Magufuli - Katika mataifa ya Afrika, Kenya ndiye mwekezaji mkubwa Tanzania

Magufuli - Katika mataifa ya Afrika, Kenya ndiye mwekezaji mkubwa Tanzania

Muwekezaji mkubwa tz ni UK, akifuatiwa na kenya, SA ya tano

Umeelezwa "MWEKEZAJI MKUBWA ANAYETOKA BARANI AFRIKA"....sasa UK ni nchi ya Kiafrika?....yaani mnasumbua sana watoto nyie!
 
Ubishi wa kijinga huu!.....unaboa sana.
Jamaa jitathmini sana kisha ukabadilike maana wakati mwingine mtu asiye na hekma hujulikana wazi wazi.
Ushaelezwa kwenye bandiko hapo awali kuwa hapakua na tukio kama unavyotaka kujiaminisha weye.
Mathaalan ,haumkomoi yeyote humu bali wajidhalilisha mwenyewe!
Kama ulichokiandika ni hekima, basi hekima imeingiliwa....hatukuwepo huko kwenu na tumetaarifiwa na vyombo vya habari vya kwenu wenyewe( the star) lkn bado unaona sisi wabishi... Katika somo la ukarimu( hospitality) kuna maarifa tunaambiwa kuwa ' the first impression is the last impression) picha linaanza, kiongozi kama rais kupokelewa na waziri wa mambo ya nje, kimsingi, haijakaa sawa.
Viongozi wetu kwa nafasi yao wamezungumza mengi yenye tija, lkn sisi kama wananchi ndio tunaotekeleza yale yaliyozungumzwa, ila tutahamasika kutekeleza hayo pale tunapokuwa tunakarimiana sisi kwa sisi. Wasiwasi unatujia kwenye mapokezi yenu, kama rais anapokelewa na MTU wa hadhi ya waziri je Mimi mwananchi wa kawaida nitapokelewaje au ninajengewa picha gani nzuri ya kuwapokea ninyi mkija kwetu?na kwanini nisiamini kuwa rais wangu hakukaa kwenye foleni? Maana angekuwa na kwenye wake hiyo mizengwe hata kama ni uongo isingevuma kiongozi.
Tunahitaji kuendelea sote kwa umoja wetu lkn maendeleo hayaji bila kukarimiana.
 
Wacheni kukuza mambo, hebu leta ushahidi kwa picha kwamba Magufuli alikwama kwenye foleni. Kinachofahamika ni kwamba mwenyewe aliamua kutembea kwa miguu kutoka hotelini hadi alikozikwa mzee Kenyatta ambapo ni umbali wa kama mita 100 hivi ambazo hazihitaji msafara wa magari.

Sasa mkijipoteza ufahamu na kujadili mambo yasiokua na maana ilhali marais wamekutana na kujadili mengi ya muhimu kuhusu nchi zetu, mnadhihirisha mlivyo na matatizo. Kesho anazindua barabara, sasa sijui mtaandika nini hapo.


Wachana nao hao, Watanzania ni wavivu wa kusoma na kufuatilia serious news and issues, wanapendelea sana habari za udaku ili kulisha vijiwe vyao wawe busy kutwa kucha! Watz wenye akili tumeridhika na mapokezi ya JPM na mazungumzo baina yake na UK period, tutawapima kwa kiwango cha utekelezaji not B4. The rest are non issues, gossipi is for idle minds!
 
Umeelezwa "MWEKEZAJI MKUBWA ANAYETOKA BARANI AFRIKA"....sasa UK ni nchi ya Kiafrika?....yaani mnasumbua sana watoto nyie!
Mimi uwekezaji wa kenya kuongoza Africa sina shida nao. Shida yangu ni uwekezaji huo ni mdogo kulingana na uchumi wenu kuwa mkubwa zaidi ya hapi.
 
Mimi uwekezaji wa kenya kuongoza Africa sina shida nao. Shida yangu ni uwekezaji huo ni mdogo kulingana na uchumi wenu kuwa mkubwa zaidi ya hapi.

Una "pointi" mkuu, swali ni,je?...ni nini kinapelekea mpaka uwekezaji huo uwe mndogo/kutokua kwa kiwango kikubwa?
Jiulizeni!
Binafsi ni sera zenu za uwoga uwoga dhidhi ya Kenya,kujitenga tenga,chuki za chini kwa chini ,ujamaa,kutofungua mipaka kikamilifu ili biashara ziendelee kwa kasi pamoja na wananchi wafanyabiashara kuvuka mipaka bila usumbufu ,viza za pamoja/urahisishwaji wa mustakbal na nyie kukwamisha miradi ya pamoja na maamuzi yenu yanayochukua karne na karne(very slow decision makers) na kadhalika.
Naweza kutaja mambo mengi sana humu, naomba niishie tu hapo.
 
