa kuwa upinzani.
Nikuulize leo upo Musoma mjini, ambayo ipo CCM awamu hii yako ya kwanza;
Mbona Musoma mjini imefubaa kuliko Bunda?, mji umepotea na biashara haziendi mpaka watu wameukimbia?! Mbona huko yupo mbunge wa CCM?
Haya BUTIAMA je?
Mbona siku zote wapo CCM. Tena wanapitaga bila kupingwa. Mbona BUTIAMA imechoka sana.
- BUTIAMA haina maji, lakini ipo CCM.
Mbunge CCM, Madiwani CCM.
- BUTIAMA kampuni yako ya Mayanga imeshindwa kujenga Barabara ya Butiama - Serengeti, na hela walilipwa, Mradi wa kumalizika 2015, mpaka leo umekufa.
Mbunge CCM, Madiwani CCM.
- BUTIAMA haina hospital ya maana, Haina sekondari ya maana, Haina soko la maana.
Mbunge CCM, Madiwani CCM.
ACHA HADAA, HAKUNA CHA CCM.
-HALAFU UNAJIITA KABISA RAIS WA MAENEO YA CCM TU.!!
2. AKIWA KIABAKARI.
Akiwa hapa alisema tatizo kubwa la Jimbo la BUTIAMA, ni ukabila.
Aisee you're very WRONG.
Butiama haina ukabila kabisa.
Ndio maana hata ulivyosema hivyo niliona kila mtu ananyamaza.
Sijui ulimaanishi nini. Ila umedanganywa pakubwa, matatizo ya BUTIAMA ni mengine kabisa.
Nakuhurumia sana.
Halafu mu MSHAURI JPM AACHE KUTISHA WAPIGA KURA kwamba hatawafanyia maendeleo kwa vile wanachagua upinzani.
Ni uongo mkubwa...
Haya ni majimbo ambayo yapo CCM, lakini ni maskini vibaya sana..
1. BUTIAMA
2. BUKOMBE
3. BUSEGA
4. MANYONI
5. MUSOMA VIJIJINI
6. KIBITI
7. RUFIJI
8. MKURANGA
9. MVOMERO
10. UKONGA
11. KAKONKO
12. MAGU
13. IRAMBA
14. MAKETE
15. NEWALA
16. MTAMA
17. KIVUU
18. SUMBAWANGA
19. NZEGA KASKAZINI
20. NZEGA KUSINI
21. SENGEREMA
22. CHATO
23. LONGIDO
24...........
Mwana JF...
Taja MAJIMBO mengine yaliyopo CCM lakini ni maskini vibaya mno...
Comment hapa Chini.....
Hatukatai yeye kuwaombea wabunge wa CCM kura.Unategemea Magufuli awaombee kura wapinzani?
You're wrong bro! Nisawa na Lissu kumuombea kura mgombea ubunge Ccm. Utakuwa ni ukichaa.
Magufuli nimgombea wa nafasi ya Uraisi kupita Ccm na anapofanya kampeni ni lazima awaombee kura wagombea wengine wa ubunge na udiwani wa Ccm.
Weka hapo Jimbo la Kongwa kule Dodoma kwa spika
Weka hapo Jimbo la HanangOngeza Jimbo la KISHAPU.
Dsm yote nimetembea.Mkuu una uhakika no 10. UKONGA ni jimbo masikini sana?
umetumia vigezo gani kusema UKONGA ni maskini?