Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Wasaalam wakuu
wagombea wetu mwaka huu wanachekesha sijui wanachapa kizungu cha marekani, Afrika kusini, Uingereza au wapi? Kama yule mwenye Phd yeye ni kuvuruga ligha za watu tu sasa sijui kama ataweza kupresent mambo kama afanyavyo raisi wa Kenya, au ndio atapiga kisukuma chake ?

Ni mwendo wa kuajili wakalimani kama Rais wa china, Rusia, korea, German, Italy, France, Spain , Portugal, korea, Vietnam, Uarabuni na Rais wa zile Nchi ambazo hawaendekezi kingereza na maisha yanaendelea. Ni wakati sasa wa kukitangaza Kiswahili Ulimwenguni , Rais wa Tanzania popote atapokwenda ni vyema akaambatana na mkalimani apate ajila huku Kiswahili kikizidi kukua na kusambaa Duniani.
 
QUOTE=;14126205]



"I am a politicians". "I dont want to take this time as saying so many political...."

"Simple and clear is only congregations to you.."


"To the University Korindor... , Co... Cor,.. Colimbia univeristy to the assistance we are getting to this hospt"..

Bila shaka huyu jamaa anatamani KIMATUMBI iwe lugha ya kufundishia Tanzania.
 
Last edited by a moderator:
Tukipende Kiswahili iwe ni fahari kuipenda lugha yetu kama zilivyo Nchi za Asia. Umoja wa Ulaya Shengeni kila taifa linaithamini lugha yake kwanza kisha kingereza baadae.
 
Wakalimani sasa wapewe ajila Rais ajae akomae na Kiswahili kokote aendako Duniani.
 
QUOTE=;14126205]



"I am a politicians". "I dont want to take this time as saying so many political...."

"Simple and clear is only congregations to you.."


"To the University Korindor... , Co... Cor,.. Colimbia univeristy to the assistance we are getting to this hospt"..

Bila shaka huyu jamaa anatamani KIMATUMBI iwe lugha ya kufundishia Tanzania.


Wakalimani ni mda wao kuchangamkia tenda, Rais wa awamu ya Tano tunakuomba ukitangaze Kiswahili kwa bidii kokote Ulimwenguni.
 
Last edited by a moderator:
Kiingereza ni business language sasa mnaposifia asiejua hata kujieleza kwa masuala madogo sijui UN summit atafanya kitu gani , afadhali jk anaelemba sauti kiaina kuficha udhaifu wake kwenye lugha
 
QUOTE=;14126205]



"I am a politicians". "I dont want to take this time as saying so many political...."

"Simple and clear is only congregations to you.."


"To the University Korindor... , Co... Cor,.. Colimbia univeristy to the assistance we are getting to this hospt"..

Bila shaka huyu jamaa anatamani KIMATUMBI iwe lugha ya kufundishia Tanzania.

Wewe unajua sana Kiingereza kuliko hata wenye lugha wenyewe!! Kwa hiyo??
 
Last edited by a moderator:
Wasaalam wakuu
wagombea wetu mwaka huu wanachekesha sijui wanachapa kizungu cha marekani, Afrika kusini, Uingereza au wapi? Kama yule mwenye Phd yeye ni kuvuruga ligha za watu tu sasa sijui kama ataweza kupresent mambo kama afanyavyo raisi wa Kenya, au ndio atapiga kisukuma chake ?

Mkuu, kwani huwa "wanafikiri" Kwa kutumia lugha Gani? Kama kwenye kufikiri wanatumia kiingereza basis tuna tatizo kubwa. Ila kama ni Kwa kiswahili sioni tatizo.
 
Ili tuendelee tunahitaji vitu vitatu.....watu....ardhi na siasa safi (siasa safi sio lugha ) si kwamba bila kiingereza....maendeleo hayawezekani!.....INAWEZEKANAAAAH!....Mbona mataifa yote yaliyoendelea wanatumia lugha zao mamah!....
 
Tanzania Kiingereza ni tatizo la kitaifa. Tell us something we don't know.

What you are choosing now is between Pwagu and Pwaguzi. The devil and the deep blue sea.
 
Tanzania Kiingereza ni tatizo la kitaifa. Tell us something we don't know.

What you are choosing now is between Pwagu and Pwaguzi. The devil and the deep blue sea.

Sio tatizo kabisa sababu kujua au kutokujua kiingereza sio kigezo cha kuwa rais.
 
Sio tatizo kabisa sababu kujua au kutokujua kiingereza sio kigezo cha kuwa rais.

Rais hachaguliwi kwa vigezo vya kuwa rais tu.

Tukiwa na watu wawili wenye vigezo sawa, na mmoja ana advantage zaidi ya vigezo, mwenye advantage zaido ya vigezo atatufaa zaidi.

Let's stop dumbing this down to the basics.
 
Rais hachaguliwi kwa vigezo vya kuwa rais tu.

Tukiwa na watu wawili wenye vigezo sawa, na mmoja ana advantage zaidi ya vigezo, mwenye advantage zaido ya vigezo atatufaa zaidi.

Let's stop dumbing this down to the basics.

Bado kiingereza sio priority at all. Tutaangalia vigezo vingine ila sio yai
 
Back
Top Bottom