Imenishangaza sana, sijui ile sera namba moja ya ccm kuombaomba kwa wazungu ataitekeleza vipi kama akichaguliwa kuwa rais. sijui atakuwa anaomba kwa kiswahili au atakuwa anatembea na mkalimani kwa kazi maalumu ya kuombaomba
Jamani hii ni nini lakini?
Ongezea na hii
MAKAMBO TOLEKA: Dr. Magufuli hajui Kiingereza!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!!!!!!!!!!!!!. "I am a politicians". "I dont want to take this time as saying so many political...."
"Simple and clear is only congregations to you.."
"To the University Cori, Co... C.. Columbia univeristy to the assistance we are getting to this hospt"..
MAKAMBO TOLEKA: BADALA YA KUJIDHALILISHA, AFADHALI ANGETAFUTA MKARIMANI.
MPEWA NENO AMEDUWAA NA USO UMEJAA WOGA!.
Last edited by a moderator: