Naona hata kibashiru na kipolepole vimeshikilia ziara za Zanzibar na Lindi/ mtwara ili vinavyorudi vipumzike darKuhamia Dodoma haiwezekani, yaani ni kujidanganya, akikanyaga Dodoma lazima azue ziara na anamalizia Dar..haaahaaa kweli MZALENDO.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona hata kibashiru na kipolepole vimeshikilia ziara za Zanzibar na Lindi/ mtwara ili vinavyorudi vipumzike darKuhamia Dodoma haiwezekani, yaani ni kujidanganya, akikanyaga Dodoma lazima azue ziara na anamalizia Dar..haaahaaa kweli MZALENDO.
Mwanza hakuna historia yeyote na uhuru wa Tanzania, hamna kitu sema basi tu kaamua kupeleka sikukuu usukumani, next year itakuwa chatoHivi walivyo ahirisha sherehe zile za Uhuru hazikuwahi kufanyika tena hadi mwaka huu wanapoazimishia Mwanza?
Huku nilipo network inasumbua.
Una taarifa leo wabunge watano wa Chadema Arusha wamejiuzulu udiwani, kujivua uanachama wa Chadema na kujiunga CCM? Wewe endelea kuchunga mke wa jirani huku wako akiliwa!!
Hivi walivyo ahirisha sherehe zile za Uhuru hazikuwahi kufanyika tena hadi mwaka huu wanapoazimishia Mwanza?
Huku nilipo network inasumbua.
WABUNGE watano wa chadema Wamejiuuzulu UDIWANI [emoji12]Una taarifa leo wabunge watano wa Chadema Arusha wamejiuzulu udiwani, kujivua uanachama wa Chadema na kujiunga CCM? Wewe endelea kuchunga mke wa jirani huku wako akiliwa!!
Basi sawa...Polepole ana majibu ,
Nikajua labda diwani ana cheo cha ubunge pia maana kwenye civics nilikua mtoro sana [emoji23][emoji23][emoji23]WABUNGE watano wa chadema Wamejiuuzulu UDIWANI [emoji12]
achana na walamba nyayo, wamechanganyikiwa saa hiiNikajua labda diwani ana cheo cha ubunge pia maana kwenye civics nilikua mtoro sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Unasema?Una taarifa leo wabunge watano wa Chadema Arusha wamejiuzulu udiwani, kujivua uanachama wa Chadema na kujiunga CCM? Wewe endelea kuchunga mke wa jirani huku wako akiliwa!!
Kwan mwanza si sehemu ya Tanzania?....kuna kosa gan sherehe za Uhuru kuletwa mwanza...au kuna sheria gan inasema ili sherehe za Uhuru zifanyike mahali, sehemu inafaa iwe ya kihistoria?..Mwanza hakuna historia yeyote na uhuru wa Tanzania, hamna kitu sema basi tu kaamua kupeleka sikukuu usukumani, next year itakuwa chato
Sherehe za kitaifa zimepoteza muelekeo na maana sana zinazidisha kutugawa wananchi.Tuchezee vyote ila sio sherehe muhimu kama za uhuru kila mwaka inatakiwa zifanyike ili watoto wanaozaliwa wajue maana yake pia tujue mashujaa wetu.
Unaacha mwenge halafu unafuta sherehe za uhuru.
Akili za wanambogamboga zinatakiwa kuwa ajabu lingine kuu la dunia.WABUNGE watano wa chadema Wamejiuuzulu UDIWANI [emoji12]
Una taarifa leo wabunge watano wa Chadema Arusha wamejiuzulu udiwani, kujivua uanachama wa Chadema na kujiunga CCM? Wewe endelea kuchunga mke wa jirani huku wako akiliwa!!
Acha kujibu pumba. Huyo Gaddafi endelea kumzungumza. Na endelea kusubiri. Hata Maalim Seif bado anaendelea kusubiri.Asante,, nina tarifa nyie LUMUMBA kwenye zile 1.5 Trilion , mkaenda kugawa hela ila wamewakatalia, ukaleta hapa habari kumbe wabunge wamezingua.
Mpo kwenye siasa ya kununua badala ya ushawishi, Gaddafi ambaye ndiye role model wenu alianza hivi hivi
Nafanya masahihisho.WABUNGE watano wa chadema Wamejiuuzulu UDIWANI [emoji12]
Hujambo bibie?Unasema?