Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Ni hatari sana kuwa na Kiongozi aliyepata sehemu kubwa ya Elimu yake kwa njia ya kukariri, sio sifa waziri kukariri urefu wa barabara zote nchini na kufikiri ndio kiongozi bora, huyo hukariri kitabu kizima na kushinda mtihani, mtu wa namna hiyo sio self analyst na general knowledge yake ni ndogo sana, hafai kuwa kiongozi anafaa kuwa mtumishi chini ya kiongozi makini

Alikariri kwa lugha gani na mitihani alijibu kwa lugha gani ?
 
Kiukweli Magufuli sijui hata imekuwaje akaonekana ana sifa za kugombea urais huko cccm. Yaani ule umaarufu wa kukariri kilometa za barabara ndio kimemfanya aonekane ndio bora kuliko wote? rais gani hawezi kuongea sentensii hata moja ya lugha ambayo ndiyo ameitumia kufanyia tasnifu yake? yaani usome tangu darsa la tatu mpaka ngazui ya PhD ukitumia kiingereza halafu eti huwei kutunga sentensi mja sahihi ya kiingereza? Watu wanaleta m,ambo ya Russia sijui china kule wao lugha yao wanayotumia kujufunzia ni za nchi zao sisi lugha yetu ni kiingereza ni medium of instruction and communication katika elimu. Sasa iweje mtu anayeomba nafsi ya juu kabisa katika nchi hajui lugha hii? tungekuwa hatutumii kingerezxa kwenye kufundishia na kwenye shghuli za serikali sawa lakini kiingereza ni official language hapa kwetu, kule Russia na china wanatumia lugha zao pekee. kwa hiyo sio sahihi kudai eti mbona Russia na china hawajui kingereza na wameendelea? sio sawa. Tungekuwa tunatumia Kiswahili km medium ya instruction shuleni na vyuoni na katika shughuli zote za serikali basi tusingemshngaa magufuli. PhD yake aliifanyaje? Au ni ya kuandikiwa?

Unaamini kweli unaweza kupata hadi Phd bila kujua lugha uliyotumia kufundishiwa?
 
lakini sio kwa mwenye PHD coz lugha inayotumika kufundishia Tz ni kiingereza,hapo kuna??? kuhusu hizo shahada zao
 
Acheni ujinga jamani warusi hawatumii kingerezaa km sehemu ya official language yao ukimsikia mrusia au mchina anaongea basi ujue kaamua tu kujifuza wa sabbu ni ziada. Ni kaa sis tujifnze kifranza over engs wetu ss ensh ni lugha muhim kwa shughuli ztu. Kwao englsh sio mumu hivo hawawajibii kukijua

Kwahiyo Magufuli hata china angeweza kusoma na kupata Phd bila kuelewa kichina?
 
I am sorry to have said this to you my brother:
Tanzania is not ready at all to be lead by a Woman as a PRESIDENT!!!Frank speaking from the inner most of your heart...you know this neither be after 50ys come...."IN THE BEGINING GOD CRATED A MAN"

NI KWEI KUTOJUA LUGHA SIO UJINGA LAKINI PHD?? KUJIELEZEA TU HAWEZI?? ANANIAIBISHA HATA KUJIITA MSEMINARI WA ZAMANI!!!KHA!!! ELIMU YETU AJANGA....NDI MAAANA TUNATAKIMBIA MAJIRANI ZETU....LOWASA KWANZA!!!
Yaani wewe ni kichekesho. Kiingereza chako kibovu na Kiswahili chako nacho taabu tupu. Sasa ndio umeandika nini hapa? Unamcheka Magufuli wakati wewe mwenyewe ni kituko.
 
Rais aliyefukuzwa shule akiwa seminary na kuja kusoma lake shule ya wahun enz hzo atajua Lin kiingereza sasa kma sio matan hay wenzie wanasoma ye anafanya ujinga ujinga tu
 
China na mfanano wake wasiotumia kiingereza, wanamfumo wao wa kupata elimu usiokuwa wa kiingereza. Hao wamesoma na wameelimika sana shida inakuwa kutumia elimu zao na utaalam mbali mbali katika fani zao katika lugha ngeni.

Huyu wa ccm, hajasoma. Kwa maana amekaa darasani bila kujua nini kinafundishwa na hivo anatoka bila elimu. Hawezi kusema amesoma wakati haelewi kilichokuwa kikihitajika akielewe. Uwezo wa kutuambia kwamba alielewa hana kwa sababu huwezi kuelewa lolote wakati lugha inayotumika huijui.

Huyu hata angepewe wakalimani hana cha kufanya kwa sababu hana ufahamu. Vinginevyo atuambie yeye elimu yake alisoma kwa ktumia lugha gani?

Mtu kushindwa kuongea lugha vizuri ndiyo kipimo cha kusema huyo mtu hajui kabisa hiyo lugha?
 
QUOTE=;14126205]



"I am a politicians". "I dont want to take this time as saying so many political...."

"Simple and clear is only congregations to you.."


"To the University Korindor... , Co... Cor,.. Colimbia univeristy to the assistance we are getting to this hospt"..

Bila shaka huyu jamaa anatamani KIMATUMBI iwe lugha ya kufundishia Tanzania.

Kwa kuwa alisoma katika mfumo wa lugha ya Kiingereza, na Katiba ya nchi inahitaji awe na kiwango sahihi cha elimu, huyu jamaa anayo hiyo elimu?

Kwa harufu ya degree za magumashi, ni dhahri alipishana na wahadhari mlangoni. Kwa mtino huu bado anasifa ya kugombea hata ubunge?

