Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

ni vema ifatiliwe ilivyo patika hiyo phd yake.
ndomana wanataka kiingereza kifutwe kibaki kiswahili
 
Mbona hata kamanda wetu wa anga anayetuongoza Freeman Mbowe, naye kiingereza fluently ni msiba.
 
Acha utumwa kwa wakoloni wewe xi jing ping anajua kiingereza lakini hakitumii,wala siyo lazima.kikubwa lugha ya taifa japo wala si kwamba ati hawezi kiasi hicho,mwimu huyo,usichezee
 
Mshasahau walipoomba kura za ubunge Afrika Mashariki?

Kiingereza ni tatizo kutokana na elimu yetu. Na pia watu wengi wavivu kutafuta maarifa tofauti na fano walizosomea.

Akiwa rais namshauri awe na wakalimani kila.mara na atumie ti kiswahili.
 
Makamanda hata kiongozi wetu wa anga Freeman Mbowe naye kiingreza ni msiba.
 
Duh!! Alafu ana Phd na Masters ya UD!? Angekuwa mwanamke ningesema ni za pichu ila hizi sijui ni za push up!?
 
Mtoa mada nassume hii clip haijachezewa ili nimtendee haki pombe.

Duh jamani mbona aibu? Mliocheka mlipaswa kulia bila kujali itikadi zenu huyu ni waziri wa JMT anatuwakilisha wote kwa huu ugeni.Binafsi imekuwa ngumu kuamini kwamba former teacher huyu ambaye ni Phd holder (wakusomea sio ya heshima) hawezi kutofautisha kati ya singular na plural. Waalimu wengi wako vzr hili eneo hata kama ni wa chemistry-hakuna excuse kwenye hili lets be fair. Naona hata mgeni anayemwagiwa hii broken yuko puzzled haamini anachokisikia toka kwa senior minister wetu.

Mzee makamba ulitukana sana Kigoma ukimfagilia pombe kwamba ni msomi, ndio usomi huu ulimaanisha? Kingine kilichonisumbua ni kwamba hii shuguli ilikuwa rasmi ndio maaana amevaa mpk tai (mara nyingi havai) so alijiandaa kuzungumza. Kama broken hii iliandaliwa, kithungu chake cha kustukiza kikoje? Mmh imbombo ngafu tena jilipo kwa mtindo huu kwa kweli.
 
Hivi akisoma uzi huu atajisikiaje jamani !!! Watu wabaya sana da!
 
Kujua Kiingereza au kutojua sio tatizo kuhusiana na utawala. Hata Rais wa China, nchi ya pili yenye nguvu za kiuchumi duniani, hajui hata abc ya Kiingereza na juzi alimtembelea Obama na wamejadili mambo mengi tu. Lugha sio issue. Issue ya mgombea wetu ni tabia za kuchakachua ama udanganyifu kwa sababu hata hiyo tasnifu ya phd aliandikiwa. Sina uhakika kama alifanyiwa mtihani wa kuitetea! Hilo linamwondelea sifa ya kuwa Rais.
 
Mayoooooo weeeeeeee!aloo ma pipo man chagualingi me to be a presidaaa to put you some how,some else yah yah you know me.Ndiyooooo.
 
Hizi PhD wanazopata viongozi wetu hasa kutoka vyuo vya hapa nchini ninamashaka nazo. Kitila ni mwalimu ktk chuo hicho alichopewa Magufuli PhD, sijui anaweza kutueleza chochote kuhusiana na PhD ya Magufuli?
 
utumwa kazini, kujua kiingereza siku izi imekuwa ndo maarifa hahahahhaa. kama vipi tumwombe Adam simbeyi awe raisi wetu

Kama nchi yenyewe inaendeshwa kwa kutembeza bakuli we unategemea nini?
 
Akiwa waziri magufuli alihonga nyumba za serikali. Sasa akiwa rais atahonga nn?
Kumbuka rais wa awamu ya tatu alihonga wizara ya fedha kwa ajili ya dili la mwanamke.
Rais wa awamu ya nne alikuwa anahonga wilaya na mikoa.
Ccm inanuka uchafu haisafishiki. Magufuli ni dodoki chafu
 
Back
Top Bottom