Lakini viongozi wenyu wanalielewa hilo, wanafahamu kuwa mipaka yakifunguliwa kikamilifu,wananchi waliofungiwa na kulala fofofo hapo Tanzania watazinduka pamoja na wanahabari wenye weledi mkubwa kuingia humo kuwaangazia vigogo wenyu.
Ma CCM wanaogopa chama kitan'golewa punde tu watanzania wakizinduliwa.
Hahahahahahah!....wala haliitaji akili za ziada kulijua hilo.
Ndiyo maana unawaona wakiwalisheni chuki za ajabu ajabu ili tu msishikamane na wajanja wa Kenya na wa nje!, ilimradi tu muendelee kulala usingizi wa pono wao(CCM) wakawatawale milele na milele amina pamoja na kujinyakulia maliasili zenu hizo zilizo nyingi mno!
 
Una "pointi" mkuu, swali ni,je?...ni nini kinapelekea mpaka uwekezaji huo uwe mndogo/kutokua kwa kiwango kikubwa?
Jiulizeni!
Binafsi ni sera zenu za uwoga uwoga dhidhi ya Kenya,kujitenga tenga,chuki za chini kwa chini ,ujamaa,kutofungua mipaka kikamilifu ili biashara ziendelee kwa kasi pamoja na wananchi wafanyabiashara kuvuka mipaka bila usumbufu ,viza za pamoja/urahisishwaji wa mustakbal na nyie kukwamisha miradi ya pamoja na maamuzi yenu yanayochukua karne na karne(very slow decision makers) na kadhalika.
Naweza kutaja mambo mengi sana humu, naomba niishie tu hapo.
Sasa hapa unapetea. Maana umeanza kutoa kashifa dhidi ya Tanzania pekee pekee yake. Ni vyema kuwa honest ili tuweze kujadiliana kwa mapana zaidi badala ya kurushia lawama upande mmoja.

Je sera zenu zipo perfect 100% je vipi issue za rushwa na ujanja ujanja wa kitapeli.
Vipi kuhusu kusema uongo kuhusu vivutio vilivyopo TZ vipo kenya.
Acha kulaumu sera yetu ya kijamaa maana imetuunganisha na tumekuwa kama nation.

Ni vyema ukawa honest na kuzungumza matatizo ya pande zote mbili pasipo kukashifu TZ.
 
Lakini viongozi wenyu wanalielewa hilo, wanafahamu kuwa mipaka yakifunguliwa kikamilifu,wananchi waliofungiwa na kulala fofofo hapo Tanzania watazinduka pamoja na wanahabari wenye weledi mkubwa kuingia humo kuwaangazia vigogo wenyu.
Ma CCM wanaogopa chama kitan'golewa punde tu watanzania wakizinduliwa.
Hahahahahahah!....wala haliitaji akili za ziada kulijua hilo.
Ndiyo maana unawaona wakiwalisheni chuki za ajabu ajabu ili tu msishikamane na wajanja wa Kenya na wa nje!, ilimradi tu muendelee kulala usingizi wa pono wao(CCM) wakawatawale milele na milele amina pamoja na kujinyakulia maliasili zenu hizo zilizo nyingi mno!
Wewe mambo ya siasa ya nchi yetu achana nayo. Hizo ni issue za national affairs au ninaweza sema ni home affairs.

Wewe kama muwekezaji unahitaji political stability issue zingine hazikuhusu.

Kuanza kujiingiza kwenye ya siasa kwenye nchi za kigeni ni kutokuelewa lengo lako katika international diplomacy.

Hapa ni vyema tukajadili critically lather than kukashifu. Hakuna hatua yoyote itakayo sogea zaidi ya kujenga chuki.
 
Tim Choice kulinda interests za nchi si uwoga kama vile mlivyokataa kujiunga na East africa pipeline toka Hoima kwenda Tanga! Japo mna mafuta kiduchu. Mpaka pale mtakapokubali kujiunga na hoima Tanga pipeline ndipo labda tutaruhusu vans zenu kuingia Serengeti ila kwa kupitia Arusha!
 
