Ni hatari sana kuwa na Kiongozi aliyepata sehemu kubwa ya Elimu yake kwa njia ya kukariri, sio sifa waziri kukariri urefu wa barabara zote nchini na kufikiri ndio kiongozi bora, huyo hukariri kitabu kizima na kushinda mtihani, mtu wa namna hiyo sio self analyst na general knowledge yake ni ndogo sana, hafai kuwa kiongozi anafaa kuwa mtumishi chini ya kiongozi makini
Kiukweli Magufuli sijui hata imekuwaje akaonekana ana sifa za kugombea urais huko cccm. Yaani ule umaarufu wa kukariri kilometa za barabara ndio kimemfanya aonekane ndio bora kuliko wote? rais gani hawezi kuongea sentensii hata moja ya lugha ambayo ndiyo ameitumia kufanyia tasnifu yake? yaani usome tangu darsa la tatu mpaka ngazui ya PhD ukitumia kiingereza halafu eti huwei kutunga sentensi mja sahihi ya kiingereza? Watu wanaleta m,ambo ya Russia sijui china kule wao lugha yao wanayotumia kujufunzia ni za nchi zao sisi lugha yetu ni kiingereza ni medium of instruction and communication katika elimu. Sasa iweje mtu anayeomba nafsi ya juu kabisa katika nchi hajui lugha hii? tungekuwa hatutumii kingerezxa kwenye kufundishia na kwenye shghuli za serikali sawa lakini kiingereza ni official language hapa kwetu, kule Russia na china wanatumia lugha zao pekee. kwa hiyo sio sahihi kudai eti mbona Russia na china hawajui kingereza na wameendelea? sio sawa. Tungekuwa tunatumia Kiswahili km medium ya instruction shuleni na vyuoni na katika shughuli zote za serikali basi tusingemshngaa magufuli. PhD yake aliifanyaje? Au ni ya kuandikiwa?
Acheni ujinga jamani warusi hawatumii kingerezaa km sehemu ya official language yao ukimsikia mrusia au mchina anaongea basi ujue kaamua tu kujifuza wa sabbu ni ziada. Ni kaa sis tujifnze kifranza over engs wetu ss ensh ni lugha muhim kwa shughuli ztu. Kwao englsh sio mumu hivo hawawajibii kukijua
Yaani wewe ni kichekesho. Kiingereza chako kibovu na Kiswahili chako nacho taabu tupu. Sasa ndio umeandika nini hapa? Unamcheka Magufuli wakati wewe mwenyewe ni kituko.I am sorry to have said this to you my brother:
Tanzania is not ready at all to be lead by a Woman as a PRESIDENT!!!Frank speaking from the inner most of your heart...you know this neither be after 50ys come...."IN THE BEGINING GOD CRATED A MAN"
NI KWEI KUTOJUA LUGHA SIO UJINGA LAKINI PHD?? KUJIELEZEA TU HAWEZI?? ANANIAIBISHA HATA KUJIITA MSEMINARI WA ZAMANI!!!KHA!!! ELIMU YETU AJANGA....NDI MAAANA TUNATAKIMBIA MAJIRANI ZETU....LOWASA KWANZA!!!
China na mfanano wake wasiotumia kiingereza, wanamfumo wao wa kupata elimu usiokuwa wa kiingereza. Hao wamesoma na wameelimika sana shida inakuwa kutumia elimu zao na utaalam mbali mbali katika fani zao katika lugha ngeni.
Huyu wa ccm, hajasoma. Kwa maana amekaa darasani bila kujua nini kinafundishwa na hivo anatoka bila elimu. Hawezi kusema amesoma wakati haelewi kilichokuwa kikihitajika akielewe. Uwezo wa kutuambia kwamba alielewa hana kwa sababu huwezi kuelewa lolote wakati lugha inayotumika huijui.
Huyu hata angepewe wakalimani hana cha kufanya kwa sababu hana ufahamu. Vinginevyo atuambie yeye elimu yake alisoma kwa ktumia lugha gani?
