Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Enzi ya ukoloni kulikuwa na elimu ya ukweli sasa hivi CCM imeshusha elimu yetu chini. Hatutaki shule kama za Magufuli akili zake zimejaa ujinga na maguvuguvu utafikiri ikulu anakwenda kupigana kumbe kuna hitajika busara na akili. Huna tofauti na IQ ya Magufuli au Kikwete

Hata yeye sikasoma enzi za Nyerere kichwa kizito anacho
 

Attachments

  • 1443280933201.jpg
    1443280933201.jpg
    47.2 KB · Views: 394
Magufuli anajua tu kuhesabu hatua za barabara. Kingereza sifuri, ataendaje kuomba misaada?kwani ccm bila kuombaomba haiendi kabisa.
 
You are one of those savages that, upon reaching London, become amazed and flabbergasted to discover that even children, waiters and garbage collectors speak English fluently. Wake up from your colonial stupor! #HapaKaziTu

Go and advice Magufuli to drop out
 
Kuanzia kesho kwenye mikutano yake yote atatumia dakika kumi kumwaga sera kwa kiingereza. Atawaonesha kuwa mbali ya afya yupo fit kwenye lugha kadhaa kama alivyofanya jana Kahama na ya malkia pia. Hahahahahaha
 
Juzi kati walitembeza bakuli Mlimani City, na hapo ni kabla ya kushika dola. Wakishika dola je itakuweje?

Vyama vingi vya siasa huwa vinafanya michango kwa ajili ya wagombea wao (fundraising) sasa CCM wamefanyia wapi fundraising? Chadema haiendi nje ya nchi kuombaomba michango, wanachofanya ni kuomba wananchi wachangie ili mabadiliko yatimie, mambo hayo hata nchi za nje zilizo tajiri huwa wanafanya kukusanya michango kwa ajili ya mgombea wao kwenye vyama vyao, chadema kufanya hivyo sio kosa. Kosa kubwa na aibu ni kwenda nje ya nchi kuomba wakati rasilimali tunazo. bajeti ya kuomba, vyandarua vyakuomba, barabara zinazojengwa za kuomba, kujenga vyoo vya shule kuomba, kila kitu kuombaomba ndio sera ya CCM kuomba
 
Jamani mnamcheka Magufuli na Kiingereza chake,mkimsikia Lowasa ndo kabisaaaa!Magufuli nafuu mnaweza hata kutumia mkalimanı,Lowasa hata mkalimali atasumbuka,labda mtaalam wa lugha za alama.

Haya jiue basi

 
Last edited by a moderator:
Magufuli bana...

Karatasi anaita rikaratasi....

Kizungu atawezaje?
 
Vyama vingi vya siasa huwa vinafanya michango kwa ajili ya wagombea wao (fundraising) sasa CCM wamefanyia wapi fundraising? Chadema haiendi nje ya nchi kuombaomba michango, wanachofanya ni kuomba wananchi wachangie ili mabadiliko yatimie, mambo hayo hata nchi za nje zilizo tajiri huwa wanafanya kukusanya michango kwa ajili ya mgombea wao kwenye vyama vyao, chadema kufanya hivyo sio kosa. Kosa kubwa na aibu ni kwenda nje ya nchi kuomba wakati rasilimali tunazo. bajeti ya kuomba, vyandarua vyakuomba, barabara zinazojengwa za kuomba, kujenga vyoo vya shule kuomba, kila kitu kuombaomba ndio sera ya CCM kuomba
Maneno mengi lakini hakuna cha maana unachoongea.
 
Last edited by a moderator:
killed president of Libya - Saddam
Former president of Kuwait - Saddam
By JPM.
 


Imenishangaza sana, sijui ile sera namba moja ya ccm kuombaomba kwa wazungu ataitekeleza vipi kama akichaguliwa kuwa rais. sijui atakuwa anaomba kwa kiswahili au atakuwa anatembea na mkalimani kwa kazi maalumu ya kuombaomba





Du nimecheka mpaka basi! Aibu aibu aiibu! Kina Mkapa walikuwa wanwaza nini hadi wakamteua mtu kama huyu asiye na sifa hata kiduchui ya kukalia ofisi kubwa ya ummma kama ikulu? Tuna tatizo kubwa Tanzania. hata watoto warasema aa hata rais wetu haijui lugha kwa nini sisi yuahangaike. Mungu epushia mbali huyu zuzu asiingie ikulu yetu. Atakuwa mfano gani sasa? Maguufuli hakuna kitu kabisa ni full kichejkesho. Mara sadam Hussein ni rais wa Libya mara kingereza km cha form four! Aliandikaje dissertation yake?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom