Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Mpuuzi utamjua kwa jinsi anvyoleta vimada vya adabu.
Hivi China wameendelea kwa kiingereza?
We need a man of action, and that man is magufuli.
Colonial language will never build our country.
Stay young man.

sio china yote imejengwa na wachina part kubwa walikuwa wameisha jengewa japo lugha si jambo la kudetermine ubora kwenye uongoz ila ile phd mm ndo naumiza kichwa mfumo wa elimu ukoje wa phd ngeli haipandi
 
Alishindwa hata kukariri sentensi kumi za kusema???? faiza foxy baro Mr Chin MOTOCHINI njooni muone aibu ilioje!!! Kiukweli makufuli hafai na hana sifa za kuwa hata mwenyekiti wa kijiji.
Hapa ndio mnanikosha kiukweli watu mliokosa hata punje ya hoja kumchafua Magufuli leo mnajaribu ya Lugha! labda niwaambie kuwa lugha ni lughatu na kwa uzuri juzi hapa Lowassa kahojiwa na Citizeni ya kenya, mnajua English yale nimaneno fahasaha!! acheni ushabiki vijana Lowasa kaongea bloken mnataka tuchambue lugha Magufuli haendi kuongoza waingereza hilo Nyumbu mtambue, MBOWE NI DJ TENA ZERO KWANINI MNAMTUKUZA NA KUMPA UMUNGU MTU? HAPA KAZI TU
 
Last edited by a moderator:
Umechemka sana kuanzisha thread inayomkaanga live candidate unaemsupport. Ni dhahiri ulikuwa hujui kuwa ana madhaifu sana katika matumizi ya hiyo lugha unayotaka kutuaminisha kuwa ni kitu muhimu kati utendaji.
Lowassa ana struggle sana na kiingereza toka zamani na kwa sasa hali imekuwa mbaya zaidi kwani hata matumizi yake ya kiswahili pia ni ya kuvunja moyo.
Ukija hata katika kujenga arguement, candidate wako huwezi kumsimamisha mbele ya watu akajenga hoja. Hilo hata Viongozi wa ukawa wanalijua sema tu mpaka sasa ni swala la maji ukishayavulia nguo...
Kuupima uwezo wa uwakilishi wa mtu kimataifa kwa lugha ya kuazima, ni dalili ya fikra za kitumwa zilizomtawala mtu anaeamini hilo kama mwanzisha thread.....kuna mifano mingi tu ya viongozi wasioongea Kiingereza lakini wanalifanya hilo sana tu na nchi zao ni kati ya zile zinazoongoza kwa uchumi Duniani wakati kuna vinchi vilivyoshikilia sana kiingereza cha kuazima lakini ni masikini wa kutupwa. Rais wa China yuko US, unadhani anaongea kiingereza na Obama?
Ukimsikiliza candidate wako anavyoongea hicho kiingereza, utatokwa na chozi.
Kwa hili umechemka sana. Unajaribu kuonyesha uwezo wa Lowassa kwa cheap thread kama hii? Umemkaanga sana Lowassa.
 
Hapa kazi ipo!Magufuli akae tu kwenye ubunge!Urais ataumbuka kwa kutokujua kiingereza as international language
 
Na msaada ataombaje sasa maana hali yetu mungu anajua
 
Hapa ndio mnanikosha kiukweli watu mliokosa hata punje ya hoja kumchafua Magufuli leo mnajaribu ya Lugha! labda niwaambie kuwa lugha ni lughatu na kwa uzuri juzi hapa Lowassa kahojiwa na Citizeni ya kenya, mnajua English yale nimaneno fahasaha!! acheni ushabiki vijana Lowasa kaongea bloken mnataka tuchambue lugha Magufuli haendi kuongoza waingereza hilo Nyumbu mtambue, MBOWE NI DJ TENA ZERO KWANINI MNAMTUKUZA NA KUMPA UMUNGU MTU? HAPA KAZI TU

hivi wewe Mbowe aliwahi kukutumia akaacha kukulipa? mbona kila siku yupo kwenye ndimi zako ata kama hahusiani na kinachojadiliwa UKAWA na mtu kama wewe nani ambae amekosa hata punje ya hoja? usipomtaja kusikii raha?
 
hapa inaonyesha mkewe ndo atakuwa na roho mbaya ya kukataa kumfundisha mumewe.si kaoa tichaz kama mimi?
 
Kama watu wanataka mgombea mwenye weledi ambaye atatusitiri kimataifa tumchague Mama Anna Mghwira. Vinginevyo tujiandae kuficha nyuso zetu for five years. Inaumiza lakini hiyo ndiyo hali halisi.


watanzania wanahitaji MAENDELEO MAZURI hawahitaji KIINGREZA\KIZUNGU ZUNGU KIZURI.
 
sio china yote imejengwa na wachina part kubwa walikuwa wameisha jengewa japo lugha si jambo la kudetermine ubora kwenye uongoz ila ile phd mm ndo naumiza kichwa mfumo wa elimu ukoje wa phd ngeli haipandi
Ni kweli mkuu angekuwa ni mtu tumemtoa tu labda huko jeshini tukampa nafasi ya kugombea sawa lakini huyu ni msomi wa kiwango cha phd. Hawezi kuongea sentensi moja ya kiibgereza kwa usahihi! Ijulikane kwamba ili uruhusiwe kufanya PhD lazima uoneshe competency kwenye lugha utakayoitumia kufanyia hiyo Phd. Sasa huyu dijui ilikuwaje. Au alifanyiwa? Kwa sababu wakati anafanya hiyo phd tayari alikuwa waziri! Hivi huyu jamaa ataweza kukaa na marais wenzake wa malawi zambia n.k ambao hawajui kiswahili kudiscuss issues kweli? Hii ni aibu wakuu. Na ccm wameonesha kukosa umakini kwa hali ya juu!
 
Hapa ndio mnanikosha kiukweli watu mliokosa hata punje ya hoja kumchafua Magufuli leo mnajaribu ya Lugha! labda niwaambie kuwa lugha ni lughatu na kwa uzuri juzi hapa Lowassa kahojiwa na Citizeni ya kenya, mnajua English yale nimaneno fahasaha!! acheni ushabiki vijana Lowasa kaongea bloken mnataka tuchambue lugha Magufuli haendi kuongoza waingereza hilo Nyumbu mtambue, MBOWE NI DJ TENA ZERO KWANINI MNAMTUKUZA NA KUMPA UMUNGU MTU? HAPA KAZI TU

Sasa mkuu hapa umeandika nini?
 
Mbona hata rais wa uchina,ufaransa,korea,japan na hata brazil hawajui ngenge,lugha yetu ni kiswahili.
 
Mbona hata rais wa uchina,ufaransa,korea,japan na hata brazil hawajui ngenge,lugha yetu ni kiswahili.

Una jeuri ya kiuchumi au kitechnolojia kuongoza nchi bila kujua kizungu chochote kile cha ulaya?
By the way ikitokea miujiza akawa rais anaweza kutupunguzia ghalama za kusafiri safiri hovyo kama mtangulizi wake. Maana kusafiri kuelekea sehemu wanayoongea kizungu wakati hukijui inahitaji maamuzi magumu
 
Angalieni uhusiano wa mdomo na mikono,, hii yakupikwa 100% Hakuna uwiano wa mdomo na maneno yatokayo mdomoni,,, pia ishara ya uso na mikono havilingani na maongezi ya van mdomoni....

Kama ni ya kupikwa karipoti TCRA.
 
Back
Top Bottom