Is it conclusive ? Unless U r a person to gas all the time U will say it to be conclusiveUtamheshimu Mtu aliyetaka kukuua? Wewe kwa akili yako unaweza kumheshimu Jambazi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Is it conclusive ? Unless U r a person to gas all the time U will say it to be conclusiveUtamheshimu Mtu aliyetaka kukuua? Wewe kwa akili yako unaweza kumheshimu Jambazi?
Wana upeo mkubwa wa kujenga hoja na kujibu maswali, sasa ndugu yetu aliyeokota dodo chini ya mpapai atajibu niniMarekani, Uingereza, Ufaransa zote zinafanya midahalo ya uchaguzi.
Kama sio ubavu wa CCM bara Muungano ulivunjika kitambo sana. Wazanzibar kwenye hili huwa wako pamoja. Si unguja si pembaMtu mwenye sera ya kuvunja Muungano, mwenye kuongea bila kujali Hadhi ya Mwl Nyerere ni wakufanya naye mdahalo si ni kujizalilisha
Sasa wewe ni mbara? Au muunguja au mpemba ??Kama sio ubavu wa CCM bara Muungano ulivunjika kitambo sana. Wazanzibar kwenye hili huwa wako pamoja. Si unguja si pemba
Nini mantiki ya swali lako. Ukweli ndo huoSasa wewe ni mbara? Au muunguja au mpemba ??
Kwa hiyo ukweli ni kwamba Anti anataka kuvunja MuunganoNini mantiki ya swali lako. Ukweli ndo huo