Magufuli lala salama!

Magufuli lala salama!

Mungu alituletea lulu tukaambiwa ni takataoa nasi tukakubali tukaipiga mateke sasa hatunayo tunaikumbuka

Lala salama Magufuli Mungu akuepushe na adhabu ya kaburi Amen!
Watanzania wengi wanatamani hata huko aliko auliwe pia,
 
Mungu alituletea lulu tukaambiwa ni takataoa nasi tukakubali tukaipiga mateke sasa hatunayo tunaikumbuka

Lala salama Magufuli Mungu akuepushe na adhabu ya kaburi Amen!
Unampangia mungu kazi? Mungu anajua zaidi yetu.
Damu za ben Sanane na kijana wa makambako zikawe kiongozi.
Cheo ni zamana . Alijua hatakufa
Asante mungu wetu kututoa mkononi mwa utawala wa dictator hakika wewe ni mkuu wa vyote
 
Braza' hata ajira huna, alafu ukaaminishwa ule uongo ' Magufuli awajaza mapesa wafanyakazi' ile payee aliyopunguza kwa kima cha chini kwa asilimia 2% mwaka 2016 effect yake kwenye mshahara haikuzidi hata sh. 10,000. Samia alipunguza asilimia 1% mwaka 2021 kwa kima cha chini na na mwaka huu akaongeza asilimia 23% kwenye mishahara yao (Ni kama amefuta Kodi yote ya kima Cha chini (8%) na kuwaongezea fedha katika mishahara yao (15%)

Labda nikufafanulie

Katika ngazi na viwango vya mishahara serikalini mwenye kima na kiwango cha chini kabisa cha mshahara ni yule mwenye kiwango cha TGOS-A na TGTS-A

JAKAYA 2015
TGOS-A
Mshahara 300,000
Kodi(Payee 11%) Tsh. 33,000/=

TGTS-A
Mshahara 310,000
Kodi (Payee 11%) Tsh.34,100/=

MAGUFULI 2016/2021
TGOS-A
Mshahara 300,000
Kodi (Payee 9%) Tsh. 27,000
Nafuu ya Kodi: Tsh.6,000
Ongezeko: 00

TGTS-A
Mshahara 310,000
Kodi (Payee 9%) Tsh.27,900/=
Nafuu ya Kodi: Tsh.6,200
Ongezeko: 00

MAMA SAMIA 2021/2022
TGOS-A
Mshahara 300,000
Kodi (Payee 8%) Tsh. 24,000
Nafuu ya Kodi: Tsh.3,000
Ongezeko: 00

TGTS-A
Mshahara 310,000
Kodi (Payee 8%) Tsh.24,800/=
Nafuu ya Kodi: Tsh.4,900
Ongezeko: 00

MAMA SAMIA 2022/2023
TGOS-A
Mshahara 370,000
Kodi (Payee 8%) Tsh. 29,600
Nafuu ya Kodi:
Ongezeko: 70,000

TGTS-A
Mshahara 380,000
Kodi (Payee 8%) Tsh.30,400/=
Nafuu ya Kodi:
Ongezeko: 70,000

Sasa sijui mimi na wewe nani mjinga! Labda kwa kuwa wewe ulidanganywa. Soma hapa https://nuktaafrica.co.tz/contact-us/
Ongezea na kupandishwa madaraja,kupunguziwa Value Retention Fee,kulipwa malimbikizo na mikopo ya watumishi.
 
We ni mpuuzi, hilo ongezeko linafaa nini kama Makato ya simu ni mara 2, unalipa 18% VAT na Tozo ambayo ni zaidi ya kiwango cha VAT. Jambo ambalo halikuwepo kabla ya Miss Utalii.

Ongezeko linafaa nini kama mfuko wa mbolea uliokuwa unauzwa 52,OOO kwa sasa unauzwa 1OO,OOO+?

Ongezeko lafaa nini iwapo bei ya mafuta ya gari yameongezeka kwa 5O% toka bei aliotuachia Magufuli?

Bei za vyakula na nafaka huoni, au sababu unakula kwa wazazi wako.
Acha upumbavu wewe,makato ya simu yamepunguzwa kwa 43% ,kabla ya ongezeko mlilipa hayo makato je maisha yalisimama?

Kwani wewe mtumishi ni mkulima? Hata kama wewe ni mkulima kwani hujui kwamba Bei za mbolea mwaka huu zitawekewa ruzuku?

Kwa hiyo hilo ongezeko la 70,000 huoni kwamba linafidia Bei za vyakula na mafuta nk?

Umesema Bei za Mazao zimeongezeka na ukasema Bei za mbolea zimeongezeka sasa kama wewe ni mtumishi na mkulima huoni ongezeko la Bei ya Mazao litakupa faida mara mbili na usione effects yoyote?

Usiwe fala wewe wastage sperm fikiria nje ya box.
 
Tulikuzoea tuu kuwa unatuambiga tuu ukweli licha kwamba ulikuwa unatuumizaga sana ukweli huo

Ulisemaga mengi, naomba nikunukuu maneno machache hapa

"Mfanyakazi anayeona mshahara hautoshi, aache kazi, kwani nje kuna wahitimu kibao hawana kazi. Wafanyakazi nawaomba tuchape kazi, ili miradi yetu ikianza kutapika, tutaongeza mishahara"

Na hatimaye miaka yako yote ikaisha bila kuongeza mishahara, Ila maisha yalikuwa chini, mfumko wa bei ulikuwa chini

Leo tumeongezwa mishahara bhana! Utadhani hatujaongezwa tuu! Hatujawahi kuridhika,

Wewe bhana JPM, ulale salama, ulituambia ukweli bila kupekecha macho!
Angatwe na kunguni debe moja aliko huko
 
....ukweli ni kwamba watumishi wengi wa umma hawafanyi kazi kwa ufanisi unaotakiwa. Ongezeni bidii tija ionekane
 
Back
Top Bottom