Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Hiv rais wa china anajua hata english kweli?... mi nadhqn hiyo siyo ushu hasa kwa wazalendo...labda kuwe na sababu nyingine.....hasa yenye mashiko


Unapaswa kuelewa mada. Tumejadili sana hizi habari za maraisi wasioongea kiingereza kwa sense ya kwamba ama hawajui, ama hawataki ama hawatakiwi.

Hawa maraisi ni wasomi tu wazuri wa fani zao katika lugha zao. Elimu hiyo ndiyo inawapa uwezo wa kuelewa, kuratibu, kuongoza na kusimamia majukumu yao kwa mujibu wa katiba za nchi zao. Wanapokuwa katika maeneo yenye haja ya matumizi ya lugha ngeni, ndio utaona walakuwa na wakarimani n.k na wakarimani hao wanatafasiri hekima, mitazamo ufahamu na maarifa kutoka kwenye vichwa vya elimu ya kilugha kwenda kwenye lugha ngeni.

Magufuli anadai kasoma Univeristy of Dar Es Salaam. Elimu anayodai kasoma inatolewa kwa lugha ya Kiingereza. Sasa kama hajui Kiingereza alisoma au alikaa darasani? Elimu siyo kukaa darasani bali ni kubadilika na kubadilisha. Kama hajui hata lugha iliyokuw aikitumika darasani, huyu kasomaje? Hapa tunadai mtuambie elimu yake aliipata kwa kutumia lugha gani.

Mtu asiye na akili wala elimu kama magufuli, hata kama akipewa mkarimani, mkarimani huyo atafasiri nini kwenda kwenye Lugha y aKiingereza ikiwa kichwa chake mwenyewe Magufuli hakina maarifa wala elimu yoyote?

NAOMBA UNISAIDIE. TUKUBALIANE SASA KAMA WALE MARISI UNAOWASEMA. WEWE UWE MTAFASIRI WAKE MAGUFULI KWENDA KWENYE HATA KILUGHA ULICHOZALIWA NACHO. UNGETUMIA MAAJABU GANI, KUONGEZA TIJA KWENYE KUTAFASIRI MANENO HAYA YA MAGUFULI KWAMBA "SADDAM ALIKUWA RAISI WA LIBYA. ALI, SAMAHANI, KUWAIT KWELI"?

Ufahamu wa Magufuli unasema (ambaye ndiye source yako wewe marimani) unasema "SADDAM ALIKUWA RAISI WA LIBYA NA KUWAIT" wewe mkalimani ungeifanyaje hii hoja ionyeshe ni ya mtu safi mwenye ufahamu na weledi tena msomi kasoro tu hajui kiingereza?

Magufuli ni Zero. Makrimani hawezi kuongeza kitu kwenye kichwa kitupu!. Atabki anachezea mic tu na kuishia kupata aibu.

Magufuli, Kihiyo, Mulugo ni mizigo na aibu kwa taifa. Wabaki kuwa madiwani tu!.


 
Wote hao wanagombea urais wa Tanzania? Hutajisikia fahari kumsikia Rais wa nchi yako akizungumza kwa ufasaha? Pamoja na mabaya yake, napenda sana namna Ben Mkapa anavyotuwakilisha inapokuja suala la kuzungumza (hasa kwa kimombo). Sasa huyu Magufuli atatufanya tuwe tunabadili channel....kukwepa aibu!

Lakini kulitizama kivingine, pengine litapunguza appetite ya Rais (kama atashinda) kuzurura hovyo nje ya nchi na hivyo kutupunguzia gharama.

NA NDIYO NCHI ILIYOSALIA INGEKWENDA KUZIKWA RASIMI KWA SABABU KICHWANI HANA LOLOTE ANALOLIJUA ZAIDI YA KIBURI NA UBABE WA MAAMUZI YAKE HARAMU KWA MAENDELEO. Kwa uhuha wake hawezi hata kuchaganua hoja wala masuala yakimataifa yenye maslahi ya taifa.

Ndiyo sababu kila siku anaapa kwamba atafanya aliyofanya kikwete. Kumbe jamaa kichwani hazimo hata chembe!

Hafai hata chembe. Ccm wamweke diwani wa kuteuliwa au wamfanye huko huko ccm. Sisi hatutaki!.
 
