Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Hizi PhD wanazopata viongozi wetu hasa kutoka vyuo vya hapa nchini ninamashaka nazo. Kitila ni mwalimu ktk chuo hicho alichopewa Magufuli PhD, sijui anaweza kutueleza chochote kuhusiana na PhD ya Magufuli?

Cc: Kitila Mkumbo
 
mwaka huu tusidanganyane si ukawa si ccm kati ya hivyo vyama viwili hakuna mgombea maridadi kwenye kuzungumza hayupo? Ikifikia hatua watu wanapiga pish up ili hali watu maelfu wamejumuika wawasikie watawafanyia nini basi ujue kuna walakini huku ukawa nako wetu hawezi zungumza hata kwa nusu saa na anatafuna maneno si mchezo kwenye suala la kujieleza wote hawapo sawa kabisa
Mkuu mi nakuunga mkono nusu,labda kwenye swala la kingereza lakini kwa lugha yetu ya kiswahili huwezi linganisha magufuli na lowasa hata kidogo lowasa sidhani kama aliwahi jieleza hata kwa dk 15 yeye ni mwendo wa dk 5 tena hapo kajitahidi mbaya
 
Kama watu wanataka mgombea mwenye weledi ambaye atatusitiri kimataifa tumchague Mama Anna Mghwira. Vinginevyo tujiandae kuficha nyuso zetu for five years. Inaumiza lakini hiyo ndiyo hali halisi.

huyu profesa mzima nae eti anajua kujua kiingereza ndo umemaliza kila kitu... si kama vipi sasa tuwabebe watoto wa chekechea wa uingereza waje wawe mawaziri na mmoja kati yao awe rais wetu? huu mfumo wetu wa elimu una nini aisee?
 
Watch "Edward Lowassa" on YouTube - https://youtu.be/j2MTRKdDKXk

Hawa wanaong'ang'ana ni wale huwa tunawaita Arts Pure.Huwa husoma masomo na hukuzania sana Kıswahl,Kıingere na Uraia.Wengi wao huwa hawana uwezo wa kutosha kıakili.Magufuli nı mwanasayansi na PhD yake n ya Chemistry,hana haja ya ngwine zenu,ıla kıchwa ni full charged.

nimesoma Art pure but nilifaulu masomo yote sayansi na Arts Google Obama alisoma nini halafu ujipime
 
Watch "Edward Lowassa" on YouTube - https://youtu.be/j2MTRKdDKXk

Mkuu msikilize Makongoro Nyerere linganisha na Lowassa, Nyerere yuko fluent katika uzungumzaji wake wa lugha ya kingereza kama alivyokuwa Baba yake, Mh.Mkapa, Jenerali Ulimwengu na JK just to mention a few - wote tajwa hapo juu hawana tatito la kufikilia maneno kwenye kiswahili kwanza kabla hawajatamka kwenye kingereza ndio maana flow ya maneno katika kutamka Kingereza yako flawless na hakuna time lag in between kifikilia na kutamka - vyote vinaonekana viko in sync.

Tatizo la Watanzania tulio wengi katika uzungumzaji wa Kingereza linatokana na sababu hiyo, hii haina maana kwamba hatujui kingereza wala nini sijui. Sasa kwa nini nimeleta video clip ya Mh.Makongoro, nataka kuonyesha kwamba hamuwezi kusema Mh.Lowassa anazungumza kingereza kizuri kuliko Dk.JPM, Lowassa kuna vitu vingine anachapia tu, kama uelewi kingereza vizuri unaweza kufikiri kapatia kweli kweli!!

 
Last edited by a moderator:
Makomeo hizi PHD za kupeana hiziii...mtu kwanza form three alifukuzwa seminari..

wengi sana tumefukuzwa seminari na wala sio kitu cha ajabu kwa sheria zao.. mi nilishawahi kufukuzwa seminari eti kisa nimeokota embe chini ya mti nikalila kwamba nilitakiwa nilipeleke ofisini wajue linagawanywa vipi kwa wanafunzi wote.. yani ile nawasimulia wazee wangu mpaka wanacheka tuu.. sio kama seminari ni wabaya ila kwa sheria zao practicality yake kwa kias kikubwa inawafaa malaika tu so siwezi kumnyima kura magufuli kisa alifukuzwa seminari
 
Magufuli yuko vizuri sana kwenye ngeli kjn hapo usijaribu utaumia sana lowasa mwenye hilo analijua
 
Profesa with all due respect....nyie ndio wa kulaumiwa! I can bet huyo magufuli hawezi kupata phD popote pale duniani kwa ung'eng'e huo isipokuwa phD ya UDSM tu!

So, tuseme wasomi wetu tunaowaamini wanauza hadi phD ?????? Maana tayari mtaani kwetu kuna kamsemo tunasemaga degree za vyupi!

Sina tatizo na lugha, ila nina tatizo na lugha kwa ulinganisho wa elimu kubwa aliyonayo! phD!!!!!!

sasa we nae ni nini hiki umenyamba? jf mbona imejaa watu wa sampuli hizi siku hizi?? kwaiyo hata chuo kikuu cha st. pittsburg, pyong yang, havana na phnom penh kote hupewi piheichidii bila kujua kiingereza? una kazi sana mjomba
 
Inavyosemekana magufuli yuko vizuri mno kwenye maswala ya kuzungumza lugha mbali mbali kama vile ki ngereza,ki french, ki jerman ukija kwenye lu kabisagha za asili hapo ndipo hakamatiki
 
Nadhani tatizo hapa ni zaidi ya kiingereza. Ni suala la weledi na mantiki. Hicho kiingereza ulichokiona ni dalili tu lakini kuna tatizo kubwa zaidi kuhusu uwezo wa kifikra wa viongozi wetu. Lakini kwa kuwa tumeamua kufungia macho ujinga acha twende hivyohivyo kuna siku tutaamka.

Sababu ni kufundishwa kwa Kiswahili? Suluhisho ni kufundishwa kwa Kiingereza?
 
Mkuu msikilize Makongoro Nyerere linganisha na Lowassa, Nyerere yuko fluent katika uzungumzaji wake wa lugha ya kingereza kama alivyokuwa Baba yake, Mh.Mkapa, Jenerali Ulimwengu na JK just to mention a few - wote tajwa hapo juu hawana tatito la kufikilia maneno kwenye kiswahili kwanza kabla hawajatamka kwenye kingereza ndio maana flow ya maneno katika kutamka Kingereza yako flawless na hakuna time lag in between kifikilia na kutamka - vyote vinaonekana viko in sync.

Tatizo la Watanzania tulio wengi katika uzungumzaji wa Kingereza linatokana na sababu hiyo, hii haina maana kwamba hatujui kingereza wala nini sijui. Sasa kwa nini nimeleta video clip ya Mh.Makongoro, nataka kuonyesha kwamba hamuwezi kusema Mh.Lowassa anazungumza kingereza kizuri kuliko Dk.JPM, Lowassa kuna vitu vingine anachapia tu, kama uelewi kingereza vizuri unaweza kufikiri kapatia kweli kweli!!

Du eti Kikwete anazungumza kiingereza fluently? Unakumbuka siku ile walipofanya press conference na obama? Full kuchapia
 
Last edited by a moderator:
Kiukweli Magufuli sijui hata imekuwaje akaonekana ana sifa za kugombea urais huko cccm. Yaani ule umaarufu wa kukariri kilometa za barabara ndio kimemfanya aonekane ndio bora kuliko wote? rais gani hawezi kuongea sentensii hata moja ya lugha ambayo ndiyo ameitumia kufanyia tasnifu yake? yaani usome tangu darsa la tatu mpaka ngazui ya PhD ukitumia kiingereza halafu eti huwei kutunga sentensi mja sahihi ya kiingereza? Watu wanaleta m,ambo ya Russia sijui china kule wao lugha yao wanayotumia kujufunzia ni za nchi zao sisi lugha yetu ni kiingereza ni medium of instruction and communication katika elimu. Sasa iweje mtu anayeomba nafsi ya juu kabisa katika nchi hajui lugha hii? tungekuwa hatutumii kingerezxa kwenye kufundishia na kwenye shghuli za serikali sawa lakini kiingereza ni official language hapa kwetu, kule Russia na china wanatumia lugha zao pekee. kwa hiyo sio sahihi kudai eti mbona Russia na china hawajui kingereza na wameendelea? sio sawa. Tungekuwa tunatumia Kiswahili km medium ya instruction shuleni na vyuoni na katika shughuli zote za serikali basi tusingemshngaa magufuli. PhD yake aliifanyaje? Au ni ya kuandikiwa?

