Magufuli na Kim Jong-Un ni Marais pekee duniani sijawahi kuwaona wakifanyiwa interview

Magufuli na Kim Jong-Un ni Marais pekee duniani sijawahi kuwaona wakifanyiwa interview

James Martin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2016
Posts
1,206
Reaction score
1,509
Sijawahi kuwaona hawa Marais wawili wakifanyiwa interview. Ni kawaida kuwaona wakuu wa nchi wakihojiwa kuhusu vitu mbalimbali. Mahojiano hayo huwapa fursa waandishi wa habari kuwauliza viongozi maswali ambayo wananchi wangependa kujua majibu yake.

Kwa mfano, kama ningepata fursa ya kukaa na Magufuli ningependa kujua alivyojenga Uwanja wa Chato alitumia vigezo gani kuichagua Chato, je alipata idhini ya Bunge kutumia pesa ya walipa kodi? Tenda ya kujenga Uwanja ilitangazwa? Nani alikuwa Mkandarasi? N.k.

Lakini bado naamini Magufuli hajachelewa sana. Anaweza kutumia fursa ya kufanya mdahalo na Lissu ili kuhojiwa kuhusu mambo mbalimbali.
 
Sitaisahau aibu ya Uganda mbele ya museven
Yaap.. even here in Zim..I remembered last time when he was coming back from SA and Namibia, he had a brief interview with some journalist and somehow got some difficulty of smoothly responding to questions raised. Yaah..may be, what he needs is a concerted effort and from his aides to improve on this area...
 
Mwanzoni mwa utawala wake Aliwahi kuwaita waandishi wa Habari ikulu na kumuhoji rais maswali.

ila hayo majibu yake ni balaa.

Pasco Mayala aliuliza kuhusu katiba mpya. Rais alijibu ametembea chi nzima akiomba kura hajawahi kutaja neno katiba, Na akasisitiza Mayala kwa kisukuma maana yake njaa.

Jamaa ni muoga sana
 
Mwanzoni mwa utawala wake Aliwahi kuwaita waandishi wa Habari ikulu na kumuhoji rais maswali.

ila hayo majibu yake ni balaa.

Pasco mayala aliuliza kuhusu katiba mpya
Rais alijibu ametembea chi nzima akiomba kura hajawahi kutaja neno katiba, Na akasisitiza Mayala kwa kisukuma maana yake njaa.

Jamaa ni muoga sana
Kwani PHD yake alisomea nini?

Nilikuwa nikidhani hana elimu ya chuo kikuu,lau kama alisoma...basi atakuwa alisomea Magumashi na si mambo ya ustawi wa watu
 
Naiomba Serikali itolee ufafanuzi hii kauli, ili kuondoa sintofahamu kwa wananchi,hususani wafanyakazi

Serikali imekopa mifuko ya hifadhi za jamii PSSSF na NSSF na haijaweza kurudisha. MBAYA zaidi, mwaka huu kuanzia April hivi, Mifuko imeshindwa kulipa mafao. Jana Mh. Lisu akasema kuwa CCM imechukua pesa Za KAMPENI huko kwenye mifuko ya PSSSF na NSSF. Je wafanyakazi mnalipwa mafao yenu ya uzee na fao la kukosa ajira kwa wakati?


Mimi sijui, kamuulizeni aliyesema ..ni Mh. Lisu. Sikilizeni clip za Mwananchi Youtube.


Na akiwa Morogoro, akasema Vigogo wa CCM wamepora mashamba makubwa mvomero, Morogoro. Mkapa elfu 60, Familia ya Mwinyi elfu 60, Sumaye 2000 etc. Sehemu mbali mbali za nchi na zile ranch. Wananchi wanakosa maeneo ya kulima na kulishia mifugo...

Ni Mh. Lisu alisema...Youtube.

Sasa hizi ndio hoja za kujibu kwa Serikali..na Sio kusema kuna mtu anatukanwa..
 
Sio kila uamuzi wa Rais huhitaji baraka za bunge, hilo inabidi ulifahamu.

Yapo maamuzi ambayo rais huyafanya kwa kupata tu baraka ya mkuu wa usalama wa taifa.

Hata mataifa makubwa kama Russia na US yapo maamuzi ambayo Trump au Putin hawahitaji baraka za mabunge yao.

Uwanja wa ndege Chato upo strategically. Kila kinapojengwa kiwanja kikubwa cha ndege ni lazima kiwepo kingine karibu (Strategic Aerodrome). Uwanja wa Mwanza ni hub hivyo ule wa Chato ni akiba ya ule wa Mwanza.
 
Sijawahi kuwaona hawa Marais wawili wakifanyiwa interview. Ni kawaida kuwaona wakuu wa nchi wakihojiwa kuhusu vitu mbalimbali. Mahojiano hayo huwapa fursa waandishi wa habari kuwauliza viongozi maswali ambayo wananchi wangependa kujua majibu yake...
“In the land of the blind, the one eyed man isn’t a king but a thief. He will continue to rob us blind, loot and pillage everything until there is Nothing Left To Steal."

Kipangaspecial 2020
 
Sijawahi kuwaona hawa Marais wawili wakifanyiwa interview. Ni kawaida kuwaona wakuu wa nchi wakihojiwa kuhusu vitu mbalimbali. Mahojiano hayo huwapa fursa waandishi wa habari kuwauliza viongozi maswali ambayo wananchi wangependa kujua majibu yake.

Kwa mfano, kama ningepata fursa ya kukaa na Magufuli ningependa kujua alivyojenga Uwanja wa Chato alitumia vigezo gani kuichagua Chato, je alipata idhini ya Bunge kutumia pesa ya walipa kodi? Tenda ya kujenga Uwanja ilitangazwa? Nani alikuwa Mkandarasi? N.k.

Lakini bado naamini Magufuli hajachelewa sana. Anaweza kutumia fursa ya kufanya mdahalo na Lissu ili kuhojiwa kuhusu mambo mbalimbali.
Ukiona mtu anaongea hata bila kuwa na Heshima kwa Mzee Mtei, ujue huyo ana matatizo tena makubwa.

Mzee Mtei licha ya kutokubaliana na Mwl lakini alimuheshimu Mwl mpaka Leo hii , Sasa anakuja kidudu mtu moja , kisa kasoma sheria, basi anajiona yeye ni juu ya kila kitu.

Hata Maalim Seifu Shariff Hamad, licha ya dhorobu misuko suko ya kisiasa aliopata lakini bado alimuheshimu Mwl.
Sasa huyu ambaye sijui historia yake ipoje, namuona akiharisha harisha ovyo ovyo kama hakuwa na ulezi, ingawa naona Yule Kaka yake wa Arusha kama ni mtulivu, sijui na Yule wa Dsm yupoje??
 
Back
Top Bottom