Najaribu kuimagine vijana shuleni walilazimishwa kuzungumza kiingereza watasema mbona rais naye hajui? Km unaweza kufikia ngazi ya kuwa rais hujui kingereza iweje mimi mwanafunzi nisumbuliwe kukijua? Kwa kweli kumchagua Magufuli ni kuweka bad precedent kwa vijana wetu!Mimi ninaishi sweden sasa miaka 26.wale ambao wanaongea kiswedish fluently lakini hawakwenda shule (yaani kukaa darasani na kujifunza)wana shida ktk kuandika na grammatical. Hivyo kuongea lugha si kigezo cha kuijua lugha.lugha ni kuielewa kwa vyote hasa kuandika na grammatical.
Unaamini kweli unaweza kupata hadi Phd bila kujua lugha uliyotumia kufundishiwa?
KUWA NA AKILI TIMAMU WEWE:-
1. THE ISSUE NI TANZANIA KUWA -0Dependant sana kwa matifa yanayoongea Kiingereza
2. Mikutano yote ya kimaendeleo inaendeshwa kwa KIINGEREZA
3.Elimu yetu ya bure bado itarudi chini ya kiwango kwa kujenga GHOROFA LA MSINGI WA MATOPE?
i.e. kuwa na CHEKECHEA MPAKA STND. SEVEN kwa kiswahili then FORM ONE MPAKA UNIVERSITY KWA KIINGEREZA?
4.MAGUFULI AKINI -INTERVIEW MIMI KWA KIZUNGU JAMBO LOLOTE ITABIDI AKAE NA DICTIONARY, NA MKALIMANI KARIBU SANA!!!!!
Hiv rais wa china anajua hata english kweli?... mi nadhqn hiyo siyo ushu hasa kwa wazalendo...labda kuwe na sababu nyingine.....hasa yenye mashiko
Je na Sadam wa KUWAIT?Hakika sasa nnaamini pasi na shaka yoyote ukawa wengi ni kama alivyosema Mkapa. Hivi mtu anaona kujuwa lugha ya nje ndiyo kuwa na akili. Hawa ndiyo wale wakiona mtoto wa Kingereza wa miaka 3 anaongea Kingereza wanashangaa na kumuona wa ajabu. Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda, hatutofika kesho wala keshokutwa.
watu mamburula kweli. unatoa mifano ya china na japani kwani wao lugha zao za kujifunzia na mawasiliano official ya kiserikali ni kiingereza? China hawatumii lugha ya kiingerezaa katika shughuli zao sisi tunaitumia kila mahali tangu primary mpaka vyuo vikuu. Hivyo mtu mwenye phd kutoweza kutunga hata sentensi moja sahihi ya kiingereza sio sawa! halafu majukumu anayotaka kupewa yanamlazimu ajue hiyo lugha vizuri kwa sababu itamlazimu kuitumia mara nyingi kuliko alivyokuwa waziri. atakuwa anakutana na wa\geni wengi sana na inabiodi aweze kuwa na ciommunication skills nzuri!
Mnaosema Magufuli hajui kiingereza ndiyo mnaopaswa kutueleza ni vp Magufuli aliweza kusoma bila kuelewa lugha iliyokuwa akifundishiwa hadi akapata hiyo Phd?
Mi ndo maana naona elimu ya kikanjanja tanzania itaendelea kutuletea makanjanja wengi kuongoza nchi. Ni aibu .nashauri taifa la hofu, tusiogope... Tufanye mabadiliko. Maamuzi magumu mwaka huu. Nadhani itakua suluhisho.
Hiv rais wa china anajua hata english kweli?... mi nadhqn hiyo siyo ushu hasa kwa wazalendo...labda kuwe na sababu nyingine.....hasa yenye mashiko
Lowassa kuna interview na TV ya Kenya kasema "our people are more poorer"
Nikasema duuh.
Wewe uliwahi sema Kikwete hajui kingereza humu
ingawa watanzania wanao mponda Magufuli wanamuona Kikwete ni afadhali sana
sasa huyu Magufuli unamuweka mizani ipi?
Mimi, Kikwete na Magufuli hatuchekani.
Magufuli anaongea kiingereza kama cha Waganda, ukimsikiliza unajua hajasoma nje na anaongea kwa lafudhi ya kwao, lakini unaona anaweza kufikiri kwa Kiingereza akiongea Kiingereza. Albeit he gets sloppy at times, so unbecoming for a chemist.
Kikwete anaongea Kiingereza cha kufikiri katika Kiswahili kwanza halafu kutafsiri maneno kutoka Kiswahili kwenda Kiingereza.
Ni kama unasema wanao mponda sana humu hawamtendei haki....
Mimi, Kikwete na Magufuli hatuchekani.
Magufuli anaongea kiingereza kama cha Waganda, ukimsikiliza unajua hajasoma nje na anaongea kwa lafudhi ya kwao, lakini unaona anaweza kufikiri kwa Kiingereza akiongea Kiingereza. Albeit he gets sloppy at times, so unbecoming for a chemist.
Kikwete anaongea Kiingereza cha kufikiri katika Kiswahili kwanza halafu kutafsiri maneno kutoka Kiswahili kwenda Kiingereza.