Tetesi: Magufuli kwenda Chato , 9/12/2019 Kuadhimisha Mwanza

Tetesi: Magufuli kwenda Chato , 9/12/2019 Kuadhimisha Mwanza

Punguza stress na uandike kwa umakini zaidi, sio unaandika kama umepewa taraka
The concept stands. Na ikifika 20121 baada ya uchaguzi, Mbowe anaunga juhudi. Tunza sana hii for future reference.
 
Tuchezee vyote ila sio sherehe muhimu kama za uhuru kila mwaka inatakiwa zifanyike ili watoto wanaozaliwa wajue maana yake pia tujue mashujaa wetu.

Unaacha mwenge halafu unafuta sherehe za uhuru.
Yani mkuu wewe Ni miongoni mwa Wana jf Wanaojielewa Sana.. Serikali inapozingua huwa hukwepeshi hata nukta katika kuikosoa na Upinzani wanapo kosea pia huwa hukwepeshi hata nukta.

Safi Sana Akili za namna hii tu ndo zinaweza itoa CCM madarakani na Wala siyo akili za kutukana na kufoka hovyo bila hoja.

Well said mkuu 9th December haitakiwi kubezwa hata siku moja.
 
Tuchezee vyote ila sio sherehe muhimu kama za uhuru kila mwaka inatakiwa zifanyike ili watoto wanaozaliwa wajue maana yake pia tujue mashujaa wetu.

Unaacha mwenge halafu unafuta sherehe za uhuru.
Mzee Meko alikuwa sahihi kufuta sherehe za uhuru.

Uhuru wetu una maana gani ikiwa siku hizi hatuna uchaguzi,bali kuna uteuzi?

Kodi kubwa lkn huduma za hospitali kulipia bei kubwa?
Gharama za bima hatuwezi kumudu walala hoi?
Sioni sababu ya kuadhimisha sherehee za uhuru kwa sababu sababu zile zile tulizotumia kumuondo mkoloni zipo na zinazidi kuongezeka
 
Una taarifa leo madiwani watano wa Chadema Arusha wamejiuzulu udiwani, kujivua uanachama wa Chadema na kujiunga CCM? Wewe endelea kuchunga mke wa jirani huku wako akiliwa!!
Watoto mnatakiwa kupita tu kama mada zinawazidi uwezo!Nini kimekueleza kuwa mleta mada ni mwanaCDM?Anachoongea kina mantiki?
 
Duuuh kweli Masikini wa kitanzania tunajua kujipa moyo.

Yani kushinda washinde wao na Raha wakose wao kweli!

Mkuu inaonekana na wewe upo kwenye lile kundi Masikini Wanaowachukia Matajiri kwa Mali zao na wanaoona Matajiri hawana Raha na mali zao walizonazo. ila wao Wanaosagwa na njaa na ukata wa Hali juu Wanajiona Kama ndo wanaraha kumbe Ni karaha tu.

Mwisho: Kwa akili hizi za Kusema serikali haina Raha na ushindi wake zitaifanya CCM endelee kukaa madarakani miaka mingi sana.

Maana inaoenekana vyama vya upinzani vimekosa hoja shindani Bali Vinajifaliji kwa sababu mufu.
Poleni Sana nyie wachumia Siasa Mtaanzia Anaejielewa Amesubiri 2020 afanye yake Ila mapoyoyo ndo nyie Mnahangaika kila siku Hadi Ni vitu vidogo..

Na mnakoelekea mtakuja kuleta Uzi humu wa kumulaumu Rais kutokwenda chooni Mara tatu kwa siku. Au Kumusemea First lady Mambo ndoa.
Pale msukule wa Lumumba unapoona "Raha" na kuifanya hoja kwenye majibu ya thread!Yaani hujaelewa hata hoja ya msingi?Akili Hizi bhana
 
Watoto mnatakiwa kupita tu kama mada zinawazidi uwezo!Nini kimekueleza kuwa mleta mada ni mwanaCDM?Anachoongea kina mantiki?
Demokrasia ni kufanya jambo lolote au kuongea jambo lolote au kwenda popote ili mradi usivunje sheria au kunyang'anya hali za wengine. Nimekosea wapi? Au kwakuwa Mbowe ni kama Malkia wa Siafu ndani ya Chadema hamtaki asemwe?
 
Demokrasia ni kufanya jambo lolote au kuongea jambo lolote au kwenda popote ili mradi usivunje sheria au kunyang'anya hali za wengine. Nimekosea wapi? Au kwakuwa Mbowe ni kama Malkia wa Siafu ndani ya Chadema hamtaki asemwe?
Mbowe atakuwa alikukula akakuacha,sio bure!Uzi hauhusiani na Mbowe ila umekomaa naye!Shame
 
Mbona Dodoma hakai tena wakati ametangaza kuhamia?
 
Mwanza hakuna historia yeyote na uhuru wa Tanzania, hamna kitu sema basi tu kaamua kupeleka sikukuu usukumani, next year itakuwa chato
Kwa kuyasoma maandishi nimegundua kuwa wakati wa harakati za uhuru ulikuwa hujazaliwa, vinginevyo usingeandika hizo pumba.
 
magufuri asingekuwa mtu wa kuwana mungu angepata tabu sana uzuri anamungu ndo maana qnafanya vizuri na nchi inasonga mbele. Yani nyie mnaomuombea mabaya mtapata kwikwi ya bure.
 
Magufli aliingia kwa mbwembwe madarakani huku akifuta sherehe za uhuru na kuelekeza hiyo bilioni 2 itumike kujenga barabara Mweng Morroco.
M
Alitoa maneno ya shobo na dhihaka kwa watangulizi wake as if hiyo hela ilikuwa ikiliwa na CHADEMA kumbe ni wanajeshi wasio na chama.

Kajisahau sasa anaenda kuadhimisha alichokikataa, wazungu wanasema " a lier should have a memory"

Yupo huko lake zone huku hana furaha na ushindi wake wa 99.999% ya uchaguzi.
Mzee kijana-Polepole anazidi kuzeeka huku akizidi kuwa mwongo na sijui watoto wake sasa wanaanza kumuita Babu
Hivi wewe jamaa sio mwanajeshi?
 
Ukijaribu kuuliza wasifu wa Mbowe, hasa ashule aliyosomea kidato cha nne na matokeo yake kabla hajaenda kujiunga kidato cha Tano, Jamii Forum aidha wanauondoa uzi au wanakupa ban? Kuna nini Jamii Forum mnazuia taarifa za watu kufahamu historia ya shule ya Chairman Mbowe?
 
Back
Top Bottom