Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Nimejaribu kufuatilia uwezo na uelewa na mwenzetu huyu katika arena za kimataifa ni zero na uwenda akafanya vituko kama vya ndugu Mulugo aliyekuwa naibu waziri wa elimu kuwa Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zimbabwe. Hiyo ilitokana na kushindwa ngeli na kubaki kukariri tu.Upungufu huu wa exposure kimatiafa na lugha ni tatizo na dnio maana watu wasio na uwezo kama akina Makamba wanajitia kimbelembele kama wapiga zomari kwa makufuli huku wakinyendea nafsi kama washuri wake akibahatika kuwa raisi kama shetani atabariki.Mungu yupo upande wa Legwanani the Great.Hivi kama alikuwa mwalimu alifundisahaje huko natafuta wanafunzi wake angalau nipate expreience ya huyu ndg yetu mapadlock

Hebu jaribu kutuonyesha ukweli wa hicho ulichoandika!; wapi alichemsha?? tupe angalau video clip!!!
 
Magufuli atasaini mikataba iliyoaandikwa kwa lugha ya kiswahili tu
 
Hiv rais wa china anajua hata english kweli?... mi nadhqn hiyo siyo ushu hasa kwa wazalendo...labda kuwe na sababu nyingine.....hasa yenye mashiko

Kama magufuli anaonekana hajui ngeli huyu lowasa ndio sifuri kabisa,yeyote mwenye video ya lowasa akiongea ngeli aweke hapa kama watu hawajakimbia jukwaa
 
Lowasa msomi, siyo huyi mlugaluga. Atahojiwa white house marekani aongee huo utumbo wa kisukuma.akachimbe barabara hukoooo ala!
 
Magufuli hata ukimuangalia appereance yake tu hastahili hata kuwa diwani, cjui uwaziri aliupataje huyu mzee? Yaani magufuli hawezi kuwa rais yupoyupo tu hana mvuto kabisa.
 
Ninapendekeza Dokii awe mkalimani wa Magufuli
 
Sijawahi kumsikia akiongea kiswanglish hata siku moja.Inaelekea labda kweli lugha ya kimataifa ni zero.Itakuwa aibu sana.
Nimejaribu kufuatilia uwezo na uelewa na mwenzetu huyu katika arena za kimataifa ni zero na uwenda akafanya vituko kama vya ndugu Mulugo aliyekuwa naibu waziri wa elimu kuwa Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zimbabwe. Hiyo ilitokana na kushindwa ngeli na kubaki kukariri tu.Upungufu huu wa exposure kimatiafa na lugha ni tatizo na dnio maana watu wasio na uwezo kama akina Makamba wanajitia kimbelembele kama wapiga zomari kwa makufuli huku wakinyendea nafsi kama washuri wake akibahatika kuwa raisi kama shetani atabariki.Mungu yupo upande wa Legwanani the Great.Hivi kama alikuwa mwalimu alifundisahaje huko natafuta wanafunzi wake angalau nipate expreience ya huyu ndg yetu mapadlock
 
Hakika sasa nnaamini pasi na shaka yoyote ukawa wengi ni kama alivyosema Mkapa.

Hivi mtu anaona kujuwa lugha ya nje ndiyo kuwa na akili.

Hawa ndiyo wale wakiona mtoto wa Kingereza wa miaka 3 anaongea Kingereza wanashangaa na kumuona wa ajabu.

Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda, hatutofika kesho wala keshokutwa.

Mtoa mada anaongelea nini? Sijaona sehemu yoyote aliyoonyesha kuwa Magufuli hawezi Kiingereza. Umeiona?
 
Mtoa mada anaongelea nini? Sijaona sehemu yoyote aliyoonyesha kuwa Magufuli hawezi Kiingereza. Umeiona?

Lugha za Kimataifa kwenye jikichwa la habari ulifikiri ni Kipashtoo?

Halafu husoma vizuri jiutumbo la habari, hujaona neno "ngeli"?

Hata mimi wa zamani nnajuwa hilo neno ni slang inayomaanisha nini.
 
Mimi nimewahi kuhudhuria naye Mkutano UN - HABITAT WORLD FORUM Vancouver - Canada na yeye kama Waziri wa Ardhi alipewa ka kikundi kukiongoza kwenye majadiliano kwa kweli niliona aibu kama mtanzania kutokana na upungufu aliokuwa nao.
 
Nimejaribu kufuatilia uwezo na uelewa na mwenzetu huyu katika arena za kimataifa ni zero na uwenda akafanya vituko kama vya ndugu Mulugo aliyekuwa naibu waziri wa elimu kuwa Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zimbabwe. Hiyo ilitokana na kushindwa ngeli na kubaki kukariri tu.Upungufu huu wa exposure kimatiafa na lugha ni tatizo na dnio maana watu wasio na uwezo kama akina Makamba wanajitia kimbelembele kama wapiga zomari kwa makufuli huku wakinyendea nafsi kama washuri wake akibahatika kuwa raisi kama shetani atabariki.Mungu yupo upande wa Legwanani the Great.Hivi kama alikuwa mwalimu alifundisahaje huko natafuta wanafunzi wake angalau nipate expreience ya huyu ndg yetu mapadlock

Angalia hayo maneno niliyoweka rangi nyekundu. bora mwenzio anashindwa za kimataifa, wewe unashindwa zote, kuanzia za nyumbani mpaka huko ulikokusema. Paragraph moja mikosa kibao, inaonekana mwalimu wako alipata shida sana, halafu eti unamsema Magufuli? mwenzio ana PhD sijui wewe umeishia la ngapi. Hili sio jukwaa la kujifunzia kuandika
 
nakuonea huruma. Yaan ww bogus kabisa. Nakufananisha na wale wanaodhan kuwa mwanafunzi anayeongea kiigereza ndio mwenye akili na yule asiyejua kuongea kiingereza ndio hana akili. Pole sana.

Ndio tatzo la kushabikia usilolijua
Hizo ni dhana za kijima, Raisi siyo mwalimu wa darasa la gumbaru, ni Figure Head.
 
Unadhani ukiwa na PhD ndio una IQ kubwa? Vyeti na uwezo wa mtu kufikiri ni mambo mawili tofauti

Sijaongelea PhD kwenye reply yangu, hiyo umejiwekea assumption mwenyewe kua ninafikiria hivo.. Sasa naomba nikwambie kua your assumption was wrong... Na what i said still stands.. Kama unataka kujua vizuri kuhusu IQ anzisha thread nyingine tukupe maujuzi vizuri maana mmejazwa conspiracy theories.
 
Back
Top Bottom