Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

China na mfanano wake wasiotumia kiingereza, wanamfumo wao wa kupata elimu usiokuwa wa kiingereza. Hao wamesoma na wameelimika sana shida inakuwa kutumia elimu zao na utaalam mbali mbali katika fani zao katika lugha ngeni.

Huyu wa ccm, hajasoma. Kwa maana amekaa darasani bila kujua nini kinafundishwa na hivo anatoka bila elimu. Hawezi kusema amesoma wakati haelewi kilichokuwa kikihitajika akielewe. Uwezo wa kutuambia kwamba alielewa hana kwa sababu huwezi kuelewa lolote wakati lugha inayotumika huijui.

Huyu hata angepewe wakalimani hana cha kufanya kwa sababu hana ufahamu. Vinginevyo atuambie yeye elimu yake alisoma kwa ktumia lugha gani?

Hawa wagombea wetu kila mmoja ana madhaifu yake!shida tuliyonayo ni kumpata kiongozi mfano wa Mwl. Nyerere!
 
Kibaya zaidi kingereza hicho kinaongelewa na mtu aliyeshawahi kuwa mwalimu dahh majanga sijui degree zake ali defend vp?


Hapo naona mambo mengi sana yakiwemo:-

1. Kichwa kibovu nikijumlisha na "SADDAM RAISIWA LIBYA AU KUWAIT"

2. Kukosa uadilifu kwa maana ya kugushi either kwenye ufaulu au hati za masomo.

3. Uelewa wa maswala ya maendeleo na tz kama sehemu ya dunia ni zero, kitu ambacho ni muhimu kwa maamuzi anuai muhimu kwa maslahi ya taifa katika ulimwengu huu wa globalization.

4. Siri ya ubabe wa magufuli kumbe ni inferiority complex kitu ambacho hawezi kufanya kazi na watu weledi ambao ni muhimu kwa taifa.

5. Kiburi hicho hicho na ubabe huo ndio atakaoutumia kushinikiza MASLAHI YA MAFISDI YA CCM YANAYOLAZIMISHA KUWEMKA MADARAKANI BILA SIFA, AYALINDE NA KWA KATIBA YA CCM, HAKUNA MTU ATASEMA NENO LOLOTE.

6. Ndiyo sababu Kikwete kaamua kumweka ili aendelee kuongoza nchi na kujilnda yeye na masela wenzake.

CCM OUT!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

UKAWA CHAGUO LETU.

5.
 
Hapo naona mambo mengi sana yakiwemo
4. Siri ya ubabe wa magufuli kumbe ni inferiority complex kitu ambacho hawezi kufanya kazi na watu weledi ambao ni muhimu kwa taifa.

CCM OUT!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

UKAWA CHAGUO LETU.

Tabby hii kitu niliigundua baada tu ya kusikiliza hiyo speech yake. Nikawaambia cousins wangu nilikuwa nao wakasema nimezidi kumsingizia.
Ubabe wake ni kuficha mapungufu kibao aliyo nayo. Sasa namuelewa ndugu yangu anayefanya kazi tanroads. Anasema magufuli si mtendaji ila anapenda mno publicity halafu kinachombeba ni kuwa tofauti na wizara ya afya ujenzi ni vitu vinavyoonekana na kila mtu. Sasa ukiongeza anavyoita waandishi na kuanza kufokea makandarasi publically na wao hawawezi sema chochote basi ndio anaonekana mtendaji kweli.
 
Kama watu wanataka mgombea mwenye weledi ambaye atatusitiri kimataifa tumchague Mama Anna Mghwira. Vinginevyo tujiandae kuficha nyuso zetu for five years. Inaumiza lakini hiyo ndiyo hali halisi.

Wewe mwenyewe kimeo, halafu unatuletea vimeo?
 
Nimejiuliza sana magufuli ni Dr wa ukweli ama mwanamazingaumbwe

Ni mbinukaji jukwaani tu hana lolote huyo pombe. Kwa makosa kule kubinuka jukwaani kuna wstu waliona kama push ups. Sijawahi kusikia kithungu kibovu kama hiki kwa mtu mwenye 2nd degree seuse Phd. Alitetea vp hizo thesis zake huyu baba kama 5 mnts tu zijamtoa jasho kiasi hiki?

