The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
zama za kuongoza nchi kijanjajanja zimekwisha huwezi kukuza mpira wa nchi kwa serikali kumlipia mwalimu wa kigeni ni mara mia ya mkapa aliejenga uwanja wa taifa ameacha legacy ya kwel mpango wa huyu mkwere ulifeli kabla haujafeli ni heri angetumia hizo pesa kujenga academis leo tungezalisha wachezaji pamoja na viongozi wa mpira