quote=;14126205]
"i am a politicians". "i dont want to take this time as saying so many political...."
"simple and clear is only congregations to you.."
"to the university korindor... , co... Cor,.. Colimbia univeristy to the assistance we are getting to this hospt"..
bila shaka huyu jamaa anatamani kimatumbi iwe lugha ya kufundishia tanzania.
Kwa kuwa alisoma katika mfumo wa lugha ya kiingereza, na katiba ya nchi inahitaji awe na kiwango sahihi cha elimu, huyu jamaa anayo hiyo elimu?
Kwa harufu ya degree za magumashi, ni dhahri alipishana na wahadhari mlangoni. Kwa mtino huu bado anasifa ya kugombea hata ubunge?
Unapochangia, ulinganishe na "saddam wa libya/kuwait"
linganisha na mgombea wa ukawa mheshimiwa lowasa.
[/quote]