Hakika sasa nnaamini pasi na shaka yoyote ukawa wengi ni kama alivyosema Mkapa.

Hivi mtu anaona kujuwa lugha ya nje ndiyo kuwa na akili.

Hawa ndiyo wale wakiona mtoto wa Kingereza wa miaka 3 anaongea Kingereza wanashangaa na kumuona wa ajabu.

Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda, hatutofika kesho wala keshokutwa.

KUWA NA AKILI TIMAMU WEWE:-
1. THE ISSUE NI TANZANIA KUWA -0Dependant sana kwa matifa yanayoongea Kiingereza
2. Mikutano yote ya kimaendeleo inaendeshwa kwa KIINGEREZA
3.Elimu yetu ya bure bado itarudi chini ya kiwango kwa kujenga GHOROFA LA MSINGI WA MATOPE?
i.e. kuwa na CHEKECHEA MPAKA STND. SEVEN kwa kiswahili then FORM ONE MPAKA UNIVERSITY KWA KIINGEREZA?
4.MAGUFULI AKINI -INTERVIEW MIMI KWA KIZUNGU JAMBO LOLOTE ITABIDI AKAE NA DICTIONARY, NA MKALIMANI KARIBU SANA!!!!!
 
..Pamoja na kwamba kutoongea kingereza kwa ufasaha haimaanishi kuwa kiongozi mbaya, hiyo ni dalili tosha kwamba mfumo wetu wa elimu una walakini, ikiwa mtu wa PhD bado hawezi kutunga sentensi fasaha ya Kiingereza..
Rais ni kioo cha nchi. Kiingereza na kiswahili ni lugha rasmi katika nchi ya Tanzania. Sasa huyu Magufuli...kiingereza ni shida na kiswahili pia shida! Kiongozi mzuri ni lazima awe na good communication skills (na kujua lugha ni sehemu muhimu katika communication).

Tukiwa na kiongozi mwenye poor communication skills, anaweza hata kuingiza nchi vitani pasipo ulazima au hata kuleta mizozo ya kidiplomasia na nchi nyingine.

If interested, unaweza kupitia hapa kuona makosa madogo kabisa katika kuwasiliana yanavyoweza kuleta yasiyotegemewa: 10 Tiny Miscommunications With Massive Consequences - Listverse
 
Tatizo la kiingereza Tanganyika ni kubwa. Hii ni kwasababu tumeidharau lugha yetu ya kiswahli tukafikiri kusoma ni kujua kusoma na kuongea kiingereza vizuri. Kiingereza sio lugha ya mama kwa Tanzania hivyo itaendelea kuwa tatizo. Cha msingi ni watu kutokulazimisha kuongea kiingereza wakati uwezo ni mdogo. Yeyote atakayechaguliwa ahakikishe anakuwa na mkalimani popote atakapokwenda huko nje ili awe anatafsiri kutoka kiingereza kwenda kiswahili au kinyume chake. Kuongoza nchi sio lazima ujue kiingereza. marais wa urusi, china, korea na ufaransa wanatumia lugha zao na wanaongoza nchi bila tatizo
 
Mi ndo maana naona elimu ya kikanjanja tanzania itaendelea kutuletea makanjanja wengi kuongoza nchi. Ni aibu .nashauri taifa la hofu, tusiogope... Tufanye mabadiliko. Maamuzi magumu mwaka huu. Nadhani itakua suluhisho.

niujinga kutuaminisha tumpe kura mwenye degree ya mziki namaigizo urais tuache dr na amewaambia yuko tayar kufanya mdahalo mbona mnachenga nyie bendera fata upepo?
 
Mimi ninaishi sweden sasa miaka 26.wale ambao wanaongea kiswedish fluently lakini hawakwenda shule (yaani kukaa darasani na kujifunza)wana shida ktk kuandika na grammatical. Hivyo kuongea lugha si kigezo cha kuijua lugha.lugha ni kuielewa kwa vyote hasa kuandika na grammatical.
 
Jamani tuache ubishi, kama ni kiingereza aliongea Nyerere tu wengine wote hawafikii kichwa kile. Itapita miaka mingi sana kupata kichwa kama kile kimaono, utendaji na uelewa wa mambo.
 