Shame on his supervisor. Umetudhalilisha sana ww profesa uliyemsimamia huyu pombe.
 
Lugha si tatizo, akienda kimataifa ataomba kuobgea kiswahili na watatafsiri. Kimataifa hawajali lugha au accent, wanajali content ya utafiti husika.
Suala siyo lugha. Chuo Kikuu Cha Dar wanafunzi huanza na Communication skills. Inakuwaje wahitimu wetu hawa?
 
Oh Really? Why did he speak English if he knew he doesn't now English in a first place?

And if he doesn't know the language he claims to use in all his academic undertakings, that means he is not learned and for that he is constitutionally disqualified from ugombania wa uraisi kwa tanzania!

Pretending that the video is not a fake, I would answer you as follows: You can`t judge someone`s intellect from the use of a borrowed language even if he used it throughout his studies. I have good examples to back that, some of which are Chinese friends I know who went to English medium universities after taking intensive English courses in their country and some out of their country but who can`t make any serious conversation in English. But that doesn`t mean that, they didn`t gain from the studies they took in English, they are very good in their professions and you can`t talk in their backs in English without them understanding what you are saying.
Magufuli using English in a speech might have been caused by many reasons some of which can be; The absence of an interpreter or he thought he could make matters more clearer if he spoke himself.
Even if the video was true and not a fake, you can`t disqualify someone with a good achievement record in his career for a thoughtless reason as, the inability to use a language that doesn`t belong to him and which he learned in school. English didn`t build our roads and bridges.
I think someone who deserves to be disqualified is who mentioned in church, that its time for Northerners and Lutherans to lead Tanzanians. Such a statement might sound simple to you, but for those who know our history, it meant a lot. In the 1960`s Northerners tried to create their own republic, something which led to the exile of one of their famous Local Chiefs from that part to Rome. If our intention is to keep our peace and stay united, why these statements?
The person we need to be banish from the election process, is someone who doesn`t have a history of achieving anything in his career except for claims of accomplishments he puts forward without even simple proof.
The person we need to banish from the election process is someone who claims to have done tough decisions without telling us what those tough decisions were exactly so we could know.
The person we need to banish from the election process, is that someone who can`t argue and present matters in his mother tongue to convince us that he deserves our vote.
The person who needs to go, is someone who is telling us that our children will have free education from nursery school to university without showing us how.
The person who needs to go, is someone who can`t remember stuff and yet his gang is trying to convince us that he will bring changes through very well thought ideas.
Lets stop arguing about trivial matters when we have very serious issues to discuss which are more important to our country.

We don`t need a beggar president who will elude us with his English while governing our country on a foreign dime. We need someone we can understand, we are not English or Americans.
 
Suala siyo lugha. Chuo Kikuu Cha Dar wanafunzi huanza na Communication skills. Inakuwaje wahitimu wetu hawa?

Achenin kuzipaisha lugha za kigeni na kuzioanasha na kuelimika au kuhitimu. Communication skills ni kwa ajili ya mawasiliano kwa ujumla wake,...
 
Waziri mkuu wa japan ,au wa ugiriki, castro anajua kingereza?

Hao wote uliowataja hawakutumia kiingereza kwenye masomo yao. Huyu pombe alitumia kiingereza toka class 3 mpaka Phd. Besides, huyu mtu alisoma seminary na amefundisha mpaka secondary, alipitaje huko kote na hii broken? Kingine, amekuwa waziri for 20 years alishindwa nn kujiongeza kwenye lugha hii muhimu japo informally ili kuepukana na hii aibu? Hii nchi ya ajabu sana viongozi hawaandaliwi then tunashangaa kwanini tumestuck.
 
Waziri mkuu wa japan ,au wa ugiriki, castro anajua kingereza?

Fikra za kitumwa kwa mmatumbi ni vigumu kutoka. Ni kazi sana. Sisi wamatumbi tuna mwendo mrefu sana kuelekea katika ukombozi. Hao jamaa sijui walituwekea nini. Fizikia, Biolojia na Kemia, maeneo yaliyotusumbua mwanzoni kuyatumia katika kiswahili sasa hivi yana istilahi za kutosha zilizo katika kiswahili, nadhani umefika muda tuanze kuyafundisha kwa kiswahili pamoja na masomo yote mengine ili tuufute huu utumwa mawazoni mwa watu na kiingereza kibakie kama somo tu.
Im just saying. Inakera sana.
 