Unapochangia, ulinganishe na "SADDAM wa LiBYA/KUWAIT"


LINGANISHA NA MGOMBEA WA UKAWA
MHESHIMIWA LOWASA.

[/QUOTE]

Hahaha...aisee mkuu ndio nimefungua sasahv nimecheka sana ila pia ninaihurumia nchi yangu kama kweli Magufuli aliongea hivi kwa kukusudia kabisa,au labda alikuwa katika kutania bana,
 
Last edited by a moderator:
Mtu kushindwa kuongea lugha vizuri ndiyo kipimo cha kusema huyo mtu hajui kabisa hiyo lugha?
Hawa jamaa ndio maana Mkapa aliwaita wapumbavu, mbumbumbu na malofa. Wanadai wanataka kumkomboa mtanzania toka kwa "mkoloni mweusi" wakati huo huo wao wenyewe bado wamegubikwa na kasumba za kikoloni. Wanadhani watanzania ni wajinga. Watakipata safari hii.
 
Sasa Kiingereza na urais vinahusiana nini? Kwani Magufuli atakuwa rais wa Waingereza ama Watanzania wanaozungumza Kiswahili? Huko nchi za nje hiyo cyo issue, hata Rais wa Uchina anazungumza kichina kwenye mikutano yote ya kimataifa!! Ni lini tutaacha kuwa na utumwa wa kifikra? Mimi nitamchagua kiongozi muadilifu na mchapakazi n not otherwise!!!

Hawa wanaong'ang'ana ni wale huwa tunawaita Arts Pure.Huwa husoma masomo na hukuzania sana Kıswahl,Kıingere na Uraia.Wengi wao huwa hawana uwezo wa kutosha kıakili.Magufuli nı mwanasayansi na PhD yake n ya Chemistry,hana haja ya ngwine zenu,ıla kıchwa ni full charged.

Kusema kweli ilipoanza tu nikajikuta nimefumba mdomo, ilipofika nusu nikashika kichwa!!! Aiiibuuu!!! Alafu anajiita dr duuuuuhhh!!!

Kama rais hana communication skills, ataweza ongea UN au EU???? Au unataka akiwa anahutubia tuzime Tv???? Ataweza kusoma na kuelewa mikataba hasa ya nje??? Huu si ujinga huu???

Kwa kifupi jamaa hafai hata kuwa mwenyekiti wa kijiji!!!
 
We should have a diplomat English courses coz our leaders are very poor in English language, you can't talk about economy or political issues if your English is not perfect.
 
tusipotoshane mfumo wetu wa elimu ni kiingereza kuanzia O LEVEL hadi huko alipo huyo mheshimiwa,usifananishe na China

Sijafananisha na china nilichouliza ni kwamba Magufuli hata china angeweza kusoma pia bila hata kuelewa kichina kama ambavyo huku ameweza kusoma bila kujua kiingereza?
 
kutoa hotuba nzuri kwa kiingereza inakusaidia nini, mbona unaendeleza utumwa mkuu kiingereza lugha ya watu na si yetu.

kuishabikia ni mwendelezo wa utumwa, kama mtu ni mtendaji mzuri na ana uwezo wa kutusaidia tumwache kisa hajui kiingereza upuuzi wa hali ya juu.

kuna maarifa na lugha kujua kiingereza haikufanyi kuwa na maarifa mkuu

Sisi hatukumlazimisha kuongea kingereza wala wageni wake hao hawakumlazimisha. Yeye alijua hamudu kingereza kwa nini alilazimisha kuongea kama yeye ni rational thinker.
Ngoja nibonyeze replay nicheke tena, mr president wanna be.
 
Sisi hatukumlazimisha kuongea kingereza wala wageni wake hao hawakumlazimisha. Yeye alijua hamudu kingereza kwa nini alilazimisha kuongea kama yeye ni rational thinker.
Ngoja nibonyeze replay nicheke tena, mr president wanna be.
Huyo Che Guevara angesikia haya mawazo yako ya kitumwa angekuona hamnazo. Umechanganyikiwa.
 
Mtu kushindwa kuongea lugha vizuri ndiyo kipimo cha kusema huyo mtu hajui kabisa hiyo lugha?


Magufuli hajui kabisa kingereza na hakufanya presentation ya academic research papers ambazo ni mandatory kwa elimu anayodai kuwa nayo. Huyu amekosa sifa ya kugombea uraisi wa Tanzania. Hatuwezi kuwa na mgombea mwevye vyeti vya magumashi.
 
Magufuli... hakufanya presentation ya academic research papers ambazo ni mandatory kwa elimu anayodai kuwa nayo...
Huna lolote la maana. Toa ushahidi wa hayo madai yako kwanza na sio kuleta porojo.
 
Hahaha...aisee mkuu ndio nimefungua sasahv nimecheka sana ila pia ninaihurumia nchi yangu kama kweli Magufuli aliongea hivi kwa kukusudia kabisa,au labda alikuwa katika kutania bana,[/QUOTE]


Magufuli kama alisema 'SADDAM WA LIBYA" na baada ya kujiona kakosea akarekebisha kwa kusema "SADDAM WA KUWAIT", kuwa haya MAKAMBO TOLEKA, ni mwendelezo wa kujidhirisha yeye nani. Ninaungana na Prof. Kitila Mkumbo kuona kwamba tatizo la Magufuli haliishii kwenye lugha tu bali linakwenda mbali zaidi. SHIDA YAKE IKO KUBWA KULIKO HAYA MAKAMBO. " Makambo Toleka" haya ni ishara ya huyu mtu ni wa aina gani. Hafai kwa lolote.
 
Back
Top Bottom