Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Kila jambo na wakati wake.Magufli aliingia kwa mbwembwe madarakani huku akifuta sherehe za uhuru na kuelekeza hiyo bilioni 2 itumike kujenga barabara Mweng Morroco.
M
Alitoa maneno ya shobo na dhihaka kwa watangulizi wake as if hiyo hela ilikuwa ikiliwa na CHADEMA kumbe ni wanajeshi wasio na chama.
Kajisahau sasa anaenda kuadhimisha alichokikataa, wazungu wanasema " a lier should have a memory"
Yupo huko lake zone huku hana furaha na ushindi wake wa 99.999% ya uchaguzi.
Mzee kijana-Polepole anazidi kuzeeka huku akizidi kuwa mwongo na sijui watoto wake sasa wanaanza kumuita Babu
Dodoma kuna Tetemeko la ardhi, jamaa anaogopa sana kifo, atafanya ziara mpaka anatoka madarakani, nakwambia hawezi lala dodoma siku tatu mfululilizoKuhamia Dodoma haiwezekani, yaani ni kujidanganya, akikanyaga Dodoma lazima azue ziara na anamalizia Dar..haaahaaa kweli MZALENDO.
Na tunaomba sana hiyo siku moja atakayo lala litokee la nguvu kama lile lililotokea kula Kagera, asife ila akimbie na bukta tu kutoka ndani.Dodoma kuna Tetemeko la ardhi, jamaa anaogopa sana kifo, atafanya ziara mpaka anatoka madarakani, nakwambia hawezi lala dodoma siku tatu mfululilizo
Slow slow......teeh teeehSlow Slow ni haina ya wale watu wasioleweka ni vijana au wazee.atakufa kwa shinikizo la damu. Sijui jini lile?
Hivi walivyo ahirisha sherehe zile za Uhuru hazikuwahi kufanyika tena hadi mwaka huu wanapoazimishia Mwanza?Magufli aliingia kwa mbwembwe madarakani huku akifuta sherehe za uhuru na kuelekeza hiyo bilioni 2 itumike kujenga barabara Mweng Morroco.
M
Alitoa maneno ya shobo na dhihaka kwa watangulizi wake as if hiyo hela ilikuwa ikiliwa na CHADEMA kumbe ni wanajeshi wasio na chama.
Kajisahau sasa anaenda kuadhimisha alichokikataa, wazungu wanasema " a lier should have a memory"
Yupo huko lake zone huku hana furaha na ushindi wake wa 99.999% ya uchaguzi.
Mzee kijana-Polepole anazidi kuzeeka huku akizidi kuwa mwongo na sijui watoto wake sasa wanaanza kumuita Babu
Magufli aliingia kwa mbwembwe madarakani huku akifuta sherehe za uhuru na kuelekeza hiyo bilioni 2 itumike kujenga barabara Mweng Morroco.
M
Alitoa maneno ya shobo na dhihaka kwa watangulizi wake as if hiyo hela ilikuwa ikiliwa na CHADEMA kumbe ni wanajeshi wasio na chama.
Kajisahau sasa anaenda kuadhimisha alichokikataa, wazungu wanasema " a lier should have a memory"
Yupo huko lake zone huku hana furaha na ushindi wake wa 99.999% ya uchaguzi.
Mzee kijana-Polepole anazidi kuzeeka huku akizidi kuwa mwongo na sijui watoto wake sasa wanaanza kumuita Babu
Utakufa na stress mkuu. Tulia kunywa maji upunguze stress!
Zenji hawezi maana wanajitambuaAlitaka kuivuruga Zanzibar lakini nafikiri walimuwahi mapema, Sasa anatuvuruga bara Kama wanyama wa pori
Slow Slow ni haina ya wale watu wasioleweka ni vijana au wazee.atakufa kwa shinikizo la damu. Sijui jini lile?
Yaani Watu wanaochaguliwa rais Dodoma wanajitambua.Zenji hawezi maana wanajitambua
Una taarifa leo madiwani watano wa Chadema Arusha wamejiuzulu udiwani, kujivua uanachama wa Chadema na kujiunga CCM? Wewe endelea kuchunga mke wa jirani huku wako akiliwa!!Magufli aliingia kwa mbwembwe madarakani huku akifuta sherehe za uhuru na kuelekeza hiyo bilioni 2 itumike kujenga barabara Mweng Morroco.
M
Alitoa maneno ya shobo na dhihaka kwa watangulizi wake as if hiyo hela ilikuwa ikiliwa na CHADEMA kumbe ni wanajeshi wasio na chama.
Kajisahau sasa anaenda kuadhimisha alichokikataa, wazungu wanasema " a lier should have a memory"
Yupo huko lake zone huku hana furaha na ushindi wake wa 99.999% ya uchaguzi.
Mzee kijana-Polepole anazidi kuzeeka huku akizidi kuwa mwongo na sijui watoto wake sasa wanaanza kumuita Babu
Sijaona mantiki ya povu lako źaidi ya chuki..barabara ya moroko ipo tunaiona hivyo alifanya kitu sahihi. Punguza povu.Magufli aliingia kwa mbwembwe madarakani huku akifuta sherehe za uhuru na kuelekeza hiyo bilioni 2 itumike kujenga barabara Mweng Morroco.
M
Alitoa maneno ya shobo na dhihaka kwa watangulizi wake as if hiyo hela ilikuwa ikiliwa na CHADEMA kumbe ni wanajeshi wasio na chama.
Kajisahau sasa anaenda kuadhimisha alichokikataa, wazungu wanasema " a lier should have a memory"
Yupo huko lake zone huku hana furaha na ushindi wake wa 99.999% ya uchaguzi.
Mzee kijana-Polepole anazidi kuzeeka huku akizidi kuwa mwongo na sijui watoto wake sasa wanaanza kumuita Babu