Wewe ni mjinga kabisa tena mpumbavu mkubwa. Kiingereza ni lugha kama zilivyo lugha zingine. Kuna marais wengi sana duniani hawajui kabisa kiingereza lakini wanafanya vizuri sana kwenye nchi zao na uchumi wa nchi zao uko juu sana mara 100 ya uchumi wetu Tanzania. Watu kama ninyi mmejaa fikira za kitumwa ndio maana mnaona kuongea kiingereza ni jambo la maana sana. Magufuli haombi kuwa rais wa Waingereza au Wamarekani, Magufuli anaomba kuwa rais wa Waswahili Watanzania wanaotumia Kiswahili kuzungumza kila siku. #HapaKaziTu CHAGUA MAGUFULI.

Mkuu umri wa hizo nchi unazozisemea n mkubwa sana tofauti na nchi yetu. Sisi hebu tujilinganishe kwanza na Kenya.
 
Tabby hii kitu niliigundua baada tu ya kusikiliza hiyo speech yake. Nikawaambia cousins wangu nilikuwa nao wakasema nimezidi kumsingizia.
Ubabe wake ni kuficha mapungufu kibao aliyo nayo. Sasa namuelewa ndugu yangu anayefanya kazi tanroads. Anasema magufuli si mtendaji ila anapenda mno publicity halafu kinachombeba ni kuwa tofauti na wizara ya afya ujenzi ni vitu vinavyoonekana na kila mtu. Sasa ukiongeza anavyoita waandishi na kuanza kufokea makandarasi publically na wao hawawezi sema chochote basi ndio anaonekana mtendaji kweli.

Ninadhani ccm watampitisha kuwa mwenyekiti wao bila hata uchaguzi, ili wauone mkuki waliokuwa wameandaa kwa ajili ya nguruwe.

Hata hivyo ukiangalia historia ya Magufuli hajawahi kuwa kiongozi.

Hakuna sehemu aliwahi ku inspire zaidi ya kutishia.

Hajawahi kufanya kazi wizara yoyote akaacha mabadiliko zaidi ya harufu ya kiherehere.


Hana uwezo wa kuunda team zaidi ya shurti ambazo huzaa unafiki na chuki.

Hakuna kitu bora kimewahi kufanyika kikawa extraordinary zaidi ya publicity tena za upande mmoja.

Alipouza nyumba za serikali, ilitangazwa lakini madhara ya maamuzi hayo, hana uwezo wa kuyazungumzia ili angalau tuone kama ni mtu anayeweza kufanya tathmini ya kivuli chake ili kutengeneza mtazamo wenye mwelekeo sahihi.

Kila chombo cha habari kiliongelea "meli ya wachina na samaki alipoamua kuikamata kwa jazba bila akili", lakini tulipopigwa chini na kuamuriwa kulipa mabilioni ya fedha, hakuna aliyekazana kutangaza.

Anapozindua barabara zinazojengwa kwa kodi zetu, utadhani huwa anajenga kwa kujitolea na kwa katumia fedha zake za mfukoni. Barabara zinapokuwa nyembamba, mashimo ndani ya mieizi miwili, haiti media kuonyesha hasara ya ufanisi wake uliochini ya viwango.

Anafokea na kuwadhalilisha makandarasi wanapokosea akiwa chini ya media, lakini upotevu wa fedha unaosababisha makandarasi kukwamishwa kufanya kazi kwa muda na viwango sahihi, hta siku moja havionyeshwi.

Leo hii kungelikuwa kuna sehemu ame rescue lolote, dunia nzima ingesikia lakini taarifa ya CAG ya upotovu wa billion 250 katika wizara yake, HATAKI HATA KUSIKIA.


MAGUFULI HUYU NI KWA CCM TU WANAOJUA VIGEZO WANAVYOTUMIA KWA MASLAHI YAO. KWA TANZANIA TUMESEMA HAPANA!!!!!!!!!!!!!. CCM OUT!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
huna akili we jamaa kuna vitu vya kujadili sio kama hicho
 
Back
Top Bottom