Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

wewe ongea tu lakini usilinganishe DR.MAGUFULI a PhD holder na hao wagombea wengine MAGUFULI OOOOOYEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nimejaribu kufuatilia uwezo na uelewa na mwenzetu huyu katika arena za kimataifa ni zero na uwenda akafanya vituko kama vya ndugu Mulugo aliyekuwa naibu waziri wa elimu kuwa Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zimbabwe.

Hiyo ilitokana na kushindwa ngeli na kubaki kukariri tu.Upungufu huu wa exposure kimatiafa na lugha ni tatizo na dnio maana watu wasio na uwezo kama akina Makamba wanajitia kimbelembele kama wapiga zomari kwa makufuli huku wakinyendea nafsi kama washuri wake akibahatika kuwa raisi kama shetani atabariki.Mungu yupo upande wa Legwanani the Great.

Hivi kama alikuwa mwalimu alifundisahaje huko natafuta wanafunzi wake angalau nipate expreience ya huyu ndg yetu mapadlock
Alifundisha 2H2 + O2=2H20..Hicho tu ndo akijuacho mengineyo mweupe.
Refer:Saddam ni wa Kuwait :A S-confused1:
 
Ni nani alikudanganya kuwa Magufuli "lugha hiyo" inampiga chenga?

Lowassa hana ujanja kwa Magufuli, Lowassa ana ujanja kwa wachagga tu na ujanja wake ni mdogo sana, pesa.

Aliyetuletea hii thread na nyie mnaomtetea ndiyo mnatufanya tuamini hivyo!!!

I wish Christine Amanpour angetusaidia kumaliza huu utata!!!
 
Aliyetuletea hii thread na nyie mnaomtetea ndiyo mnatufanya tuamini hivyo!!!

I wish Christine Amanpour angetusaidia kumaliza huu utata!!!

Kwanza kabisa kujuwa Kingereza si kigezo cha kuwa Rais, ni Marais wangapi duniani wanajivunia lugha zao za Taifa na huwasikii hata mara moja wakiongea Kingereza.

Kwani anaenda kutawala Uingereza?

Kukumbusha tu, masomo aliyochukuwa chuo kikuu hakuna hata moja linalofundishwa Kiswahili.
 
Kwanza kabisa kujuwa Kingereza si kigezo cha kuwa Rais, ni Marais wangapi duniani wanajivunia lugha zao za Taifa na huwasikii hata mara moja wakiongea Kingereza.

Kwani anaenda kutawala Uingereza?

Kukumbusha tu, masomo aliyochukuwa chuo kikuu hakuna hata moja linalofundishwa Kiswahili.

Hao wanaozungumza lugha zao wamefundishwa kwa kutumia lugha zao kuanzia Kindergarten mpaka cho kikuu. Sasa sisi Tanzania kwa mtu aliyekwenda chuo huwa sehemu kubwa ya masomo yake kayafanya kwa Kiingereza. Kwa hiyo tunategemea atakuwa na ufahamu wa hiyo lugha kuliko hata Kiswahili.

Kama ni ufahali wa lugha tu basi tukubali magufuli atumie Kisukuma!!
 
Makufuli hata kiswahili hajui,hajui tofauti ya R na L.Mara kwa mara raha anatamka laha.Kenyatta na Museveni wanamshinda,labda akienda UN atahutbia kwa kisukuma
eg.Nataka kuwaambi=nawaambi
Nataka kusema=nasema
ni mshamba tu
 
Makufuli hata kiswahili hajui,hajui tofauti ya R na L.Mara kwa mara raha anatamka laha.Kenyatta na Museveni wanamshinda,labda akienda UN atahutbia kwa kisukuma
eg.Nataka kuwaambi=nawaambi
Nataka kusema=nasema
ni mshamba tu
Huna point. Kwa hali hiyo Wakurya wote nao hawajui Kiswahili kwa vile wana shida ya kutofautisha r na l? Na Wachagga wanaposema nji badala ya nchi? Au Wahaya wanapohangaishwa na irabu za Kiswahili na h? Mf. Hunasema nini badala ya unasema nini? Kila mmoja hata wewe hapo umeathirika na mfumo wa lugha mama na unahamishia mfumo huu katika lugha zingine. Ndiyo maana mpaka kufa kwako hutakaa uongee Kiingereza kama Waingereza wenyewe. Isitoshe umuduji wa lugha ni psychological approximation tu na hata ubobee namna gani huwezi kufikia kilele cha umuduji. Hata wewe hapo si ajabu sentensi moja tu ya Kiswahili mtu tayari anaweza kujua kabila lako.

Tutafute hoja za msingi za kumkandia mtu na tusikubali Medulla Oblongata zetu kutawaliwa na mapenzi mahaba!
 
Nimejaribu kufuatilia uwezo na uelewa na mwenzetu huyu katika arena za kimataifa ni zero na uwenda akafanya vituko kama vya ndugu Mulugo aliyekuwa naibu waziri wa elimu kuwa Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zimbabwe.

Hiyo ilitokana na kushindwa ngeli na kubaki kukariri tu.Upungufu huu wa exposure kimatiafa na lugha ni tatizo na dnio maana watu wasio na uwezo kama akina Makamba wanajitia kimbelembele kama wapiga zomari kwa makufuli huku wakinyendea nafsi kama washuri wake akibahatika kuwa raisi kama shetani atabariki.Mungu yupo upande wa Legwanani the Great.

Hivi kama alikuwa mwalimu alifundisahaje huko natafuta wanafunzi wake angalau nipate expreience ya huyu ndg yetu mapadlock

Ukitaka lugha za kulemba mfate JK na Membe
 
Ukitaka lugha za kulemba mfate JK na Membe

Ww unayejua luga za kimataifa mbona unaishia humu jf na hata jina lako halisi umeficha, luga ya kigeni ni moja tu na ni kingereza hizo zingine unazosema si muhimu sana bro. acha mambo ya kizamani cc tunaka kazi tu na si luga za kimataifa, china wameendelea si kwamba wameendelea kutokana na luga za kimataifa.
 
Nimejaribu kufuatilia uwezo na uelewa na mwenzetu huyu katika arena za kimataifa ni zero na uwenda akafanya vituko kama vya ndugu Mulugo aliyekuwa naibu waziri wa elimu kuwa Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zimbabwe.

Hiyo ilitokana na kushindwa ngeli na kubaki kukariri tu.Upungufu huu wa exposure kimatiafa na lugha ni tatizo na dnio maana watu wasio na uwezo kama akina Makamba wanajitia kimbelembele kama wapiga zomari kwa makufuli huku wakinyendea nafsi kama washuri wake akibahatika kuwa raisi kama shetani atabariki.Mungu yupo upande wa Legwanani the Great.

Hivi kama alikuwa mwalimu alifundisahaje huko natafuta wanafunzi wake angalau nipate expreience ya huyu ndg yetu mapadlock

Kama kujua lugha nyingi za kimataifa ni dili,Chadema wasingemuacha Dr.Slaa
 
Kwanza kabisa kujuwa Kingereza si kigezo cha kuwa Rais, ni Marais wangapi duniani wanajivunia lugha zao za Taifa na huwasikii hata mara moja wakiongea Kingereza.

Kwani anaenda kutawala Uingereza?

Kukumbusha tu, masomo aliyochukuwa chuo kikuu hakuna hata moja linalofundishwa Kiswahili.

Kwani magufuli anajua kiswahili?
Wakiitwa wanaojua kiswahili na magufulili atajitokeza?
Mbumbumbu Wa lugha
 
Kujua kuongea kidhungu sio sifa ni utumwa fulan tuu.. Ndo maana kuna matranslator.. Hata ivo siasa za nje sio kiiengereza tu kuna kichina, kirusi, kiarabu, kifaransa ss nan anavijua vyote hivo. Lowassa au ?? Acheni #ulofa
 
Kwani magufuli anajua kiswahili?
Wakiitwa wanaojua kiswahili na magufulili atajitokeza?
Mbumbumbu Wa lugha

Magufuli anajuwa Kiswahili ila an tatizo la lafdhi yake. Ni wazi Kiswahili si lugha mama kwake ni ya kujifunza kama ilivyokuwa kwa Nyerere na Watanzania wengi tu.
 
Kumbe hajui kabisa kiingereza!. Nimeshangaa aliwasilisha vipi reseach zake? Ninaona harufu ya karibu ya degree za mizani aka bao la mkono.

Kumbe jasiri haachi asili!. Ccm ni ccm tu wamezoea vya kunyonga!

Du, kweli sikuwah kufikiria. Kumbe ccm walianza zamani kuchakachua!.
 
Kumbe hajui kabisa kiingereza!. Nimeshangaa aliwasilisha vipi reseach zake? Ninaona harufu ya karibu ya degree za mizani aka bao la mkono.

Kumbe jasiri haachi asili!. Ccm ni ccm tu wamezoea vya kunyonga!

Du, kweli sikuwah kufikiria. Kumbe ccm walianza zamani kuchakachua!.



Imenishangaza sana, sijui ile sera namba moja ya ccm kuombaomba kwa wazungu ataitekeleza vipi kama akichaguliwa kuwa rais. sijui atakuwa anaomba kwa kiswahili au atakuwa anatembea na mkalimani kwa kazi maalumu ya kuombaomba

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom