Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane



Imenishangaza sana, sijui ile sera namba moja ya ccm kuombaomba kwa wazungu ataitekeleza vipi kama akichaguliwa kuwa rais. sijui atakuwa anaomba kwa kiswahili au atakuwa anatembea na mkalimani kwa kazi maalumu ya kuombaomba




Jamani hii ni nini lakini?

Ongezea na hii








MAKAMBO TOLEKA: Dr. Magufuli hajui Kiingereza!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!!!!!!!!!!!!!. "I am a politicians". "I dont want to take this time as saying so many political...."

"Simple and clear is only congregations to you.."


"To the University Cori, Co... C.. Columbia univeristy to the assistance we are getting to this hospt"..

MAKAMBO TOLEKA: BADALA YA KUJIDHALILISHA, AFADHALI ANGETAFUTA MKARIMANI.

MPEWA NENO AMEDUWAA NA USO UMEJAA WOGA!.
 
Last edited by a moderator:
Kumbe hajui kabisa kiingereza!. Nimeshangaa aliwasilisha vipi reseach zake? Ninaona harufu ya karibu ya degree za mizani aka bao la mkono.

Kumbe jasiri haachi asili!. Ccm ni ccm tu wamezoea vya kunyonga!

Du, kweli sikuwah kufikiria. Kumbe ccm walianza zamani kuchakachua!.
Nyinyi UKAWA tukiwachagua mtatuturudisha enzi ya ukoloni kwa jinsi mnavyoshadadia Kiingereza kama majuha. #HapaKaziTu
 
Nyinyi UKAWA tukiwachagua mtatuturudisha enzi ya ukoloni kwa jinsi mnavyoshadadia Kiingereza kama majuha. #HapaKaziTu
Enzi ya ukoloni kulikuwa na elimu ya ukweli sasa hivi CCM imeshusha elimu yetu chini. Hatutaki shule kama za Magufuli akili zake zimejaa ujinga na maguvuguvu utafikiri ikulu anakwenda kupigana kumbe kuna hitajika busara na akili. Huna tofauti na IQ ya Magufuli au Kikwete
 
Kiingereza tena. Atatafutiwa mkalimani. Hukuona Xi anongea kichina jana?

Haendi kuomba huyo Rais wa China wenzake wanamuheshimu na wanamuhitaji, sasa magufuli nani atakaye msikiliza ombaomba? Ni sawa na wewe ukutane na ombaomba mtaani utasimama na kuwasikiliza wakati unajua shida zao?
 
Kiingereza tena. Atatafutiwa mkalimani. Hukuona Xi anongea kichina jana?

Kama ndivyo aanze kindergarten ili tuone kwamba atakachokisoma atakuwa anakielewa.

No wonder jamaa hawezi hata kuunda team.

Ni mtu wa ma amri tu mkali mkali.

Maamuzi yake yote hasara kwa taifa.

Kumbe hata kusoma hajui!!!!!!!!!!!!!!!,

Ndiyo miongoni mwa wajinga 69% ya makamba waliompa ushindi? Bila shaka alichagua watu wa aina yake.

TANZANIA HATUONGOZWI NA MTU AMBAYE HAJAWAHI KUSOMA. MAGUFULI ALIKWENDA SHULE INAYOFUNDISHA KIINGEREZA NA HIVYO ALITOKA KAPA KWA KUWA HAJUI KIINGEREZA.

AANZE UPYA KINDERGARTEN YA KISWAHILI YA KABWAMBWA!. SISI HATUTAKI!!!!!!!!!!!!
 
Enzi ya ukoloni kulikuwa na elimu ya ukweli sasa hivi CCM imeshusha elimu yetu chini. Hatutaki shule kama za Magufuli akili zake zimejaa ujinga na maguvuguvu utafikiri ikulu anakwenda kupigana kumbe kuna hitajika busara na akili. Huna tofauti na IQ ya Magufuli au Kikwete
Nimezaliwa enzi za ukoloni kwa hiyo huniambii lolote. Kushadadia Kiingereza ni ujuha na umbumbumbu wa kutupwa. Zinduka.
 
Nimezaliwa enzi za ukoloni kwa hiyo huniambii lolote. Kushadadia Kiingereza ni ujuha na umbumbumbu wa kutupwa. Zinduka.

English is communication or business language kwa ilimwengu huu wa karne ya 24 ni lazima ujue hasa kama ukiwa ombaomba kama Kikwete, kuombaomba ni sera namba moja ya CCM kwa hiyo ni lazima Magufuli ajue kuizungumza ili aweze kuombaomba kwa mabawana zake wazungu kama akichaguliwa kuwa rais
 
Kumbe hajui kabisa kiingereza!. Nimeshangaa aliwasilisha vipi reseach zake? Ninaona harufu ya karibu ya degree za mizani aka bao la mkono.

Kumbe jasiri haachi asili!. Ccm ni ccm tu wamezoea vya kunyonga!

Du, kweli sikuwah kufikiria. Kumbe ccm walianza zamani kuchakachua!.

kumalamamaakounatombwakomKumsemaraisiwangumsengekwelimaviyakounafilwakumaninazako
 


Imenishangaza sana, sijui ile sera namba moja ya ccm kuombaomba kwa wazungu ataitekeleza vipi kama akichaguliwa kuwa rais. sijui atakuwa anaomba kwa kiswahili au atakuwa anatembea na mkalimani kwa kazi maalumu ya kuombaomba



Ombaomba lazima awe mjuzi wa kujieleza na ulaghai juu, sasa kwa mwendo huu mmmmhhh
 
Last edited by a moderator:

English is communication or business language kwa ilimwengu huu wa karne ya 24 ni lazima ujue hasa kama ukiwa ombaomba kama Kikwete, kuombaomba ni sera namba moja ya CCM kwa hiyo ni lazima Magufuli ajue kuizungumza ili aweze kuombaomba kwa mabawana zake wazungu kama akichaguliwa kuwa rais
Miswada ya sheria anayosaini Raisi inaandikwa kimombo; maandishi yote toka nje ni kimombo mbona atachomekewa mpaka akome
 
Nyinyi UKAWA tukiwachagua mtatuturudisha enzi ya ukoloni kwa jinsi mnavyoshadadia Kiingereza kama majuha. #HapaKaziTu

Jamani mnamcheka Magufuli na Kiingereza chake,mkimsikia Lowasa ndo kabisaaaa!Magufuli nafuu mnaweza hata kutumia mkalimanı,Lowasa hata mkalimali atasumbuka,labda mtaalam wa lugha za alama.
 

English is communication or business language kwa ilimwengu huu wa karne ya 24 ni lazima ujue hasa kama ukiwa ombaomba kama Kikwete, kuombaomba ni sera namba moja ya CCM kwa hiyo ni lazima Magufuli ajue kuizungumza ili aweze kuombaomba kwa mabawana zake wazungu kama akichaguliwa kuwa rais
You are one of those savages that, upon reaching London, become amazed and flabbergasted to discover that even children, waiters and garbage collectors speak English fluently. Wake up from your colonial stupor! #HapaKaziTu
 
Nakubaliana na wewe huyu hata desertations alifanyiwa aisee hajui kitu kabisa so shame
 
Back
Top Bottom