Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Magufli aliingia kwa mbwembwe madarakani huku akifuta sherehe za uhuru na kuelekeza hiyo bilioni 2 itumike kujenga barabara Mweng Morroco.
M
Alitoa maneno ya shobo na dhihaka kwa watangulizi wake as if hiyo hela ilikuwa ikiliwa na CHADEMA kumbe ni wanajeshi wasio na chama.
Kajisahau sasa anaenda kuadhimisha alichokikataa, wazungu wanasema " a lier should have a memory"
Yupo huko lake zone huku hana furaha na ushindi wake wa 99.999% ya uchaguzi.
Mzee kijana-Polepole anazidi kuzeeka huku akizidi kuwa mwongo na sijui watoto wake sasa wanaanza kumuita Babu
M
Alitoa maneno ya shobo na dhihaka kwa watangulizi wake as if hiyo hela ilikuwa ikiliwa na CHADEMA kumbe ni wanajeshi wasio na chama.
Kajisahau sasa anaenda kuadhimisha alichokikataa, wazungu wanasema " a lier should have a memory"
Yupo huko lake zone huku hana furaha na ushindi wake wa 99.999% ya uchaguzi.
Mzee kijana-Polepole anazidi kuzeeka huku akizidi kuwa mwongo na sijui watoto wake sasa wanaanza kumuita Babu