Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Bavicha walimwandama mze wa div5 mpaka wakamtoa uwaziri.sasa mmekuja kwa mze wa kazi tu.du magufuli anakazi ngumu.
 
Ni daktari wa nini huyu magufuli??????????????


???????
???
?
 
Hii topic lazima ifutwe maana nyuzi nyingine kuhusu makomeo wana delete comments. Yani PhD level kwa broken hii hapana aisee kama akibahatika kuwa raisi awe anaenda na mkalimani

Mimi sioni tatizo kwani hatuchagui rais wa waingereza bali rais wa Watanzania

Pili mbona rais wa China alipokuja hapa alitumia lugha yao Chinese why not Dr Magufuli kutumia kiswahili

Isitoshe Magufuli is a scientist (Chemist and Mathematician) he knows to balance equations and calculations.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Mpuuzi utamjua kwa jinsi anvyoleta vimada vya adabu.
Hivi China wameendelea kwa kiingereza?
We need a man of action, and that man is magufuli.
Colonial language will never build our country.
Stay young man.
 
Acha uongo ....kuna vitu vng vya kujadili wala c maembe yenu hayo.....we mwenyew hujui kwa kunyoshea vidole wenzako?????
 
Kwa kweli kaivunjavunja Lugha ya Malkia..PHD holder hajui hata Saddam Hussein alikuwa Rais wa wapi

kwani kusahau hakupo...kitu chochote usipokutilia maanani utakisahau tu... magufuli ana mengi ya kufanya sio kukariri habari za urais wa sadam hussein....
kukisea ni kawaida hasa kwa mambo ambayo ni out of your field
 
Mimi sioni tatizo kwani hatuchagui rais wa waingereza bali rais wa Watanzania

Pili mbona rais wa China alipokuja hapa alitumia lugha yao Chinese why not Dr Magufuli kutumia kiswahili

Isitoshe Magufuli is a scientist (Chemist and Mathematician) he knows to balance equations and calculations.

Mkuu, mbona anasema I'm a poreticians?
 
Mpuuzi utamjua kwa jinsi anvyoleta vimada vya adabu.
Hivi China wameendelea kwa kiingereza?
We need a man of action, and that man is magufuli.
Colonial language will never build our country.
Stay young man.

Unadhani Wachina hawaongei English? Nani kakudanganya?
 
Kama hii ni habari ya kweli, wasomi wetu wengi sana maprofessor na madokta wameonesha viwango vya chini sana ambavyo haviendani na taaluma na viwango vyao vya elimu ktk upembuzi yakinifu wa mambo, na wengi ambao wanaonesha uwezo mdogo ni wale ambao umri wako angalau juu ya 45 na luendelea, kizazi cha sasa angalau (vijana) angalau tunajitahidi kutoa watu wenye kuweza kupembua mambo. Mfumo wetu wa elimu hauko sawa!
 
Tutamchagua hivyo hivyo awe anajua kingereza ama awe hajui tunataka Magufuli
 
povu linakutoka na vipi kuhusu Kuwait na Sadam Hussein? ni dhahiri huyu mtu IQ yake ni ndogo mno

Mambo ya kawaida hayo hata George Bush Jr alipoulizwa Spain iko wapi alisema hajuwi unashangaa nini?
 
Unadhani Wachina hawaongei English? Nani kakudanganya?

Kwani watanzania hawaongei wapo wanaoongea hata kama Magufuli hawezi kura tutampa mbona rais wa China alivyokuja aliongea kichina hata Magufuli atazungumza kiswahili.
 
Kwani wajapani walisoma kwa kiingereza hiyo elimu yao? Poor reasoning huyu kiingereza ndo lugha aliyoisomea digrii zote 3

Wewe lofa kweli.Tanzania tunazungumza lugha 3. Lugha ya kwanza ni vernacular (Kabila) second language ni Kiswahili na lugha ya 3 ni kiingereza. Mbona huulizi Kama anajuwa kisukuma au Kiswahili? Vijana msiwe watumwa wa akili mtachelewesha Kasi ya Maendeleo katika nchi hii.
 
Kama watu wanataka mgombea mwenye weledi ambaye atatusitiri kimataifa tumchague Mama Anna Mghwira. Vinginevyo tujiandae kuficha nyuso zetu for five years. Inaumiza lakini hiyo ndiyo hali halisi.

Hahaa Mkuu Kitila, Anna ni sawa na Sunderland, anazisindikiza timu kongwe kubeba Kombe.
 
Mambo ya kawaida hayo hata George Bush Jr alipoulizwa Spain iko wapi alisema hajuwi unashangaa nini?

Kwahiyo una halalisha ujinga kwa ujinga? au kwa vile hapo yupo George Bush hahahaha tuna safari ndefu.
VIVA UKAWA!!!!
 
English is not leadership

Ni kweli, English is not leadership, ila ndugu yangu KAMA HII ISHI INA UKWELI WOWOTE, inazua jambo uwezo wa huyu jamaa kichwani, Ni Dr. kumbuka, ilikuwaje akawa doctor? Mimi nimesoma shule za kawaida, sijasoma shule za kizungu, nina bachelor ila Kizungu hakinizingui sababu nimeanza kufundishwa nacho kwa kukariri kuanzia form one, mpaka namaliza form six nilikuwa angalau sababu kilikuwa hakikwepeki, kumeza daftari zote ilikuwa ngumu hivyo inabidi uelewe concept ya unachofundishwa na lugha hapo ilibidi nijitutumue na kiasi fulani pia ikaingia yenyewe, sasa hapo mtu unapiga mpaka udoctor na bado kuongea sentence iliyonyooka ya kizungu ni shida inaleta utata, na sasa nikiunga na yale ya Sudan, Libya na Saddam napata ukakasi. Hapa issue inayojitokeza ni elimu yetu hasa hawa madokta na maprofessor wazee, maana udoctor wake aliipatia UDSM, sio nje!
Ila ni mchapa kazi na muadilifu, lugha kama hayupo sawa atajifunza zaidi mbele ya safari.
 
Back
Top Bottom