Magufuli ni bingwa wa kudesa!
 
vingereza havijengi barabara wala havichimbi mitaro jamani sana sana vinatusaidiaga kutongozea masista duu basi.. ila kiukweli hua nachukia kumkuta mtu tena mwanaume anamponda mwenzake kwamba hajui kiingereza.. kwani kiingereza ni nini zaid ya utumwa asee?
 
Alikua anafundishaje wanafunzi!? Kwa style hii mikataba fake na mibovu wixara ya ujenzo itakua ya kumwaga!! kama kutoa shukrani tu ni issue tunaelekea wapi watz!!?
 
QUOTE=;14126205]



"I am a politicians". "I dont want to take this time as saying so many political...."

"Simple and clear is only congregations to you.."


"To the University Korindor... , Co... Cor,.. Colimbia univeristy to the assistance we are getting to this hospt"..

Bila shaka huyu jamaa anatamani KIMATUMBI iwe lugha ya kufundishia Tanzania.

Kwa kuwa alisoma katika mfumo wa lugha ya Kiingereza, na Katiba ya nchi inahitaji awe na kiwango sahihi cha elimu, huyu jamaa anayo hiyo elimu?

Kwa harufu ya degree za magumashi, ni dhahri alipishana na wahadhari mlangoni. Kwa mtino huu bado anasifa ya kugombea hata ubunge?

Unapochangia, ulinganishe na "SADDAM wa LiBYA/KUWAIT"


LINGANISHA NA MGOMBEA WA UKAWA
MHESHIMIWA LOWASA.

[/QUOTE]

Hapa ndo ninapokuwa na mashaka na IQ za wafuasi wa ukawa nahisi kuna kiungo kingine huwa wanakitumia zaid kufikiri badala ya ubongo.... Hiv mgombea kujua kiingereza ww kama mwananchi wa kawaida inakusaidia nn? Mkishamaliza kiingereza mtakuja na kigezo cha u handsome/Beautiful Poor You!!!!

Mgombea bora ni yule ambaye ni muadilifu sio fisadi, mchapakazi, mwenye msimamo usiotetereka, anayetimiza majukum yake kwa kuzingatia sheria, Hizi sifa Lowasa hana hata moja hivyo hatufai... Sasa mnataka Rais awe fluently in English mmesikia ikulu anaenda kuendesha debate?

Hapa kwenyewe nina dogo langu la miaka 7 yuko year 2 linatema ngeri si masihara na sisi home tunaona ni kawaida tu kwa sababu ni lugha kama zilivyo lugha nyingine
 
Last edited by a moderator:
...lakini huyu jamaa Magufuli ni product ya doctorate zenu (nyingine za kimagumashi) mnazotoa hapo udsm prof....sishangai wengine hawa hata ku practice specialty zao huwa shida...na matokeo yake wanajiingiza kwenye siasa....haya ni sehmu ya matokeo y kazi yenu hap udsm prof....ndio maana hamlali mnalalamika wasomi wa kibongo kukosa kazi kwenye soko la ajira wanapopambanishwa na wenzao wa nje....


.....sishangai kuona wengi wa hawa wanaojiita wasomi kukimbilia kwenye siasa....Unategemea nini kama mtu mwenye PhD anashindwa hata ku construct sentensi ya kiingereza iliyonyooka??...alafu huyu akiwa rais akatuwakilisha nje tunachekwa sisi kama nchi ya hovyo isiyo na watu makini...maana tunachagua maboga kishabiki....

...coming to your recommended choice for president of TZ...ningependa sana kujua kwanini wewe uliwatosa wenzio wa ACT kwa nafasi hii muhimu pale walipokupendekeza???....huoni kuwa ulionyesha udhaifu kwa kukwepa kikombe hiki??...kama uliweza kukwepa imani iliyowekwa kwako...vipi leo tuamini choice yako kuwa sahihi???...kama kweli unajali quality....

ulivomshobokea na maneno meeeengiiii kisa umeona huyu nae ni profesa,, we unajuaje kama nae sio profesa kihiyo? acha kujichoresha bwana
 

Hapa ndo ninapokuwa na mashaka na IQ za wafuasi wa ukawa nahisi kuna kiungo kingine huwa wanakitumia zaid kufikiri badala ya ubongo.... Hiv mgombea kujua kiingereza ww kama mwananchi wa kawaida inakusaidia nn? Mkishamaliza kiingereza mtakuja na kigezo cha u handsome/Beautiful Poor You!!!!

Mgombea bora ni yule ambaye ni muadilifu sio fisadi, mchapakazi, mwenye msimamo usiotetereka, anayetimiza majukum yake kwa kuzingatia sheria, Hizi sifa Lowasa hana hata moja hivyo hatufai... Sasa mnataka Rais awe fluently in English mmesikia ikulu anaenda kuendesha debate?

Hapa kwenyewe nina dogo langu la miaka 7 yuko year 2 linatema ngeri si masihara na sisi home tunaona ni kawaida tu kwa sababu ni lugha kama zilivyo lugha nyingine[/QUOTE]

Hatupeleki kituko kule ikulu,unataka dunia nzima itucheke kwa kuwa na rais asiyeweza kuongea hata sentensi moja fasaha ya kiingereza,kweli?
 
"I dont want to take this time as saying so many political...."

"Simple and clear is only congregations to you.."

"To the University Korindor... , Co... Cor,.. Colimbia univeristy to the assistance we are getting to this hospt"..
Bila shaka huyu jamaa anatamani KIMATUMBI iwe lugha ya kufundishia Tanzania.

Kwa kuwa alisoma katika mfumo wa lugha ya Kiingereza, na Katiba ya nchi inahitaji awe na kiwango sahihi cha elimu, huyu jamaa anayo hiyo elimu?

Kwa harufu ya degree za magumashi, ni dhahri alipishana na wahadhari mlangoni. Kwa mtino huu bado anasifa ya kugombea hata ubunge?

Unapochangia, ulinganishe na "SADDAM wa LiBYA/KUWAIT"


LINGANISHA NA MGOMBEA WA Ukawa MHESHIMIWA LOWASA.
/COLOR][/QUOTE][/QUOTE]

dah mkemia huyu ni fundi wa makemikali kuna tatizo hapa Lowassa anasema, "without education you cannot improve poverty." Is he serious? Improve poverty?

mwaka huu tusidanganyane si ukawa si ccm kati ya hivyo vyama viwili hakuna mgombea maridadi kwenye kuzungumza hayupo? Ikifikia hatua watu wanapiga push up ili hali watu maelfu wamejumuika wawasikie watawafanyia nini basi ujue kuna walakini huku ukawa nako wetu hawezi zungumza hata kwa nusu saa na anatafuna maneno si mchezo kwenye suala la kujieleza wote hawapo sawa kabisa

JamiiForums




mwaka huu tusidanganyane si ukawa si ccm kati ya hivyo vyama viwili hakuna mgombea maridadi kwenye kuzungumza hayupo? Ikifikia hatua watu wanapiga pish up ili hali watu maelfu wamejumuika wawasikie watawafanyia nini basi ujue kuna walakini huku ukawa nako wetu hawezi zungumza hata kwa nusu saa na anatafuna maneno si mchezo kwenye suala la kujieleza wote hawapo sawa kabisa




Lowassa anasema, "without education you cannot improve poverty." Is he serious? Improve poverty?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom