Isaya Nehemia
JF-Expert Member
- Jun 6, 2013
- 555
- 452
china na mfanano wake wasiotumia kiingereza wana bargain interest zao ki aje boss na hao 1st world.
Acha ujinga mkuu. Unajilinganisha na China wkt Tz hata kiwanda cha Toothpick hatuna!!!! Tukisema Tz inazidiwa na Rwanda kiuchumi mnasena eti Rwanda ni ndogo ndo maana, sasa kwny kizungu mbona mnajilinganisha na China?