Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
The concept stands. Na ikifika 20121 baada ya uchaguzi, Mbowe anaunga juhudi. Tunza sana hii for future reference.Punguza stress na uandike kwa umakini zaidi, sio unaandika kama umepewa taraka
Yani mkuu wewe Ni miongoni mwa Wana jf Wanaojielewa Sana.. Serikali inapozingua huwa hukwepeshi hata nukta katika kuikosoa na Upinzani wanapo kosea pia huwa hukwepeshi hata nukta.Tuchezee vyote ila sio sherehe muhimu kama za uhuru kila mwaka inatakiwa zifanyike ili watoto wanaozaliwa wajue maana yake pia tujue mashujaa wetu.
Unaacha mwenge halafu unafuta sherehe za uhuru.
Mzee Meko alikuwa sahihi kufuta sherehe za uhuru.Tuchezee vyote ila sio sherehe muhimu kama za uhuru kila mwaka inatakiwa zifanyike ili watoto wanaozaliwa wajue maana yake pia tujue mashujaa wetu.
Unaacha mwenge halafu unafuta sherehe za uhuru.
Lazima Mbowe atakua vampire aiseeThe concept stands. Na ikifika 20121 baada ya uchaguzi, Mbowe anaunga juhudi. Tunza sana hii for future reference.
Watoto mnatakiwa kupita tu kama mada zinawazidi uwezo!Nini kimekueleza kuwa mleta mada ni mwanaCDM?Anachoongea kina mantiki?Una taarifa leo madiwani watano wa Chadema Arusha wamejiuzulu udiwani, kujivua uanachama wa Chadema na kujiunga CCM? Wewe endelea kuchunga mke wa jirani huku wako akiliwa!!
Pale msukule wa Lumumba unapoona "Raha" na kuifanya hoja kwenye majibu ya thread!Yaani hujaelewa hata hoja ya msingi?Akili Hizi bhanaDuuuh kweli Masikini wa kitanzania tunajua kujipa moyo.
Yani kushinda washinde wao na Raha wakose wao kweli!
Mkuu inaonekana na wewe upo kwenye lile kundi Masikini Wanaowachukia Matajiri kwa Mali zao na wanaoona Matajiri hawana Raha na mali zao walizonazo. ila wao Wanaosagwa na njaa na ukata wa Hali juu Wanajiona Kama ndo wanaraha kumbe Ni karaha tu.
Mwisho: Kwa akili hizi za Kusema serikali haina Raha na ushindi wake zitaifanya CCM endelee kukaa madarakani miaka mingi sana.
Maana inaoenekana vyama vya upinzani vimekosa hoja shindani Bali Vinajifaliji kwa sababu mufu.
Poleni Sana nyie wachumia Siasa Mtaanzia Anaejielewa Amesubiri 2020 afanye yake Ila mapoyoyo ndo nyie Mnahangaika kila siku Hadi Ni vitu vidogo..
Na mnakoelekea mtakuja kuleta Uzi humu wa kumulaumu Rais kutokwenda chooni Mara tatu kwa siku. Au Kumusemea First lady Mambo ndoa.
Demokrasia ni kufanya jambo lolote au kuongea jambo lolote au kwenda popote ili mradi usivunje sheria au kunyang'anya hali za wengine. Nimekosea wapi? Au kwakuwa Mbowe ni kama Malkia wa Siafu ndani ya Chadema hamtaki asemwe?Watoto mnatakiwa kupita tu kama mada zinawazidi uwezo!Nini kimekueleza kuwa mleta mada ni mwanaCDM?Anachoongea kina mantiki?
Mbowe atakuwa alikukula akakuacha,sio bure!Uzi hauhusiani na Mbowe ila umekomaa naye!ShameDemokrasia ni kufanya jambo lolote au kuongea jambo lolote au kwenda popote ili mradi usivunje sheria au kunyang'anya hali za wengine. Nimekosea wapi? Au kwakuwa Mbowe ni kama Malkia wa Siafu ndani ya Chadema hamtaki asemwe?
Bome-e wewe ni mdada sio? Naweza kukufuata PM?Mbowe atakuwa alikukula akakuacha,sio bure!Uzi hauhusiani na Mbowe ila umekomaa naye!Shame
Kwa kuyasoma maandishi nimegundua kuwa wakati wa harakati za uhuru ulikuwa hujazaliwa, vinginevyo usingeandika hizo pumba.Mwanza hakuna historia yeyote na uhuru wa Tanzania, hamna kitu sema basi tu kaamua kupeleka sikukuu usukumani, next year itakuwa chato
Njoo PM,isije ukaimba "side side side kama"Bome-e wewe ni mdada sio? Naweza kukufuata PM?
Hivi kati ya Magufuli na Bashite nani ana akili na maarifa kupita mwenzake?Kwanini usife wewe?
Kwani wewe ni mungu anayepanga vifo vya watu?
wamechanganyikiwaWABUNGE watano wa chadema Wamejiuuzulu UDIWANI [emoji12]
Hivi wewe jamaa sio mwanajeshi?Magufli aliingia kwa mbwembwe madarakani huku akifuta sherehe za uhuru na kuelekeza hiyo bilioni 2 itumike kujenga barabara Mweng Morroco.
M
Alitoa maneno ya shobo na dhihaka kwa watangulizi wake as if hiyo hela ilikuwa ikiliwa na CHADEMA kumbe ni wanajeshi wasio na chama.
Kajisahau sasa anaenda kuadhimisha alichokikataa, wazungu wanasema " a lier should have a memory"
Yupo huko lake zone huku hana furaha na ushindi wake wa 99.999% ya uchaguzi.
Mzee kijana-Polepole anazidi kuzeeka huku akizidi kuwa mwongo na sijui watoto wake sasa wanaanza kumuita Babu
[emoji16][emoji16] aiseeMnasema Chakubanga anazeeka?View attachment 1277234
Haiondoi ukweli hao madiwani wameondoka Chadema. Mwisho wa siku Chadema kitabadili jina kitaitwa Chadema Online Political Party! Ahahahahah!wamechanganyikiwa