[/QUOTE]QUOTE=;14126205]
"I am a politicians". "I dont want to take this time as saying so many political...."
"Simple and clear is only congregations to you.."
"To the University Korindor... , Co... Cor,.. Colimbia univeristy to the assistance we are getting to this hospt"..
Bila shaka huyu jamaa anatamani KIMATUMBI iwe lugha ya kufundishia Tanzania.
Kwa kuwa alisoma katika mfumo wa lugha ya Kiingereza, na Katiba ya nchi inahitaji awe na kiwango sahihi cha elimu, huyu jamaa anayo hiyo elimu?
Kwa harufu ya degree za magumashi, ni dhahri alipishana na wahadhari mlangoni. Kwa mtino huu bado anasifa ya kugombea hata ubunge?
Unapochangia, ulinganishe na "SADDAM wa LiBYA/KUWAIT"
LINGANISHA NA MGOMBEA WA UKAWA MHESHIMIWA LOWASA.
Kwahiyo Magufuli hata china angeweza kusoma na kupata Phd bila kuelewa kichina?
Hiyo clip ya magufuli nimewasikilizisha wanangu wajifunze kingereza kwa bidii ili wakiwa wakubwa wasinitie aibu kama Magufuli.
Hawa jamaa ndio maana Mkapa aliwaita wapumbavu, mbumbumbu na malofa. Wanadai wanataka kumkomboa mtanzania toka kwa "mkoloni mweusi" wakati huo huo wao wenyewe bado wamegubikwa na kasumba za kikoloni. Wanadhani watanzania ni wajinga. Watakipata safari hii.Mtu kushindwa kuongea lugha vizuri ndiyo kipimo cha kusema huyo mtu hajui kabisa hiyo lugha?
Sasa Kiingereza na urais vinahusiana nini? Kwani Magufuli atakuwa rais wa Waingereza ama Watanzania wanaozungumza Kiswahili? Huko nchi za nje hiyo cyo issue, hata Rais wa Uchina anazungumza kichina kwenye mikutano yote ya kimataifa!! Ni lini tutaacha kuwa na utumwa wa kifikra? Mimi nitamchagua kiongozi muadilifu na mchapakazi n not otherwise!!!
Hawa wanaong'ang'ana ni wale huwa tunawaita Arts Pure.Huwa husoma masomo na hukuzania sana Kıswahl,Kıingere na Uraia.Wengi wao huwa hawana uwezo wa kutosha kıakili.Magufuli nı mwanasayansi na PhD yake n ya Chemistry,hana haja ya ngwine zenu,ıla kıchwa ni full charged.
tusipotoshane mfumo wetu wa elimu ni kiingereza kuanzia O LEVEL hadi huko alipo huyo mheshimiwa,usifananishe na China
kutoa hotuba nzuri kwa kiingereza inakusaidia nini, mbona unaendeleza utumwa mkuu kiingereza lugha ya watu na si yetu.
kuishabikia ni mwendelezo wa utumwa, kama mtu ni mtendaji mzuri na ana uwezo wa kutusaidia tumwache kisa hajui kiingereza upuuzi wa hali ya juu.
kuna maarifa na lugha kujua kiingereza haikufanyi kuwa na maarifa mkuu
Huyo Che Guevara angesikia haya mawazo yako ya kitumwa angekuona hamnazo. Umechanganyikiwa.Sisi hatukumlazimisha kuongea kingereza wala wageni wake hao hawakumlazimisha. Yeye alijua hamudu kingereza kwa nini alilazimisha kuongea kama yeye ni rational thinker.
Ngoja nibonyeze replay nicheke tena, mr president wanna be.
Mtu kushindwa kuongea lugha vizuri ndiyo kipimo cha kusema huyo mtu hajui kabisa hiyo lugha?
Huna lolote la maana. Toa ushahidi wa hayo madai yako kwanza na sio kuleta porojo.Magufuli... hakufanya presentation ya academic research papers ambazo ni mandatory kwa elimu anayodai kuwa nayo...