Kweli ukoloni umetuathiri sana.Kwani tunatafuta rais wa Tanzania au wa kimataifa?kwanza sisi wabongo ni watu wa ajabu sana Kikwete alikuwa anasafiri sana nje tukalalamika,sasa ina maana tunataka mtu mahili wa kiingereza hili akakiongelee wapi?
 
Sipati picha hiyo dissertation yake na paper zake, aliandikiwa kwa Jodi ya uwaziri wake? Supervisor wake ni Nani hivi?
 
Ukweli ni kuwa hapa Tz waliosoma sayansi hata walimu wa vyuo vikuu kiingereza ni shughuli.
Pia hata nyie mlioko humu jamii wengi wenu ndivyo ilivyo. Angalia wakati wa presentation, ni kizungumti. Sasa hili la nyani alioni kund.. inatoka wapi?
Na miaka kumi ya uwaziri bado tu hawezi jamani?
 
Mimi ninaishi sweden sasa miaka 26.wale ambao wanaongea kiswedish fluently lakini hawakwenda shule (yaani kukaa darasani na kujifunza)wana shida ktk kuandika na grammatical. Hivyo kuongea lugha si kigezo cha kuijua lugha.lugha ni kuielewa kwa vyote hasa kuandika na grammatical.

Kuongea lugha ni kuijua lugha. Sasa utaongeaje kama huijui? Labda ungetuambia kuongea lugha sio kujua kuiandika!
 
Kweli ukoloni umetuathiri sana.Kwani tunatafuta rais wa Tanzania au wa kimataifa?kwanza sisi wabongo ni watu wa ajabu sana Kikwete alikuwa anasafiri sana nje tukalalamika,sasa ina maana tunataka mtu mahili wa kiingereza hili akakiongelee wapi?

Kinachoshangaza: form one mpaka PHD + (tumeambiawa amesomea Uingereza(sijui kama ni kweli) ) + uwaziri kwa miaka kumi = kijigonga gonga kama mwanafunzi wa form one!
 
We dada nchi kwa lugha za kimataifa hili fisadi lowassa imetusaidia nini kujua kwake kama udokozi kwenye mali za umma
 
Mimi ninaishi sweden sasa miaka 26.wale ambao wanaongea kiswedish fluently lakini hawakwenda shule (yaani kukaa darasani na kujifunza)wana shida ktk kuandika na grammatical. Hivyo kuongea lugha si kigezo cha kuijua lugha.lugha ni kuielewa kwa vyote hasa kuandika na grammatical.

Listening, Writing and Speaking are fundamental to any linguistic
 
Alishindwa hata kukariri sentensi kumi za kusema???? faiza foxy baro Mr Chin MOTOCHINI njooni muone aibu ilioje!!! Kiukweli makufuli hafai na hana sifa za kuwa hata mwenyekiti wa kijiji.

hatutafuti rais wa kimataifa tunatafuta rais ambae anayajua matatizo yetu na ana njia ya kuzitatua, kiingereza ni lugha tu kama local language pia tambua sasa hivi kuna earphone za kutafsiri lugha zote duniani kwenye conferences hivyo anaweza ongea kiswahili wao wakatfsriwa na nitafrahi akifanya hivyo,

Dr maghufuli , ndiye rais tumtakaye watanzania
 
hatutafuti rais wa kimataifa tunatafuta rais ambae anayajua matatizo yetu na ana njia ya kuzitatua, kiingereza ni lugha tu kama local language pia tambua sasa hivi kuna earphone za kutafsiri lugha zote duniani kwenye conferences hivyo anaweza ongea kiswahili wao wakatfsriwa na nitafrahi akifanya hivyo,

Dr maghufuli , ndiye rais tumtakaye watanzania
Huelewi wewe. Sote tunapenda kiswahili chetu. Na hakuna anayesema Kujua kingereza ni maendeleo! Tunashangaa iweje Magufuli asome tangu f1 mpaka phd halafu kiingereza hata sentensi moja hawezi. Tunaquestion uwezo wake wa uelewa! Hata juzi kaonesha yupo shallow kwenye masuala yanayoendelea duniani! Tunaquestion uwezo wa Magufuli isije ikawa ni mzee wa kukariri!
 
Back
Top Bottom