Labda tuwekane sawa kidogo hapo. Viongozi wengi wa nchi duniani wanajua Kiingereza isipokuwa hawakitumii katika mikutano ya kimataifa kwa sababu siyo lugha rasmi ya nchi zao. Halafu mifumo ya elimu katika nchi nyingi inawalazimu wanafunzi kusoma angalau lugha moja ya kigeni; na Kiingereza mara nyingi kinapewa kipaumbele kwa sababu ya umuhimu wake katika mawasiliano ya kimataifa.
Bado hatujaachana na hoja ya msingi kwamba, Magufuli hajui kiingereza lugha anayodai kusomea katika levels zake zote. Kama hajui, kwa hiyo hajasoma kwa kuwa huwezi kuelewa chcote kwa lugha usiyoijua!.
Hao maraisi uliowasema, ama walisoma kiingereza na wanakielewa vizuri tu ila hawataki kukitumia kwa kuwa si lugha yao. Hawa wanaoptions na priority yao ni lugha zao. Magufuli siyo kabisa. Anapimwa kwamba ni msomi, kumbe hakuna alichosoma kwa kuwa hana ufahamu na lugh a iliyotumika kwenye kusoma kule na hivyo kumbe elimu zero ndani a miaka kwenye vituo vya elimu ( kama hata alikwenda).
Wengine hawa wamesoma kwa lugha zao, hivyo wanajua walichokisoma kwa lugha zao, tena wanaufahamu wa lugha nyingine za kimataifa kama kiingereza. Hawa hata wasipotumia kiingereza, wamesoma hawa kazi ni kutafasiri tu kwenda kwenye lugha inayohitajika katika mazingira lakini they are knowledgable. Siyo huyu Magufuli ambaye hajasoma kabisa hata uelewa wake unaonyesha hivyo.
Hakuna mtu atasema SADDAM WA LIBYA/ AU KUWAIT halafu aseme nikwa kuwa hajui kiingereza. Halafu anasahaua tangu shule ya msingi hadi chuo kikuu na tena ngazi ya PHD anadai kutumia Kiingereza. Magufulli hana elimu. Ni kati ya 69% ya Makamba aliowasema kupitia TWAWEZA kwamba ni majuha wanaoinga mkono ccm!.
Swali la kujiuliza:, Je Magufuli ana vyeti?
Swali la Pili:, Kavipata kutoka wapi?
Swali la tatu: Kavipata je?
Swali la NNe. Nani kamtunuku?
HOJA:- MAGUFULI NA WALIOMTUNUKU VYETI WOTE WACHUNGUZWE TENA NA VYOMBO VYA KIMATAIFA AMBAVYO HAVINA UFISADI!.
Kumlinganisha Magufuli na Maraisi wasiotumia Kiingereza ama kwa kutokukifahamu au kwa kutokutaka ni ufisadi wa mawazo. Magufuli hajui!. Na kwa kuwa hajiui atuambie kasoma kwa ktumia lugha gani ili tujue kama anakijua alichokisoma. Or else Kiingereza chake, utetezi unaotelewa wa aibu vyote vinajustify akiliyake ya SADDAM WA LIBYA/KUWAIT.