Magufuli - Katika mataifa ya Afrika, Kenya ndiye mwekezaji mkubwa Tanzania

Magufuli - Katika mataifa ya Afrika, Kenya ndiye mwekezaji mkubwa Tanzania

hata tukienda kulingana na hizi propaganda mnazozieneza kuhusu kampuni za kenya.... bado unashikika mahali,... nyinyi watz wenyewe mmekua mkiringia kenya kwa kiwa na FDI kubwa zaidi kuliko kenya kwa miaka kumi mfululizo, kwahivyo kama kampuni zilizo kenya ni za foreign investors na foreign investors wamekua wakiweka mabilioni tz kupitia FDI wakati huku kenya ni vimilioni kadhaa inakuaje kampuni za kenya zinawekeza zaidi ndani ya Tz? mbona hizo zenu haziji huku???

hapa kenya si rahisi kuona kampuni ya nje ndo inangoza kwa biashara flani ambazo kuna kampuni za kenya zinafanya biashara hio hio... na wana biashara na bodi ya usajili ya biashara si wajinga, wanajua kampuni ghani ni ya kigeni na ghani ni ya kikenya
Kampuni gani ya Kenya inaongoza katika biashara yoyote Tanzania? Vibenki vyenu huku ni vidogo vyenye matawi machache Dar es Salaam tu.
 
Kampuni gani ya Kenya inaongoza katika biashara yoyote Tanzania? Vibenki vyenu huku ni vidogo vyenye matawi machache Dar es Salaam tu.
nimesema hapa kenya si rahisi kuona kampuni za nje zinaongoza......
huko tz kunazo kampuni za nje zinazoongoza kama mambo ya ndege, benki zinazotoa mikopo zaidi kwa makampuni na wananchi, kampuni za insuarance, kampuni za kuuza products za oil,
 
Kafrican, kampuni zenu zote za mafuta zimefilisika kuanzia kenobil mpk kplc! Sasa sijui mafuta yap unaongelea maana hata ya kupikia bidco is struggling all these years!
 
Kampuni gani ya Kenya inaongoza katika biashara yoyote Tanzania? Vibenki vyenu huku ni vidogo vyenye matawi machache Dar es Salaam tu.

Tatizo mnajifanya wajuvi wa mambo ambayo hata hamna uelewa navyo!...hadi mnakera, juzi tu takwimu zimeonysha mabenki za Kenya zinaongoza kutoa mikopo/biashara hapo bongo.
Jamaa fulani aliuleta uzi huo humu JF, katafute jamani mwache kutoa kauli za ajabu ajabu toka makalioni.
"literally pulling statements and figure from your ass"...!

kalb wahed!
 
Tatizo mnajifanya wajuvi wa mambo ambayo hata hamna uelewa navyo!...hadi mnakera, juzi tu takwimu zimeonysha mabenki za Kenya zinaongoza kutoa mikopo/biashara hapo bongo.
Jamaa fulani aliuleta uzi huo humu JF, katafute jamani mwache kutoa kauli za ajabu ajabu toka makalioni.
"literally pulling statements and figure from your ass"...!

kalb wahed!
Mikopo ya kununua nyumba 'mortgage' tu na siyo yote, benki kubwa zinajizuia kutoa sana mikopo hiyo kutokana na hatari yake. Vijibenki vya Kenya kwa Tanzania ni vidogo tu, vina matawi machache Ddar es Salaam.
 
Huwa napenda mtu mkweli...Anael wew ni wa arusha/kaskazini..usijifanye hujui pilikapilika za wakenya kanda hiyo na pia 1.5b sio ndogo ukilinganisha na sisi tulivyowekeza kenya. Tuna jambo la kujifunza kwani wenzetu wamethubutu na kuweza
kweli kabisa ni uwekezaji mkubwa kwanza hakuna mbongo mmoja mwenye 1.5b...tajir namba moja Tz ni more mwenye 1.3b
 
kweli kabisa ni uwekezaji mkubwa kwanza hakuna mbongo mmoja mwenye 1.5b...tajir namba moja Tz ni more mwenye 1.3b
Tena ni dola 1.5b sio kidogo kabisa kwani sis hatujawekeza hata robo ya hiyo kenya
 
Kupitia mitandao ya kijamii, kama wananchi, tunataarifiwa msafara wa rais wetu ulisimama ktk foleni, rais wetu akatoa maamuzi ya kutaka kutembea kwa mguu, sasa kama wananchi tunajiuliza
1. Suala la usalama na wanausala wa Kenya wanalichukuliaje kwa kiongozi mkubwa kama rais ambaye hupatikana kwa gharama kubwa kiuchumi?
2. Kwa kuzingatia sura ya matukio ya ugaidi yanayoikumba nchi yenu, je ni mpango mkakati gani ulikuwa unaendelea kwa msafara wa kiongozi wetu?
3. Licha ya tabia ya rais wetu kuwa na ziara za kushtukiza lkn kwa hili ilikuwa tofauti kwani taarifa mlizitoa wenye siku mbili kabla, je ni sehemu ya dharau kwa rais wetu?
Tafadhari, tungependa mtuoneshe upendo kama tunaowapa mkija kwetu.
bogus.....
 
nawapenda sana watz, hawasomi wala kuwa makini. haya ni maneno ya rais wenu akiwa ziarani kenya. anasema uende kwa data za Tanzania investment center. utapata haya.

leading african investor in TZ,

kenya 526 companies

money invested 1.7 billion dollars

job created 56, 260 tanzanians employed

 
Hiyo site yao taaban, hawaja update kwa muda,. haina information yoyote nzuri!! Hawana watu wakuangalia mitandao ya serikali?
 
Back
Top Bottom