Sammuel999, it's sad that with all that investment we still don't give a damn about u! NairobiWalker, chukua makampuni yoote ya Kenya faida haifiki Tsh 3 Trl pia.
One thing i have noticed, sioni Amina akijipitisha kwa Magu after the press! Can s1 explain this?

Kumbe unajua hilo na bado unakubaliana mwenzako anaposema $1.5 billion sio kitu?
 
Tim Choice kulinda interests za nchi si uwoga kama vile mlivyokataa kujiunga na East africa pipeline toka Hoima kwenda Tanga! Japo mna mafuta kiduchu. Mpaka pale mtakapokubali kujiunga na hoima Tanga pipeline ndipo labda tutaruhusu vans zenu kuingia Serengeti ila kwa kupitia Arusha!

Kama JPM amekuja kutubembeleza tujiunge na hiyo pipeline yenu amekula huu. Sisi huwa hatujiungi na watu wanaoweka projects kwenye drawing board for over 15 years before the project is shelved.
 


get this straight

529 kenya comapanies
investment of $ 1.7 billion sio fedha za tz ni us dollars. kama ulienda shule kafanya hesabu.
employed 56, 290 tanzanians.

It's 56,260 not 56,290.
 
Kama JPM amekuja kutubembeleza tujiunge na hiyo pipeline yenu amekula huu. Sisi huwa hatujiungi na watu wanaoweka projects kwenye drawing board for over 15 years before the project is shelved.
Hahah baada ya kuweka drawboard mpaka Uganda kuamua kumpa Tanzania!
 
MK254 don't get too excited it's actually foreign owned companies registered in Kenya that are the largest "African" investors in Tanzania.
 
MK254 don't get too excited it's actually foreign owned companies registered in Kenya that are the largest "African" investors in Tanzania.

Name them tumalizee huu mjadala once and for all!...name those foreign companies!
Equity bank?,KCB,Nakumatt, Uchumi??...c-mon douchebag!
 
Name them tumalizee huu mjadala once and for all!...name those foreign companies!
Equity bank?,KCB,Nakumatt, Uchumi??...c-mon douchebag!
Uchumi is died no more in TZ.
 
Name them tumalizee huu mjadala once and for all!...name those foreign companies!
Equity bank?,KCB,Nakumatt, Uchumi??...c-mon douchebag!
Ha.....i knew ungeanza na hizo but let me tell you those are small fish. Kuna big fish investors in Tanzania who claim to be from Kenya while they are actually foreign owned. Do your research bro. You need to read Harid Mkali's book on that. Anakutajia a supposed Kenyan company plus the actual owners. LOL
 
$1.5 b ni Tshs 3 trillion. Najua hesabu kidogo imekupiga chenga lakini ningependa kukueleza kua kampuni za Tz zote pamoja haziwezi fikisha profit ya Tshs. 3 trillion.
Uwekezaj Wa Kenya ni upi hapa tz mi mgen
Kuna tatizo kubwa la uelewa kwa watanzania hususan kwenye mambo ya maana, kila mtu mjuaji hata kwa vitu ambavyo havielewi. Kenya wana uwekezaji mkubwa Tanzania na data za TIC zinasupport hiyo sasa hao wanaokataa wana data zipi?
 
Ha.....i knew ungeanza na hizo but let me tell you those are small fish. Kuna big fish investors in Tanzania who claim to be from Kenya while they are actually foreign owned. Do your research bro. You need to read Harid Mkali's book on that. Anakutajia a supposed Kenyan company plus the actual owners. LOL
hata tukienda kulingana na hizi propaganda mnazozieneza kuhusu kampuni za kenya.... bado unashikika mahali,... nyinyi watz wenyewe mmekua mkiringia kenya kwa kiwa na FDI kubwa zaidi kuliko kenya kwa miaka kumi mfululizo, kwahivyo kama kampuni zilizo kenya ni za foreign investors na foreign investors wamekua wakiweka mabilioni tz kupitia FDI wakati huku kenya ni vimilioni kadhaa inakuaje kampuni za kenya zinawekeza zaidi ndani ya Tz? mbona hizo zenu haziji huku???

hapa kenya si rahisi kuona kampuni ya nje ndo inangoza kwa biashara flani ambazo kuna kampuni za kenya zinafanya biashara hio hio... na wana biashara na bodi ya usajili ya biashara si wajinga, wanajua kampuni ghani ni ya kigeni na ghani ni ya kikenya
 
Back
Top Bottom